Paula Julie Abdul (born (1962-06-19)June 19, 1962) is an American singer, songwriter, dancer, choreographer, actress, and television personality. She began her career as a cheerleader for the Los Angeles Lakers at the age of 18 and later became the head choreographer for the Laker Girls, where she was discovered by The Jacksons. After choreographing music videos for Janet Jackson, Abdul became a choreographer at the height of the music video era and soon thereafter she was signed to Virgin Records. Her debut studio album Forever Your Girl (1988) became one of the most successful debut albums at that time, selling 7 million copies in the United States and setting a record for the most number-one singles from a debut album on the Billboard Hot 100 chart: "Straight Up", "Forever Your Girl", "Cold Hearted", and "Opposites Attract". Her six number one singles on the Billboard Hot 100 tie her with Diana Ross for seventh among the female solo performers who have topped the chart.Abdul was one of the original judges on the television series American Idol from 2002 to 2009, and has since appeared as a judge on The X Factor, Live to Dance, So You Think You Can Dance, and The Masked Dancer. Notably, she received choreography credits in numerous films, including Can't Buy Me Love (1987), The Running Man (1987), Big (1988), Coming to America (1988), Action Jackson (1988), The Doors (1991), Jerry Maguire (1996), and American Beauty (1999). She has received seventeen MTV Video Music Award nominations, winning five, as well as receiving the Grammy Award for Best Music Video for "Opposites Attract" in 1991. She received the Primetime Emmy Award for Outstanding Choreography twice for her work on The Tracey Ullman Show, and her own performance at the American Music Awards in 1990. Abdul was honored with her own star on the Hollywood Walk of Fame, and is the first entertainer to be honored with the Nickelodeon Kids' Choice Awards' Hall of Fame Award.
Nimekaa pale nawazoom Watanzania mimi mlinzi msomi na mwenye vinasaba vya kinabii.
Hizi sifa anazozichukua huko mitaani kwenye ziara zake huyu Mheshimiwa zitamfanya 2030 aione iko mbali.
Maana kwa sasa target yake kubwa ni Urais na si cheo chochote. Aliamini 2025 angeachiwa kijiti na Magufuli...
Katika chapisho lake la hivi punde kwenye mtandao wa TikTok, Paula aliiga sauti ya mwanamke akiweka wazi kuwa hayuko tayari kuolewa.
“Mwanaume akisema anataka kukuoa sasa hivi utamchukulia aje?” sauti ya mwanaume iliuliza kwenye video.
Sauti ya mwanamke ilijibu kwamba mtu ambaye ana nia ya...
Binti ni mzuri kweli mimi kama mwanaume rijali nakubali hilo bila kupinga.
Lkn kitendo cha kupost picha zake yuko uchi hii ni kinyume na maadili yetu na tamaduni zetu watanzania.
Naomba mamlaka husika zikomeshe tabia hii maana ni indicator tosha kuwa tupo kwenye mmomonyoko mkubwa wa maadili na...
Mambo yanaenda kasi sana jamani.
Lile penzi moto moto kati ya Rayvanny na Paula binti Kajala huenda likawa limefika kikomo baada ya kila mmoja kuacha kumfatilia mwenzake huko mjini Istagram.
Hawanaishia tu kitofatiliana bali pia kila mtu kafuta pucha zote za mwenzake kwenye page yake.
Sasa...
Mapenzi siyataki tena,'Paula Kajala adai baada ya Rayvanny kupakia picha ya Fayvanny
Rayvanny ni msanii wa Bongo aliyesajiliwa chini ya WCB Wasafi. Yeye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Next Level music.
Rayvanny aliachana na mpenzi wake na mama wa mtoto wake Fahyma mapema mwaka huu .
Alianza...
Katika pita pita zangu huko Insta, nimeona Paula Kajala yuko uturuki kimasomo.
Hivi huyu form 4 si alifeligi au kaenda kusomea mambo gani huko uturuki?
Sio rahs Kwa Rayvanny kupitia njia aliyoipitia Diamond , kuna watu kuwa kwenye mahusiano na kuacha kwao sio tatizo , Ila kuna wengine sio kaz rahisi, kuna wengine ukishamhaidi binti utakuwa naye na yeye akawaza hvyo kwako na akakupenda aisee kumwacha sio kazi rahsi na utalipa Gharama kubwa...
Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula.
Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha.
Wengine sababu ya elimu sababu hakufanya vizuri darasani. Na kuna wanafki wanasema kaanza mapenzi akiwa...
Mtu na mama yake ndo upumbavu wao ulipoishia hapa, mxieew reality show kwa maisha yapi waliokua nayo ? Kwa pesa Zipi? , yani kipi cha ajabu sana ambacho wanacho wakafanya mamillion ya watu waache kazi zao kuwatazama? Labda wa shoot porn .
Kwa bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kuanzisha reality...
PAULA PARK ALIPONZWA NA ALLY SYKES 1986
Hayo hapo chini kwa hakika ni ya kale na yanatufunza matatizo yaliyokuwapo katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
Ally Sykes ameacha kumbukumbu nyingi katika historia ya kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.
Hebu tutembee katika Mtaa wa...
Wakati sintofahamu ya uanafunzi wa mtoto mzur Paula bado ikiwa imepamba Moto , nyota wa Bongo Fleva anayeikamatilia YouTube. Kwa sasa Rayvanny mnyakyusa kupitia ukurasa wake wa Instagram amempost mpenzi wake huyo wakila bata maeneo ya watu wazito ....
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mtoto mzuri , mwenye umbo matata na mwenye asili ya kimamtoni Paula wa Kajala amethibitisha kuwa sasa yupo kwenye penzi zito na nyota wa bongo fleva ambaye pia ni mmiliki wa label ya Next level music anayetamba na kibao chake cha KELEBE alicho mshirikisha...
Baada ya Vannyboy mtu mbaya kuachia "lisong" akiwa amemshirikisha mega star from Kongo Innos b , goma linalokwenda Kwa jina la "KELEBE"ambalo kwa sasa ndo habar ya mjini....
Goma Hilo lililogonga views "kilo " na usheee ndani ya saa moja ,limechanja mbuga huko YouTube na sasa linatambaa pale...
CHOMBEZO:
PAULA MFARANSA MWENYE VISA
SEHEMU YA KWANZA
Mtunzi: Eng. Kimox Kimokole - 0786507507
Ni asubuhi njema sana yenye kajimvua ka kiaina kanakosababisha kuwepo na hali ya vuguvugu lenye kukera kiasi. Naamka kivivu kitandani kama nimelazimishwa. Nasikilizia viungo vya mwili vinavyokataa...
Huku penzi lao likiwa limeghubikwa na mikiki mikiki ya hapa na pale hata hivyo mwanadada huyo aisyeishiwa na vimbwanga ameonyesha kuwa yupo pamoja na Rayvann Kwa shida na Raha .....
Kupitia mtandao wa Snapchat Paula alipost picha akiwa ameibusu nguo inayodaiwa ni ya Rayvann na kuandika...
Mwigizaji wa filamu nchini Tanzania, Kajala na mwanaye Paula wamehojiwa kwa saa kadhaa polisi na kuachiwa kwa dhamana wakidaiwa kusambaza picha za utupu zinazodaiwa kuwa za msanii wa Bongofleva, Rajab Abdul maarufu Harmonize.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumanne Aprili 20, 2021 Kamanda...
Majani anasema mtoto wake alimkataa, ila hasemi ilikuwaje wakafika hali hiyo.
Majani anasema kwenye radio kuwa mtoto wake kazaliwa na mama asiyestahili.
Majani anaitangazia dunia kwamba binti yake amelaanika.
Kwa mtu mwenye hekma na utulivu wa akili utagundua Baba pia ana tatizo kubwa kuliko...
Fahima anateswa na wivu wa mapenzi baada ya Rayvanny kuweka kambi kwa mtoto Paula.
Anamuita Paula anaejiona amepata 😂😂😂
Nakushauri move on Fey hakunaga laana ya Ex...Hicho anachofanya Ray ndio uanaume sisi wanaume hata uwe mzuri vipi ukikosa heshima na unyenyekevu tunakuacha tunatafuta mali...
Watalamu wa mambo wanasema historian ni mwalimu mzuri sana, wahenga mlikuwa mnafuatilia masuala ya burudani mnakumbuka mtindo wa maisha wa Elizabeth Michael jina Lulu, kabla ajapata tatizo la tuhuma za kumuua mwigizaji Kanumba.
Lulu alikuwa ashikiki binti scandal hazimuishi bata club yeye...
Akiwa katika live interview na radio namba moja kwa sasa WASAFI FM, Ray amefunguka yafuatayo
" Wakati ananikandamiza (Hamonaizi) na kuchochea kwa kusema nimekosea sikuwa najua Chuki yake inatoka wapi . Lakini imekuja kunishangaza sana kuja kuona kumbe yeye ndio anafanya mabaya zaidi ya aliyokua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.