Naacha infidelity

RR

JF-Expert Member
Mar 17, 2007
6,966
2,019

Wadau, mabibi na mabwana…
Baada ya kutafakari kwa kina, nimefikia uamuzi wa kuacha kabisa infedeility….
Sasa kwa kuwa basi mi katibu mkuu wa kambi yetu shupavu, nina masharti madoooogo tu ya kujiunga na kambi ya upinzani….
1. Upinzani wanihakikishie hawatanilazimisha kutoa hotuba ya kupinga infidelity wakati najua infidelity is there to stay
2. Nitapata mapokezi ya kishindo i.e. kupewa muda wa kuwa faragha na wafuatao:
i. Smiles (asiogope itakuwa bedless bedroom)
ii. Beauty
iii. Mwanajamiione
iv. Carmel
v. Nyamayao
vi. Wengineo kama itakavyoipendeza ISC...
3. Rule 3 iruhusiwe kutumika kwa hao wa juu….ni muhimu mwenyekiti, mhazini, mfalme na washauri na membaz wote wakaridhika na hatua yangu
As it’s only a Friday nawasilisha….
Katibu.
 
Kichwani kwangu kiongozi?
Dah....jana nilikunywa nini kwani....:A S confused:....sijui waliweka gongo kwenye ile chupa ya nyagi?

Nahisi Eliza kuna vitu alikuwekea au jana ulikuwa unakunywa zero pub na hawa wafuatao SMILES, BEAUTY,MJI, CARMEL, NYAMAYAO halafu wakakuwekea vitu kwenye valuer yako nahisi kama vile unatembea kichwa chini miguu juu
 
Tatizo sikumbuki kama nilikunywa chochote jana...


Kama hii imetoka moyoni karibu sana ..kukaa kimya kwangu kuhusu swala hili si kwamba natetea mambo yenu ya infidelity
Kondoo mmoja uliyepotea karibu sana
 
Kama hii imetoka moyoni karibu sana ..kukaa kimya kwangu kuhusu swala hili si kwamba natetea mambo yenu ya infidelity
Kondoo mmoja uliyepotea karibu sana

Ni hito tumasharti tudogo tu mnitekelezee...:A S 8:
 
Ngoja ni :A S 100::A S 100::A S 100::A S 100::A S 100:na TEAMO, ACID, KAIZER, ASPRIN maana naona uliishanza kuchanganya mafuta ya taa na diseli
 

Wadau, mabibi na mabwana…
Baada ya kutafakari kwa kina, nimefikia uamuzi wa kuacha kabisa infedeility….
Sasa kwa kuwa basi mi katibu mkuu wa kambi yetu shupavu, nina masharti madoooogo tu ya kujiunga na kambi ya upinzani….
1. Upinzani wanihakikishie hawatanilazimisha kutoa hotuba ya kupinga infidelity wakati najua infidelity is there to stay
2. Nitapata mapokezi ya kishindo i.e. kupewa muda wa kuwa faragha na wafuatao:
i. Smiles (asiogope itakuwa bedless bedroom)
ii. Beauty
iii. Mwanajamiione
iv. Carmel
v. Nyamayao

vi. Wengineo kama itakavyoipendeza ISC...
3. Rule 3 iruhusiwe kutumika kwa hao wa juu….ni muhimu mwenyekiti, mhazini, mfalme na washauri na membaz wote wakaridhika na hatua yangu
As it's only a Friday nawasilisha….
Katibu.
yani unataka wote hao? ushakua mswati nini?? duh

hiyo list naiona kama umeiweka kwa order maalum au ni random tu?
 

Wadau, mabibi na mabwana…
Baada ya kutafakari kwa kina, nimefikia uamuzi wa kuacha kabisa infedeility….
Sasa kwa kuwa basi mi katibu mkuu wa kambi yetu shupavu, nina masharti madoooogo tu ya kujiunga na kambi ya upinzani….
1. Upinzani wanihakikishie hawatanilazimisha kutoa hotuba ya kupinga infidelity wakati najua infidelity is there to stay
2. Nitapata mapokezi ya kishindo i.e. kupewa muda wa kuwa faragha na wafuatao:
i. Smiles (asiogope itakuwa bedless bedroom)
ii. Beauty
iii. Mwanajamiione
iv. Carmel
v. Nyamayao
vi. Wengineo kama itakavyoipendeza ISC...
3. Rule 3 iruhusiwe kutumika kwa hao wa juu….ni muhimu mwenyekiti, mhazini, mfalme na washauri na membaz wote wakaridhika na hatua yangu
As it’s only a Friday nawasilisha….
Katibu.
yes yes yeaaaah!
nakuunga mkono ukaongee nao faragha hao wandago wa kambi ya pili. ila usisahau kutuletea picha hapa jukwaani. Naamini utaenda kuifanya vyema kazi yetu ukiwa huko.

Jamani mpokeeni mwenzetu kwa mikono miwili jamani, jitahidini kumbadilisha ingawa twamjua siye...

natoa sharti la mimi kujiunga na prevention team, aje nyama yao kunishawishi faragha naweza kufikiria kujiunga labda
 
Valuer bado ziko kichwani
Inategemea ni kichwa gani unazungumzia mkuu..........maana hayo masharti naona kabisa hana nia ya kuhama ISC bali ana pango wa kuumaliza upinzani kwa kuurubuni kuingiza sheria na taratibu za ISC kwa IPC.
 
yani unataka wote hao? ushakua mswati nini?? duh

hiyo list naiona kama umeiweka kwa order maalum au ni random tu?

Hahahaaa....order doesn't count...:behindsofa:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom