Eng Kimox Kimokole
JF-Expert Member
- Jun 9, 2010
- 1,032
- 759
Habari zenu wana Jamiiforums na wote wanaopenda kufahamu zaidi maswala ya teknolojia.
Kwa walio wengi ambao ni watumiaji wa Mac Computers za zamani iwe ni PPC au Intel wamekutana na majawabu kadhaa kutoka kwa mafundi kwamba Computer zao zimepitwa na wakati na hivyo haziwezi tena kuingia Operating System (OSX) mpya na inawalazimi kununua Mac mpya kabisa ili kuendana na wakati na pia kuweza kuweka Application mpya kama za Adobe CC 2020.
Wengi wamejikuta ni wahanga wa kununua Mac mpya kila wakati kulingana na Software wanazonunua kukataa kuingia kwenye Mac za zamani na hiyo inatokana na OSX yao kuwa imepitwa na wakati.
Ninalo JAWABU kwa ajili yako
Usiitupe Mac Computer yako, ninaweza kukuwekea OSX Mpya kabisa kama;
Muhimu ni kwamba; Kwa wale wenye Mac za zamani kama za mwaka 2007 (Oldest Mac Computers) itawalazimu kuongeza RAM (Random Access Memory) ili hiyo OSX mpya iweze kufanya vizuri pamoja na programu zako (experiencing a speed up of OSX and apps).
Suluhisho la tatizo lako ninalo. Unaweza kunitafuta kwa namba zifuatazo tuhuishe Mac Computer yako;
+255 714 507 507 (Call/Text and WhatsApp Business)
+255 736 507 507 (Call/Text)
+255 786 507 507 (Call/Text and WhatsApp)
Eng. Kimox Kimokole
(BSc in Computer Engineering and Information Technology, CCNA)
Kwa walio wengi ambao ni watumiaji wa Mac Computers za zamani iwe ni PPC au Intel wamekutana na majawabu kadhaa kutoka kwa mafundi kwamba Computer zao zimepitwa na wakati na hivyo haziwezi tena kuingia Operating System (OSX) mpya na inawalazimi kununua Mac mpya kabisa ili kuendana na wakati na pia kuweza kuweka Application mpya kama za Adobe CC 2020.
Wengi wamejikuta ni wahanga wa kununua Mac mpya kila wakati kulingana na Software wanazonunua kukataa kuingia kwenye Mac za zamani na hiyo inatokana na OSX yao kuwa imepitwa na wakati.
Ninalo JAWABU kwa ajili yako
Usiitupe Mac Computer yako, ninaweza kukuwekea OSX Mpya kabisa kama;
- OSX High Sierra (10.12.6),
- OSX Catalina (10.15.7),
- OSX Big Sur (11.0),
- OSX Monterey (12.0)
Muhimu ni kwamba; Kwa wale wenye Mac za zamani kama za mwaka 2007 (Oldest Mac Computers) itawalazimu kuongeza RAM (Random Access Memory) ili hiyo OSX mpya iweze kufanya vizuri pamoja na programu zako (experiencing a speed up of OSX and apps).
Suluhisho la tatizo lako ninalo. Unaweza kunitafuta kwa namba zifuatazo tuhuishe Mac Computer yako;
+255 714 507 507 (Call/Text and WhatsApp Business)
+255 736 507 507 (Call/Text)
+255 786 507 507 (Call/Text and WhatsApp)
Eng. Kimox Kimokole
(BSc in Computer Engineering and Information Technology, CCNA)