Search results

  1. R

    Tatizo la mfumo wa umeme wa gari

    Habari zenu wanajamii, Kuna gari ina tatizo ambalo nashindwa kulielewa/kulielezea sawa sawa. Ni kwamba radio ya gari inazima (inakosa umeme?) baada ya muda fulani. Nikichomoa terminals za betri inafanya kazi, ila baada ya muda tatizo linarudi. Radio inakua kama haipati umeme kabisa. Kuna mwenye...
  2. R

    Watoto....best interest.....

    Najua wengi wetu mmeshawahi kushuhudia au kuishi ndani ya ‘single parenting’……ama maisha ya magomvi muda wote….namaanisha kuwa mzazi kati ya migongano ya kimahusiano…. Mimi (ex. st) RR nawashauri ‘single parents’ (wale walio kwenye magomvi) waache kutumia watoto kama zana ya kupigania...
  3. R

    Strength of a woman....

    Leo nimesikia nafsi yangu ina affinity ya ajabu na mwanamke......ni upendo...wa kiagape na zaidi... Namkumbuka mke wangu.... Namkumbuka mama yangu (RIP).... Nwakukumbuka dada zangu.... Nawakumbuka wanawake wote walioniwezesha na waaoniwezesha kuishi ninavyoishi...... Nimshukuru Shaggy kwa huu...
  4. R

    Ulevi na uadilifu wa ndoa....

    Mme karudi nyumbani chakari….netwek imekata…..mke anampokea mme wake na kumvua nguo ili amlaze kitandani…… Mme: We ma hick hick maaya hick hick…we maaya..niashe hick hick….nashema niashe hick hick….nampenda mke wangu… Kinafata kibao kikal...
  5. R

    Mtoto wa kirundi na Kiingereza

    Niliipenda hii kiingereza (burundi version)...
  6. R

    Naacha infidelity

    Wadau, mabibi na mabwana… Baada ya kutafakari kwa kina, nimefikia uamuzi wa kuacha kabisa infedeility…. Sasa kwa kuwa basi mi katibu mkuu wa kambi yetu shupavu, nina masharti madoooogo tu ya kujiunga na kambi ya upinzani…. 1. Upinzani wanihakikishie hawatanilazimisha kutoa hotuba ya kupinga...
  7. R

    Sina mzuka wa kazi.......

    Dear Boss I wish to let you know that the FIFA World Cup is about to begin. This is not just any other tournament, it's the World Cup! Please note that this tournament takes place every four years and a month to finish, i.e. from 11th June to 11th July for this year. During this period...
  8. R

    Gari

    Hivi mwenye gari hii anaweza (au anarusiwa) kukamata gari nyingine kwa madai ya ubovu?
  9. R

    Sand Drawing (amazing talent)

    Kuna huyu dada ana kipaji cha aina yake. http://www.youtube.com/watch?v=vOhf3OvRXKg&feature=player_embedded
  10. R

    Chama cha wakulima na wafanyakazi

    Kamanda mpya, Tonny Ngombale Mwiru, akisimikwa kwa kuvishwa gwanda na Ridhiwani Kikwete... kwa hisani ya gp
  11. R

    Love Letter

    To Juliet Grade 7.0 S.M Sub: Offer of love! Dearest Ms Juliet, I am very happy to inform you that I have fallen in Love with you since the 14th of October (Saturday). With reference to the meeting held between us on the 13th of Oct. At 1500 hrs, I would like to present...
  12. R

    Jina la huu mti..

    Katika pitapita zangu nimekutana na huu mti na una matunda. Kuna mtu awezaye kunitajia jina la huu mti? Na matunda yake?
  13. R

    Ligi zinaisha: Ni kipi kilikugusa sana?

    Wakuu hivi sasa ligi za soka (2008/09) zinaelekea ukingoni (ya kwetu Bongo ilishaisha).... Hebu tuchukue muda kidogo na kujikumbusha matukio muhimu yaliyokugusa binafsi....namaanisha labda ulifurahia sana, ama ulihuzunika sana ama chochote unachoona kiligusa hisia zake kuliko vingine. Mimi...
  14. R

    Nani mkweli, nani mwongo?

    Soma maongezi haya.... NN: Chochote atakachoongea Kibs ni uongo. Kibs: Alichoongea NN ni kweli. Kati ya NN na Kibs, nani mwongo na nani mkweli?
  15. R

    Wacko Jacko azidi kumalizwa

    Michael Jackson sued by Arab sheikh in UK court 11/17/2008 4:00 PM, AP The son of an Arab monarch took the King of Pop to court Monday, charging that Michael Jackson took $7 million as an advance on an album and an autobiography that he never produced. Lawyers for Sheikh Abdulla bin Hamad...
  16. R

    Catch 22!

    Wakuu hii nimepewa na mdau m1. Boss said to secretary: For a week we will go abroad, so make arrangements. Secretary make call to Husband: For a week my boss and I will be going abroad, you look after yourself. Husband make call to secret lover (a teacher): My wife is going abroad for a...
  17. R

    Who are the Mungiki?

    JF members, I have been reading and hearing a lot about the Mungiki.... Who are these guys? Where do they come from? Why are they banned?...
  18. R

    Kwa nini Karume, Nyerere na Union Day?

    Hapa Tz tuna siku kadhaa za kitaifa, ambazo huwa ni mapumziko na hutumika kuadhimisha au kukumbuka jambo fulani. Ukiondoa siku za kidini kuna siku zifuatazo (ambazo zinakua mapumziko): 12/jan - Mapinduzi Zanzibar 07/april - Karume 26/april - Muungano 01/mei - wafanyakazi 07/julai - biashara...
  19. R

    Vijembe vya majuu

  20. R

    Picha: Mtoto wa mtoto

    Mama ana miaka 14, mtoto ana miaka 2; nani analea? Mtoto aweza kweli kumlea mtoto mwenzie? http://majira.co.tz/majira.php
Back
Top Bottom