Mega Projects in Tanzania

  • Sticky
Cameco said uranium spot prices averaged $125.83 US per pound in the second quarter of 2007, compared to $43.42 US in the same quarter of 2006. New hope for uranium wealth in Dar By WILFRED...
0 Reactions
260 Replies
61K Views
Wakuu samahani wapi naweza kupima COVID 19?
0 Reactions
2 Replies
61 Views
Nimeona habari kuwa mwezi ujao mradi wa BRT wa mabasi yaendayo kasi unaanza kujengwa kuelekea Tegeta bunju hadi Bagamoyo. Habari kamili hiyo hapo. My take: Nitashangaa sana kusikia watakaojenga...
3 Reactions
10 Replies
550 Views
Waziri wa Nishati Dk Medard Kalemani amewaondoa hofu Watanzania kuwa mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya mto Rufiji wa Julius Nyerere haujawahi kusimama na hautasimama...
4 Reactions
19 Replies
4K Views
Barabara Muhimu ya kimkakati. Matokeo Chanya yatokanayo na Matumizi Sahihi ya Rasilimali Zetu. Nidhamu kwenye ukusanyaji wa Kodi. Sera nzuri za Kizalendo pongezi kubwa kwa Mhe Rais wetu Na...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Maendeleo ya ujenzi wa Barabara ya Morocco-Mwenge km 4.5 inayojengwa kwa njia 4 mpya, service road, taa za Kisasa, mifereji mikubwa ya kupitisha maji ukiwa umefikia asilimia 70.35. Mradi huu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) unafaida nyingi kwa watanzania ikiwemo: 1. Utoaji wa ajira, mpaka sasa mradi huu wa SGR umetoa ajira za moja kwa moja zaidi ya elfu 20 na kulipa...
0 Reactions
2 Replies
622 Views
UFAHAMU MRADI WA ’STRIEGLER'S GORGE Mradi wa umeme wa ‘’STRIEGLER'S GORGE’’ uliasisiwa na marehemu baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere miaka 1970. Mwalimu Nyerere alianzisha wazo la kujenga mradi...
10 Reactions
6 Replies
5K Views
Wakuu, Mtakubaliana Nami kuwa Bagamoyo Road Kwa kipindi kifupi imebadilika sana kutoka kuwa kibarabara kimoja mpaka kuwa barabara kubwa iliyosheheni makao makuu ya makampuni makubwa ya...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamaa wameshinda bid aisee, Bora Hawa kuliko Chinese === Hyundai Rotem has won a 335.4 billion won ($296 million) contract to supply 80 electric multiple units (EMUs) and 17 electric locomotives...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
MAENDELEO YA UJENZI WA SGR: "Vituo vya Reli hii ni vya kisasa na siyo kwaajili ya kushusha na kupandisha abiria pekee bali itakua ni sehemu ya biashara na huduma za kijamii zikiwemo za kibenki na...
15 Reactions
141 Replies
14K Views
SGR ni ufupisho wa maneno ya lugha ya kiingereza ambayo ni Standard Gauge Railway. Hii ni reli ya kisasa ambayo ina upana wa sentimeta 1,435, inayotumika katika mataifa mengi duniani kwa zaidi ya...
1 Reactions
0 Replies
912 Views
Jirani maumivu yakizidi kaonane na Magufuli === Australia-based Magnis Energy Technologies announced yesterday that it reached an agreement with Metallurgical Corporation of China to build a...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
MRADI WA RELI YA KISASA (SGR) MOTO NI ULE ULE Fact Teller Rais Samia Suluhu Hassan anaendelea kudhihirisha Umahiri wake katika kuhakikisha Mradi wa Reli ya Kisasa SGR haulali [emoji579]...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Redirect
Hello!! I have three trucks needs to load a cargo (contanized or loose) from cost regions (DSM,PWANI,MORO) to lake zones regions (KAGERA,MWANZA&MSOMA) If you have a cargo kindly contact me...
0 Reactions
Replies
Views
Credit: Railways Africa 4,190km of new track Supporting pit-to-port Regional Integration Trains to be equipped with ERTMS level 2 and GSM – R signalling systems Local content benefits...
4 Reactions
85 Replies
12K Views
  • Redirect
Ninaomba kwa wenyeji wa Morogoro , nisaidieni biashara ambayo itanisaidia nipate faida ,nina mtaji wa 2m , eneo n Morogoro mjini , msaada wenu wenyeji
1 Reactions
Replies
Views
Kwa muda wa zaidi ya miaka 35, Kenya imekuwa ikiongoza kwa Afrika Mashariki katika maendeleo na uandikishaji wa miradi mipya. Ni katika miaka ya 2016-2017 Ethiopia ikaingia katika kusuguana na...
5 Reactions
43 Replies
7K Views
Serikali yakabidhi mfano wa hundi ya shilingi bilioni 688.6 kwa kampuni ya Arab Contractor kwa ajili ya kuanza ujenzi wa mradi wa umeme wa maporomoko ya maji ya mto Rufiji. Mkandarasi ujenzi...
14 Reactions
200 Replies
25K Views
  • Redirect
Nawezaje kuandika business proposal
0 Reactions
Replies
Views
TANZANIA :- FAHAMU UJENZI WA SGR UNAVYOENDELEA Ujenzi wa Reli ya Kati kwa Kiwango cha Kimataifa (Standard Gauge Railway) ambapo ujenzi wa kipande cha Dar es Salaam - Morogoro (km 300) umefikia...
6 Reactions
48 Replies
4K Views
Back
Top Bottom