Ni uchungu lakini ndio ukweli wenyewe.
Inawezekana umetangatanga sana kutafuta mchumba,mke au mahusiano mitandaoni.
Sikiliza mke au mume huwezi kumpata mtandaoni. Wengi wa huku ni waigizaji ni wengi huku, hawaishi uhalisia.
Lakini huenda ni mbinu ya shetani kukupotezea muda kufikia hatma yako...
1. Jichunguze wapi mahusiano yako na Mungu hayako sawa.
2. Chunguza ni tabia gani mbaya ambazo umeshindwa kuziacha.
✓ Mambo hayo mawili yatakufanya ukose amani muda mwingi kwa sababu roho yako itakuwa na hofu.
✓ Mambo hayo yatampa kibali shetani cha kukunyanyasa kwa magonjwa na mikosi...
Mchungaji Dickson Kabigumila, amekemea kipindi cha Mr Right kinachorushwa na channel iliyoko kwenye king'amuzi cha startimes. Amesema katika kipindi hiko wanawaka kwa wanaume hutafuta wapenzi ambao amesema njia hiyo inaua maana ya ndoa kwa kuwa ni uchafu.
Mchungaji amesema kama TCRA wanahusika...
1. Usiogope kuolewa kwa hofu kwamba utauwawa au kupewa ulemavu na mumeo kwenye ndoa!
Tangu mwaka umeanza umeanza au ndani ya miaka 10 iliyopita ni ndoa ngapi unazifahamu au za watu maarufu ambazo umesikia mke kauwawa na mumewe?
Shetani anakuza ubaya wa mmoja ili kuwakatisha tamaa muone ndoa na...
-Hao waigizaji wakuu Bondita na mumewe mbona wanatofautiana sana umri.
-Watoto wanajifunza nini wakiona mtoto mwenzao analiita baba zima ''mumewangu''
-watoto wadogo wanawaza kuolewa kuliko hata homework
-Na Mamlaka zinazohusika mpo tu,, sasa mna msaada gani kama tatizo kama hili hamulioni?
-Ee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.