Habari zenu wanajamii,
Kuna gari ina tatizo ambalo nashindwa kulielewa/kulielezea sawa sawa.
Ni kwamba radio ya gari inazima (inakosa umeme?) baada ya muda fulani. Nikichomoa terminals za betri inafanya kazi, ila baada ya muda tatizo linarudi.
Radio inakua kama haipati umeme kabisa.
Kuna mwenye...
Najua wengi wetu mmeshawahi kushuhudia au kuishi ndani ya single parenting ama maisha ya magomvi muda wote .namaanisha kuwa mzazi kati ya migongano ya kimahusiano .
Mimi (ex. st) RR nawashauri single parents (wale walio kwenye magomvi)
waache kutumia watoto kama zana ya kupigania...
Leo nimesikia nafsi yangu ina affinity ya ajabu na mwanamke......ni upendo...wa kiagape na zaidi...
Namkumbuka mke wangu....
Namkumbuka mama yangu (RIP)....
Nwakukumbuka dada zangu....
Nawakumbuka wanawake wote walioniwezesha na waaoniwezesha kuishi ninavyoishi......
Nimshukuru Shaggy kwa huu...
Wadau, mabibi na mabwana
Baada ya kutafakari kwa kina, nimefikia uamuzi wa kuacha kabisa infedeility .
Sasa kwa kuwa basi mi katibu mkuu wa kambi yetu shupavu, nina masharti madoooogo tu ya kujiunga na kambi ya upinzani .
1. Upinzani wanihakikishie hawatanilazimisha kutoa hotuba ya kupinga...
Dear Boss
I wish to let you know that the FIFA World Cup is about to begin. This is
not just any other tournament, it's the World Cup!
Please note that this tournament takes place every four years and a month
to finish, i.e. from 11th June to 11th July for this year.
During this period...
To
Juliet
Grade 7.0 S.M
Sub: Offer of love!
Dearest Ms Juliet,
I am very happy to inform you that I have fallen in Love with you since the 14th of October (Saturday).
With reference to the meeting held between us on the 13th of Oct. At 1500 hrs, I would like to present...
Wakuu hivi sasa ligi za soka (2008/09) zinaelekea ukingoni (ya kwetu Bongo ilishaisha)....
Hebu tuchukue muda kidogo na kujikumbusha matukio muhimu yaliyokugusa binafsi....namaanisha labda ulifurahia sana, ama ulihuzunika sana ama chochote unachoona kiligusa hisia zake kuliko vingine.
Mimi...
Michael Jackson sued by Arab sheikh in UK court
11/17/2008 4:00 PM, AP
The son of an Arab monarch took the King of Pop to court Monday, charging that Michael Jackson took $7 million as an advance on an album and an autobiography that he never produced.
Lawyers for Sheikh Abdulla bin Hamad...
Wakuu hii nimepewa na mdau m1.
Boss said to secretary: For a week we will go abroad, so make arrangements.
Secretary make call to Husband: For a week my boss and I will be going abroad, you look after yourself.
Husband make call to secret lover (a teacher): My wife is going abroad for a...
Hapa Tz tuna siku kadhaa za kitaifa, ambazo huwa ni mapumziko na hutumika kuadhimisha au kukumbuka jambo fulani.
Ukiondoa siku za kidini kuna siku zifuatazo (ambazo zinakua mapumziko):
12/jan - Mapinduzi Zanzibar
07/april - Karume
26/april - Muungano
01/mei - wafanyakazi
07/julai - biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.