A computer program is a collection of instructions that can be executed by a computer to perform a specific task.
A computer program is usually written by a computer programmer in a programming language. From the program in its human-readable form of source code, a compiler or assembler can derive machine code—a form consisting of instructions that the computer can directly execute. Alternatively, a computer program may be executed with the aid of an interpreter.
A collection of computer programs, libraries, and related data are referred to as software. Computer programs may be categorized along functional lines, such as application software and system software. The underlying method used for some calculation or manipulation is known as an algorithm. The way data is organized is referred to data structures.
Haya ni maoni na ushauri wangu wa Bure kwa TRA, naomba niwaahauri waweze kuanzisha program Maalum ya Certified Tax Educator (CTE), hii inatokana na Kwamba kwa sasa Watanzania wengi hawana Elimu ya kutosha kuhusiana na masuala ya kodi.
Tukio halisi ni la hivi karibuni lililotokea Dar es Salaam...
Habari wanajamvi,
Kama heading ilivyo, naomba kwa wenye uzoefu na scholarship hii wanisaidie ufafanuzi wa kina kwa maeneo yafuatayo;
1. Nini huangaliwa zaidi mpaka mwombaji kuwa shortlisted
2. Makadirio ya idadi ya waombaji kwa Tanzania, na huwa wanapata wangapi kwa makadirio ya kila mwaka?
3...
Zikianza project kama hizi specifically maeneo ya uswazi pekee ndani ya miaka 10 slums zote zitakuwa zimeisha maana Tanzania slums zinahesabika sana.
Halafu zile informal settlements ambazo nyumba zina shape nzuri tatizo zimechoka, zimechakaa, mabati ya kutu na miundombinu mibovu.
Serikali...
Our NGO is looking for passionate trainers and mentors to support a program empowering visually impaired youth with digital, workplace and entrepreneurship skills.
We are looking for experts in:
• Career development & goal setting
• CV & cover letter writing
• Presentation skills & interview...
Sikutegemea kabisa kwa zama hizi kama serikali ingekuja na aina hii ya kuficha shahidi kwenye kiboksi cha plywood.
Teknologia imekua sana huwezi kutumia kisanduku cha maboksi kumficha mtu, sauti yake ikirekodiwa inatosha kabisa kumtambua mtu anayeongea.
Kuna programu nyingi za kutambua sauti...
DORIS MOLLEL FOUNDATION
Organization Overview
The Doris Mollel Foundation (DMF) is a Non-Profit Organization registered under the Laws of Tanzania (Registration No. 00NGO/R2/00079), dedicated to ending maternal and newborn deaths and advancing adolescent reproductive health in East Africa...
Wakuu habari
Nimekuwa nikutumia hii program kwa muda kidogo baada ya kukutana na threads kadhaa humu JF nami nika-download na nikaanza kutumia kama kawaidia.
Nilikuja kushangaa kuona program inanipa ushauri kuhusu biashara yangu mfano leo inaniambia kuwa 'nipungunze kulipa madeni kutokana na...
Serikali ya Singapore na Tanzania zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo na kiuchumi kupitia sekta mbalimbali ikiwemo uendeshaji wa bandari, utalii, sekta ya fedha, usafirishaji, biashara na uwekezaji, elimu na kilimo ili kuchochea kasi ya maendeleo ya Taifa na wananchi wake...
Kama umechoka kuandika kila kitu kwenye daftari, unakosea bei kila siku, au hujui biashara yako ina faida au hasara – hii software ni yako!
Inaweza Nini?
Inaangalia biashara yako mwanzo hadi mwisho:
Unauza bidhaa
Unaweka madeni na mikopo
Unajua faida yako muda huo huo
Unachapisha risiti...
Wakuu kwema?
Mimi nina rafiki yangu ni mwalimu wa masomo ya Chemistry na Biology.
Anawezaje kupata scholarship ya kusoma masters? Mwenye uzoefu, anawezaje kupambana kupata full funded scholarship?
NB: Preference yake ni Nelson Mandela Institution of Science and Technology(Arusha)
Asanteni^
Taarifa ya vyombo vya Intelijensia vya Marekani imesema kuwa Shambulio la Marekani huko Fordow limerudisha mpango wa Iran wa Nyukilia miezi michache nyuma.
Imesema kuwa yale mabomu hayakupenya ipasvyo na kugusa chini kabisa ndani ya mlima
Taarifa zaidi unaweza kuipata hapa...
Ninaomba kazi za Data entry, analysis...
Kutoa huduma za simu na pesa na internet
Graphics designing
Supermarket na security checking and approval.
Ninakuhakikishia nitakufanyia kazi yako kwa uhakika umakini na kwa wakati unaotakiwa.
Mwaminifu na NAMUOGOPA MOLA WANGU...my friend nakuhakikishia...
PROGRAM OFFICER
LOCATION: ZANZIBAR
About the role
The Program Officer will support ongoing initiatives to strengthen Zanzibar’s healthcare system, including health financing, quality improvement, digital health, non-communicable diseases, and maternal care. The role involves collaborating with...
Watu wengi wameeleza kushindwa kuichangia CHADEMA kupitia mtandao wa Mpesa/Vodacom.
Baadhi ya waliojaribu kuwasiliana na Vodacom huduma kwawateja, wameambiwa kuwa eti akaunti hiyo ya CHADEMA imejaa pesa, na hivyo haiwezi kupokea hela zaidi. Wakati kwenye makubaliano kati ya CHADEMA na Vodacom...
Kwa:
Meneja wa Bongo Star Search (BSS)
Dar es Salaam, Tanzania
Yah: Kuanzisha Programu ya Kuwapeleka Washindi wa BSS Kushiriki Mashindano ya America’s Got Talent (AGT)
Natumai barua hii inakufikia ukiwa na afya njema na unaendelea vyema na juhudi za kukuza vipaji vya muziki na sanaa kupitia...
Majuzi nilikuwa matembezini zanzibar, nilichokishuhudia ardhi yao si ya kutosha kwa kilimo kikubwa kile cha kimkakati, ambacho unaweza kuita kama kilimo haswa,
Nikatafakari je haiwezekani kukapatikana vijana 300-500 wa kizanzibar wakaanzishiwa program ya kilimo, aidha Mkoani Morogoro au Tabora...
https://feminahip.or.tz/
FEMINA HIP mmepotelea wapi ndugu zetu? Zamani mlitoa elimu kwa vijana juu ya maambukizi ya magonjwa ya ngono, mimba za utotoni nakadhalika. Vijana wengi tulivutiwa sana na Magazine za Femina Hip kwasababu tulifahamu njia zote mbaya za kutuingiza kwenye vishawishi vibaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.