Habari zenu wana Jamiiforums na wote wanaopenda kufahamu zaidi maswala ya teknolojia.
Kwa walio wengi ambao ni watumiaji wa Mac Computers za zamani iwe ni PPC au Intel wamekutana na majawabu kadhaa kutoka kwa mafundi kwamba Computer zao zimepitwa na wakati na hivyo haziwezi tena kuingia...
Habari zenu wana Jamiiforums na wote wanaopenda kufahamu zaidi maswala ya teknolojia.
Kwa walio wengi ambao ni watumiaji wa Mac Computers za zamani iwe ni PPC au Intel wamekutana na majawabu kadhaa kutoka kwa mafundi kwamba Computer zao zimepitwa na wakati na hivyo haziwezi tena kuingia...
CHOMBEZO:
PAULA MFARANSA MWENYE VISA
SEHEMU YA KWANZA
Mtunzi: Eng. Kimox Kimokole - 0786507507
Ni asubuhi njema sana yenye kajimvua ka kiaina kanakosababisha kuwepo na hali ya vuguvugu lenye kukera kiasi. Naamka kivivu kitandani kama nimelazimishwa. Nasikilizia viungo vya mwili vinavyokataa...
WANANGU LEO NATAKA NIKUSIMULIENI HADITHI >>>>>>>>>>>>>>>>>>>
HADITHI YETU INAITWA 'ESKROO' ILIYORAHISISHWA! ITAKUWA KATIKA MFUMO WA SOMO, ELIMU YA MSINGI - Darasa la VII
>>>>>>>>>>>>>
Mzee Uledi na Bwana Mussa ni marafiki. Wamefahamiana baada ya kuishi mtaa mmoja kwenye maeneo ya 'Uswazi'...
Happy Birthday MziziMkavu, napenda kuvhukua fursa hii kukutia siku njema ya kukumbuka kuzaliwa kwako na kukutakia maisha marefu zaidi ingawa unazeeka sasa!
HEBU TUZITAZAME HIZI KERO ZA MITANDAO YETU YA SIMU >>>
Binafsi ninazo 'line' za mitandao yote minne inayofanyakazi hapa Nchini. Sikupenda tu kuzimiliki bali nililazimishwa na ukali wa gharama za kuunganishiwa simu pale unapompigia simu mtu mwenye mtandao tofauti! Nikajikuta nimemiliki line hizo...
Kwa wale waliokuwa wanapata shida jinsi ya Kuinstall Dashboard ya Mobile Partner Mpya yenye WiFi kwenye Modem zao wanaweza kuchukua hii update niliyoitengeneza.
Dashboard hii ukii-run itaingia moja kwa moja kwenye Modem yako ya Huawei.
Pia Dashboard hii ina-support Windows, OSX (Macintosh)...
Wandugu wapenda mabadiliko na wapinga uonevu unaoendelea nchini Tanzania na wale wote wenye kuchukizwa na madudu yanayofanywa na "Serikali hii sikivu". Je inawezekana kuandamana na mabango yenye jumbe mbalimbali siku ya ujio wa Obama nchini Tanzania tumuoneshe yeye na Ulimwengu wote madhambi...
Wandugu wana JF na marafiki wote wa JF, napenda kuwapa habari njema kuwa nimepata Mtoto wa Kiume kwa mkewangu mpenzi. Nimempa jina "NSALA" kwa wale Wasukuma wekeni maana hapo kwenye Bold....
Nimeshamaliza kuDesign Calender za CHADEMA, nahitaji kuziPrint. Wapi nitapata Printer wa bei nafuu kwa Calender ya Leaf 6 size ya A2 (A2 Six Leaf Calender)
Wandugu nina tatizo kubwa sana hapa.
Mimi ninamiliki line ya tiGO toka 2009
Mwezi wa 10 nilipokea msg kwenye simu yangu ikisema "Mr. 714507507, Your service class changed from Tigo PPS to ConVen1, and the new service class effects on 2012-10-12"
Sasa baada ya ujumbe huo nikaanza kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.