Jina la huu mti..

RR

JF-Expert Member
Mar 17, 2007
6,966
2,019
Katika pitapita zangu nimekutana na huu mti na una matunda.

attachment.php


attachment.php


Kuna mtu awezaye kunitajia jina la huu mti? Na matunda yake?
 

Attachments

  • mti.JPG
    mti.JPG
    70.4 KB · Views: 691
  • mti1.JPG
    mti1.JPG
    101.6 KB · Views: 742
Hayo matunda kama sikosei yanaitwa Breadfruit. (Doriani au wengine wanaita Fenesi la kizungu).

Mti wenyewe utwaitwa Mdoriani (kama sijakosea)
 
Hayo matunda kama sikosei yanaitwa Breadfruit. (Doriani au wengine wanaita Fenesi la kizungu).

Mti wenyewe utwaitwa Mdoriani (kama sijakosea)

Breadfruit (Artocarpus altilis) is a species of [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Flowering_plant"]flowering[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Tree"]tree[/ame] in the mulberry family, [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Moraceae"]Moraceae[/ame], that is native to the [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Malay_Peninsula"]Malay Peninsula[/ame] and western [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Pacific_Ocean"]Pacific[/ame] islands. It has also been widely planted in tropical regions elsewhere.

source:[ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Breadfruit[/ame]
 
haya matunda sio wanaitaga mashelisheli ama?,
nakumbuka iliwai kula enzi hizo, yanapikwa kama viazi, nadhani ndio maana kuna mkuu mmoja
kasema yanaitwa 'BreadFruit'
 
Kama wengine walivyosema huo mti unaitwa Mshelisheli na matunda yanaitwa mashelisheli. Kuna aina mbili za miti hii na huwa inafanana sana tofauti inaonekana kwenye matunda ambapo Mshelisheli (Breadfruit) matunda yake hayana mbegu na yanaliwa yakiwa yamepikwa(kuchemshwa) na Mshelisheli mbegu (Breadnut) matunda yake yana mbegu ndani na mbegu ndizo zinazoliwa kama karanga. Miti yote inajulikana kwa jina la kisayansi kama Artocarpus altilis.
 
Wakuu nashukuru kwa elimu niliyopata...tena bure. Manake nimekumbushwa hadi kabayoloji kangu ka fom tu!
Niliwahi kuambiwa jina la mshelisheli, lakini nilidhani ni jina la kienyeji.
Thanx
all!
 
Katika pitapita zangu nimekutana na huu mti na una matunda.

attachment.php


attachment.php


Kuna mtu awezaye kunitajia jina la huu mti? Na matunda yake?


Ni mshelisheli huo; kule visiwani znz/pba wakikupikia yaliyoungwa na nazi unaweza kusema umekula mihogo iliyoungwa kwa nazi.
 
Huo ni msheli sheli na ukitaka ustarehe ulipike kwa tuwi bubu na supu ya samaki wa kirungu mpweke.
 
Wakuu nashukuru kwa elimu niliyopata...tena bure. Manake nimekumbushwa hadi kabayoloji kangu ka fom tu!
Niliwahi kuambiwa jina la mshelisheli, lakini nilidhani ni jina la kienyeji.
Thanx
all!

Lol! Lazima Roya Roy utakuwa Mchaga wa Rombo!
 
Katika pitapita zangu nimekutana na huu mti na una matunda.

attachment.php


attachment.php


Kuna mtu awezaye kunitajia jina la huu mti? Na matunda yake?

Thanx Injinia, BTW, for sure nilishindwa kuu-tambua, hopefully hapo ni kwako nje! Lol...! ila hiyo nyumba nyuma ya hiyo miti, dont tell me ni majirani zako tehetehe!
 
Huo ni msheli sheli na ukitaka ustarehe ulipike kwa tuwi bubu na supu ya samaki wa kirungu mpweke.

Kwa hiyo una matunda au tutaita kitu gani, sababu mnasema yanapikwa kama viazi au mihogo....hopefully kuna wajuvi wa lugha

Lol! Lazima Roya Roy utakuwa Mchaga wa Rombo!
No comment. I choose to remain silent. LOL

Nani kawaruhusu kupiga picha ya Mshelisheli shambani kwangu na kuileta hapa JF?
LOL....hapo ni Kilosa mkuu..and i hope upo Kilosa!

... hopefully hapo ni kwako nje! Lol...! ila hiyo nyumba nyuma ya hiyo miti, dont tell me ni majirani zako tehetehe!
Kaka si unajua tena uwekezaji wa kizalendo? Mtaji mdogo bro. Hiyo nyumba ni yangu na sio ya jirani!
 
Yah Its very true that tree is 'bread fruit" in english and Mshelisheli in swahili, the fruits is shelisheli and plural Mashelisheli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom