paula

Paula Julie Abdul (born (1962-06-19)June 19, 1962) is an American singer, songwriter, dancer, choreographer, actress, and television personality. She began her career as a cheerleader for the Los Angeles Lakers at the age of 18 and later became the head choreographer for the Laker Girls, where she was discovered by The Jacksons. After choreographing music videos for Janet Jackson, Abdul became a choreographer at the height of the music video era and soon thereafter she was signed to Virgin Records. Her debut studio album Forever Your Girl (1988) became one of the most successful debut albums at that time, selling 7 million copies in the United States and setting a record for the most number-one singles from a debut album on the Billboard Hot 100 chart: "Straight Up", "Forever Your Girl", "Cold Hearted", and "Opposites Attract". Her six number one singles on the Billboard Hot 100 tie her with Diana Ross for seventh among the female solo performers who have topped the chart.Abdul was one of the original judges on the television series American Idol from 2002 to 2009, and has since appeared as a judge on The X Factor, Live to Dance, So You Think You Can Dance, and The Masked Dancer. Notably, she received choreography credits in numerous films, including Can't Buy Me Love (1987), The Running Man (1987), Big (1988), Coming to America (1988), Action Jackson (1988), The Doors (1991), Jerry Maguire (1996), and American Beauty (1999). She has received seventeen MTV Video Music Award nominations, winning five, as well as receiving the Grammy Award for Best Music Video for "Opposites Attract" in 1991. She received the Primetime Emmy Award for Outstanding Choreography twice for her work on The Tracey Ullman Show, and her own performance at the American Music Awards in 1990. Abdul was honored with her own star on the Hollywood Walk of Fame, and is the first entertainer to be honored with the Nickelodeon Kids' Choice Awards' Hall of Fame Award.

View More On Wikipedia.org
  1. Kiboko ya Jiwe

    2025 kuna uwezekano Paul Makonda akachukua fomu ya Urais. Ndipo Rais Samia ataijua vizuri rangi ya Paul Makonda

    Nimekaa pale nawazoom Watanzania mimi mlinzi msomi na mwenye vinasaba vya kinabii. Hizi sifa anazozichukua huko mitaani kwenye ziara zake huyu Mheshimiwa zitamfanya 2030 aione iko mbali. Maana kwa sasa target yake kubwa ni Urais na si cheo chochote. Aliamini 2025 angeachiwa kijiti na Magufuli...
  2. Hemedy Jr Junior

    Paula Masanja Afunguka "Anataka Kunioa Kuniharibia

    Katika chapisho lake la hivi punde kwenye mtandao wa TikTok, Paula aliiga sauti ya mwanamke akiweka wazi kuwa hayuko tayari kuolewa. “Mwanaume akisema anataka kukuoa sasa hivi utamchukulia aje?” sauti ya mwanaume iliuliza kwenye video. Sauti ya mwanamke ilijibu kwamba mtu ambaye ana nia ya...
  3. More Chances

    Sijafurahishwa na kitendo cha Paula Kajala

    Binti ni mzuri kweli mimi kama mwanaume rijali nakubali hilo bila kupinga. Lkn kitendo cha kupost picha zake yuko uchi hii ni kinyume na maadili yetu na tamaduni zetu watanzania. Naomba mamlaka husika zikomeshe tabia hii maana ni indicator tosha kuwa tupo kwenye mmomonyoko mkubwa wa maadili na...
  4. Nyendo

    Je, Rayvanny na Paula wamwagana?

    Mambo yanaenda kasi sana jamani. Lile penzi moto moto kati ya Rayvanny na Paula binti Kajala huenda likawa limefika kikomo baada ya kila mmoja kuacha kumfatilia mwenzake huko mjini Istagram. Hawanaishia tu kitofatiliana bali pia kila mtu kafuta pucha zote za mwenzake kwenye page yake. Sasa...
  5. Frumence M Kyauke

    Tetesi: Mapenzi siyataki tena Paula Kajala adai baada ya Rayvanny kupakia picha ya Fayvanny

    Mapenzi siyataki tena,'Paula Kajala adai baada ya Rayvanny kupakia picha ya Fayvanny Rayvanny ni msanii wa Bongo aliyesajiliwa chini ya WCB Wasafi. Yeye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Next Level music. Rayvanny aliachana na mpenzi wake na mama wa mtoto wake Fahyma mapema mwaka huu . Alianza...
  6. kyagata

    Paula kaenda kusomea kitu gani huko Uturuki?

    Katika pita pita zangu huko Insta, nimeona Paula Kajala yuko uturuki kimasomo. Hivi huyu form 4 si alifeligi au kaenda kusomea mambo gani huko uturuki?
  7. Slowly

    Kuna kila dalili penzi la Paula na RayVanny litapitia wakati mgumu sana

    Sio rahs Kwa Rayvanny kupitia njia aliyoipitia Diamond , kuna watu kuwa kwenye mahusiano na kuacha kwao sio tatizo , Ila kuna wengine sio kaz rahisi, kuna wengine ukishamhaidi binti utakuwa naye na yeye akawaza hvyo kwako na akakupenda aisee kumwacha sio kazi rahsi na utalipa Gharama kubwa...
  8. sinza pazuri

    Paula anaweza kuwa msichana mwenye mafanikio mpaka dunia ikashangaa

    Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula. Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha. Wengine sababu ya elimu sababu hakufanya vizuri darasani. Na kuna wanafki wanasema kaanza mapenzi akiwa...
  9. warumi

    Kajala na mwanae waja na Reality Tv show yao

    Mtu na mama yake ndo upumbavu wao ulipoishia hapa, mxieew reality show kwa maisha yapi waliokua nayo ? Kwa pesa Zipi? , yani kipi cha ajabu sana ambacho wanacho wakafanya mamillion ya watu waache kazi zao kuwatazama? Labda wa shoot porn . Kwa bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kuanzisha reality...
  10. Mohamed Said

    Paula Park na Makala ya Ally Sykes

    PAULA PARK ALIPONZWA NA ALLY SYKES 1986 Hayo hapo chini kwa hakika ni ya kale na yanatufunza matatizo yaliyokuwapo katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika. Ally Sykes ameacha kumbukumbu nyingi katika historia ya kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika. Hebu tutembee katika Mtaa wa...
  11. Slowly

    Rayvanny ampost mpenzi wake Paula wa Kajala wakila bata

    Wakati sintofahamu ya uanafunzi wa mtoto mzur Paula bado ikiwa imepamba Moto , nyota wa Bongo Fleva anayeikamatilia YouTube. Kwa sasa Rayvanny mnyakyusa kupitia ukurasa wake wa Instagram amempost mpenzi wake huyo wakila bata maeneo ya watu wazito ....
  12. Slowly

    Paula wa Kajala athibitisha yupo kwenye penzi zito na Rayvanny mtu mbaya

    Kupitia ukurasa wake wa Instagram mtoto mzuri , mwenye umbo matata na mwenye asili ya kimamtoni Paula wa Kajala amethibitisha kuwa sasa yupo kwenye penzi zito na nyota wa bongo fleva ambaye pia ni mmiliki wa label ya Next level music anayetamba na kibao chake cha KELEBE alicho mshirikisha...
  13. Slowly

    Hatimaye Paula wa Kajala amepost wimbo wa Mme wake "Kelebe" aliomshirikisha Innoss b

    Baada ya Vannyboy mtu mbaya kuachia "lisong" akiwa amemshirikisha mega star from Kongo Innos b , goma linalokwenda Kwa jina la "KELEBE"ambalo kwa sasa ndo habar ya mjini.... Goma Hilo lililogonga views "kilo " na usheee ndani ya saa moja ,limechanja mbuga huko YouTube na sasa linatambaa pale...
  14. Eng Kimox Kimokole

    Chombezo: Paula Mfaransa mwenye visa

    CHOMBEZO: PAULA MFARANSA MWENYE VISA SEHEMU YA KWANZA Mtunzi: Eng. Kimox Kimokole - 0786507507 Ni asubuhi njema sana yenye kajimvua ka kiaina kanakosababisha kuwepo na hali ya vuguvugu lenye kukera kiasi. Naamka kivivu kitandani kama nimelazimishwa. Nasikilizia viungo vya mwili vinavyokataa...
  15. Slowly

    Paula wa Kajala apost picha Snapchat akiwa amemkumbatia Rayvanny Mtu mbaya

    Huku penzi lao likiwa limeghubikwa na mikiki mikiki ya hapa na pale hata hivyo mwanadada huyo aisyeishiwa na vimbwanga ameonyesha kuwa yupo pamoja na Rayvann Kwa shida na Raha ..... Kupitia mtandao wa Snapchat Paula alipost picha akiwa ameibusu nguo inayodaiwa ni ya Rayvann na kuandika...
  16. Analogia Malenga

    Kajala, Paula wahojiwa polisi wakidaiwa kusambaza picha za Harmonize

    Mwigizaji wa filamu nchini Tanzania, Kajala na mwanaye Paula wamehojiwa kwa saa kadhaa polisi na kuachiwa kwa dhamana wakidaiwa kusambaza picha za utupu zinazodaiwa kuwa za msanii wa Bongofleva, Rajab Abdul maarufu Harmonize. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumanne Aprili 20, 2021 Kamanda...
  17. sinza pazuri

    P-Funk Majani umeteleza kumshambulia binti yako kwenye radio, wewe ni sehemu ya tatizo

    Majani anasema mtoto wake alimkataa, ila hasemi ilikuwaje wakafika hali hiyo. Majani anasema kwenye radio kuwa mtoto wake kazaliwa na mama asiyestahili. Majani anaitangazia dunia kwamba binti yake amelaanika. Kwa mtu mwenye hekma na utulivu wa akili utagundua Baba pia ana tatizo kubwa kuliko...
  18. sinza pazuri

    Fahima wa Rayvanny ateswa na wivu wa mapenzi

    Fahima anateswa na wivu wa mapenzi baada ya Rayvanny kuweka kambi kwa mtoto Paula. Anamuita Paula anaejiona amepata 😂😂😂 Nakushauri move on Fey hakunaga laana ya Ex...Hicho anachofanya Ray ndio uanaume sisi wanaume hata uwe mzuri vipi ukikosa heshima na unyenyekevu tunakuacha tunatafuta mali...
  19. REJESHO HURU

    Tuweke kumbukumbu sawa kilichomtuliza Lulu ndio kitakachomtuliza Paula wa Kajala

    Watalamu wa mambo wanasema historian ni mwalimu mzuri sana, wahenga mlikuwa mnafuatilia masuala ya burudani mnakumbuka mtindo wa maisha wa Elizabeth Michael jina Lulu, kabla ajapata tatizo la tuhuma za kumuua mwigizaji Kanumba. Lulu alikuwa ashikiki binti scandal hazimuishi bata club yeye...
  20. sinza pazuri

    Rayvanny afunguka kuhusu Harmonize, Paula, lebo ya NextLevel na mengine kuhusu muziki wake

    Akiwa katika live interview na radio namba moja kwa sasa WASAFI FM, Ray amefunguka yafuatayo " Wakati ananikandamiza (Hamonaizi) na kuchochea kwa kusema nimekosea sikuwa najua Chuki yake inatoka wapi . Lakini imekuja kunishangaza sana kuja kuona kumbe yeye ndio anafanya mabaya zaidi ya aliyokua...
Back
Top Bottom