ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Ni siku nyingine tena, siku nzuri kwa wapenda burudani za mpira wa miguu. Kilele cha Ngao ya Jamii kutokea Mkwakwani Tanga. Watani wa jadi watashuka dimbani majira ya saa 1 usiku kukipiga katika Finali ya Ngao ya Jamii.
Mchezo wa awali utakuwa ni majira ya saa tisa alasiri leo kati ya Azam FC na Singida Fountain Gate wakiwania kumpata mshindi wa tatu.
Nitakuletea live updates za michezo yote kutokea Mkwakwani Tanga, kivumbi ni leo.
Baki na mimi hapa hapa.
FINAL NI KARIAKOO DERBY
======
Kutafuta mshindi wa tatu
MCHEZO UMEANZA
0’ AZAM FC VS SINGIDA FOUNTAIN GATE
01 AZAM FC wanapata Goli Kupitia Kwa Dube baada ya Makosa Ya Kipa Beno
42’ AZAM wanapata Goli la Pili kupitia kwa Sopu
FT : AZAM SC 2 SINGIDA FOUNTAIN GATE 0
AZAM SC NI MSHINDI WA TATU WA NGAO YA JAMII 2023/2024
NEXT : YANGA SC Vs SIMBA SC
View attachment 2716475
View attachment 2716476
01’ YANGA SC 0 SIMBA SC 0
Kipindi cha kwanza kimekamilika, matokeo bado ni 0-0, ushindani ni mkali na timu zote zinashambuliana kwa zamu lakini kumekuwa na uhaba wa mashuti yaliyolenga lango (on target).
Tusubiri Kipindi cha Pili tuone mambo yatakuwaje.
Kipindi cha Pili
FT 0-0
PENALTIES YANGA 1 SIMBA SC 3
Mchezo wa awali utakuwa ni majira ya saa tisa alasiri leo kati ya Azam FC na Singida Fountain Gate wakiwania kumpata mshindi wa tatu.
Nitakuletea live updates za michezo yote kutokea Mkwakwani Tanga, kivumbi ni leo.
Baki na mimi hapa hapa.
FINAL NI KARIAKOO DERBY
Kutafuta mshindi wa tatu
MCHEZO UMEANZA
0’ AZAM FC VS SINGIDA FOUNTAIN GATE
01 AZAM FC wanapata Goli Kupitia Kwa Dube baada ya Makosa Ya Kipa Beno
42’ AZAM wanapata Goli la Pili kupitia kwa Sopu
FT : AZAM SC 2 SINGIDA FOUNTAIN GATE 0
AZAM SC NI MSHINDI WA TATU WA NGAO YA JAMII 2023/2024
NEXT : YANGA SC Vs SIMBA SC
View attachment 2716475
View attachment 2716476
01’ YANGA SC 0 SIMBA SC 0
Kipindi cha kwanza kimekamilika, matokeo bado ni 0-0, ushindani ni mkali na timu zote zinashambuliana kwa zamu lakini kumekuwa na uhaba wa mashuti yaliyolenga lango (on target).
Tusubiri Kipindi cha Pili tuone mambo yatakuwaje.
FT 0-0
PENALTIES YANGA 1 SIMBA SC 3