Itakumbukwa kuwa Mwaka 2023 Mwezi wa 9, Mshambuliaji wa The Al-Hilal ya Saudi Arabia, Neymar JR alipata majeraha kwenye Goti ambayo yanamfanya kukaa nje ya Uwanja kwa Muda wa Miezi 6-12
Majeraha haya ya goti yatamfanya Neyma JR kukosa Michuano ya Copa America 2024 inayo tarajia kuanza June...
Kuna Vitu Vinafikirisha Sanaa, hasa Ukiangalia Namna Kocha Mkuu wa Simba anavyo ongoza Timu. Nahisi Kocha Wa Simba Anabebwa na Matokeo zaidi kuliko uwezo wake. Najiuliza Maswali Mengi sana
1. Kwanini Kocha wa Simba Anacheza Na Timu as If ina Wachezaji 11 tuu? Kwanini Hafanyi Rotation ya...
Sio Kwa Ubaya, Nikiri Wazi Mimi ni Shabiki Kindakindaki wa Simba Sc. Naipenda Hii Timu mnoo. Ila Katika mpira au Biashara yoyote ya Ushindani Ni Vizuri kujifunza Mpinzani wako wa Karibu yeye anafanye ili uweze kufika Mbali.
Timu Za Simba Na Yanga Zote zilifanya Usajiri kwa Muda unao fanana na...
Ni siku nyingine tena, siku nzuri kwa wapenda burudani za mpira wa miguu. Kilele cha Ngao ya Jamii kutokea Mkwakwani Tanga. Watani wa jadi watashuka dimbani majira ya saa 1 usiku kukipiga katika Finali ya Ngao ya Jamii.
Mchezo wa awali utakuwa ni majira ya saa tisa alasiri leo kati ya Azam FC...
Ni Siku Kubwa, Siku ya wenye Nchi, wengi Wanaifahamu kama "Simba Day". Tutakuwa "LIVE AND DIRECT" Hapa Kijiwe cha Soka "JAMII SPORTS" Kukuletea yote vanaondelea kutokea pale Benjamini Mkapa katika hii siku Kubwa, kwa wana simba.
Simba Sc Imetangaza Kufungua Mageti ya Uwanja. Kuanzia Saa 2...
Uongozi wa Simba Umeamua, Uongozi Wa Simba Umewasha Moto, Uongozi wa Simba This Time Around hawacheki na Mtu yeyote, Uongozi wa Simba This Time Ni Kimodaaa, Ni waya Ya Umeme.
Kwa Usajiri unaofanywa na simba hakika Sio Mapendekezo ya Kocha, Ni wao Kwa Utashi wao wameangalia Timu kwa Misimu...
Ikiwa Harakati za Usajiri, Uhamisho wa Wachezaji na Pre Seasons Zikiendelea katika huu Mwezi, Huku Azam FC wakionesha Kuwa This Time Around wako Serious Sana na Pre Season Kipekee Kabisa Niwapongeze Viongozi wa SIMBA SC.
Baada Ya Kujifunza Kwa Misimu Miwili ni Wapi Walikosea, Sasa Wamerekebisha...
Club ya PAOK ya Nchini Ugiriki imetangaza Kumsajiri Mtanzania Mwenzetu SAMATTA akitokea Fenabache, Cha Kushangaza nimepia Comment za Mashabiki asilimia 99% hawajapenda Usajiri wake.
Kwa msaada wa Insta Translator nimeweza kuelewa wanacho kimaanisha, Wengi wanasema ni Striker Mbovu kuwahi...
Habari,
Kwa mwenendo ulivyo katika Timu ya Simba hasa upande wa kikosi, nilifikiri katika maboresho ya kikosi chao ili kuweza kufanya vizuri kimataifa na ligi ya ndani walikuwa wanahitaji mchezaji mzawa kama Feisal Toto.
Hili sakataka la Feisal Toto lilivyokuwa linakwenda ulikuwa ni wakati...
Baada Ya Safari Ndefu Ya Milima na Mabonde, Leo Ikulu Imezinduliwa Dodoma.
Kwasababu sijaweza kwenda Dodoma, Nimekuwa nikifuatilia hili Jambo Kupitia Mitandao ya Kijamii na Blogs Mbalimbali. Nimekuwa Msomaji Mzuri wa Comments za Watu kuhusu Uzinduzi wa Ikulu hii Ya Dodoma Leo.
Hakika Niseme...
Katika Hali Ambayo kila mmoja hakutegemea, Rosa Ree Leo ikiwa ni Siku Ya Kina Mama Duniani, Ameamua Kuweka wazi Kuwa Alikuwa Mjazimto na akafanikiwa kujifungua mtoto wake ambaye anamlea hadi sasa.
Dalili zinaonesha Rosa Ree imepita miezi kadhaa tuu Toka Ajigungue mtoto huyo.
Watu wengi sana...
Nimekuwa Nikufuatilia Matamasha Mbali Mbali Ya Muziki Tanzania, Muziki wa Injili hata Ule wa Kizazi Kipya. Ni kiri wazi Kuwa Wapenzi wa haya Matamasha Wamekuwa Hawatendewi Haki kabisa Kabisa Kutokana na Gharama wanazo tumia Kuhudhuria haya Matamasha na Burudani wanayo pewa.
Hakuna Tamasha...
Wakuu habarini.
Majuzi nilinunua Speaker za Logitech 5.1 hizi speaker mwisho zina pins 3 (Nyeusi, Orange na Kijani) hizi Pins zina Size ya pins za PC headphones / EarPhones.
Halafu nikanunua Smart TV Samsung 65 nch 4k QLED. Hii TV hiana Sehemu ya Kuconnect Hizo Pins za Logitech Speaker kupata...
Namkumbuka Mwanasiasa Maarufu Kuwahi Kutokea Tanzania, Mh. Edward Ngoyai Lowassa (Mungu amsaidie Apone Haraka) aliwahi kusema kuwa, Watanzania Hatuhitaji mambo Makubwa na Mengi zaidi ya ELIMU..!!! ELIMU..!!! ELIMU…!!!
Hakuacha Kusisitiza Hilo hata alipowataka watu kuzungusha Mikono, Baada Ya...
Wakuu….
Naona Sakata la Fei Toto Linakuja na Propaganda nyingi.
Leo Watu pamoja na Page Rasmi ya Yanga, zimepost na kumpongeza Mayele kuwa Mchezaji Bora wa Congo. Bahati mbaya sana Watanzania Wengi sio Wafuatiliaji na kujua ni nani Yupo Nyuma Ya Hizi Tuzo.
Hizi tuzo zimetolewa na “Media” ya...
Leo Nipo Na Nyie humu,
Baada Ya Kutembelea “Robo Tatu” ya Nchi za Afrika na Nchi kadhaa za Ulaya na Asia, Nimegundua Wanawake wakitanzania Huwa na Dharau za Kijinga mbazo Baadae hufanya Wajutie. Wanawake wa Kitanzania akikuona Kwa Mara ya Kwanza Hushusha “Value” Ya Mwanaume Chini Kabisa Hadi...
Leo nimeamua Kuja Kwenye Jukwaa langu Pendwa Baada Ya Kupotea Kwa Muda Mrefu. Sote Tunajua Kuwa mapenzi na Siasa Ndio vinavyo ‘Run’ dunia Kwa Sasa. Mimi Sio Mwanasiasa “So” Siwezi Kuongelea Siasa…. Nitaongelea vitu muhimu ambavyo ndani yake kuna “Mapenzi”
Ni Kawaida Sana Mwanaume kumtongoza...
90' Mpira umekwisha
85' Shuti la Kagere akiwa na kipa linapanguliwa.
82' Kisinda anakosa goli akiwa yeye na kipa, shuti lake linapanguliwa.
74' Singida wamepata uhai kidogo na wanafanya mashambulizi, Kagere anaipatia Singida goli.
65' GOOOOOOOOOOOOOO! Mayele anafunga goli la nne kwa Yanga na la...
Mimi ni shabiki kindaki ndaki wa Simba, na nimekuwa mfuatiliaji wa timu yangu pendwa ya Simba, lakini kuna muda inakosesha amani na kunikatisha tamaa ya kuendelea kuipa imani yangu.
Najihisi kupata ugonjwa wa moyo na hii timu. Nimekuwa nikifanya kila viongozi wa timu watakalo i.e kwenda...
Kama kawaida Kama Dawa. Mashabiki wa Simba Hatuna Dogo.
Tunakuletea Live uptdates Za Mechi Ya Kirafiki kati Ya Malindi Sc Ya Zanzibar Na Simba Sc.
01” Mpira Umeanza
05” Msc 0 SSC 0
13” MSC 0 SSC 1
20” MSC 0 SSC 1
23” Jimmyson Mwanuke Anaingia kuchukua nafasi ya PB aliye umia.
32” MSC 0...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.