Watoto....best interest.....

RR

JF-Expert Member
Mar 17, 2007
6,966
2,019
Najua wengi wetu mmeshawahi kushuhudia au kuishi ndani ya ‘single parenting’……ama maisha ya magomvi muda wote….namaanisha kuwa mzazi kati ya migongano ya kimahusiano….
Mimi (ex. st) RR nawashauri ‘single parents’ (wale walio kwenye magomvi)

  • waache kutumia watoto kama zana ya kupigania uhusiano wao….. au kama kifaa cha kumwadhibu mzazi mwenzake….(hapa wengine hata hupandikiza chuki kwa watoto dhidi ya uapande wa pili).
  • waache ubinafsi katika kufanya maamuzi yahusuyo watoto….sio vizuri mzazi akaruhusu mtoto akakaa na mzazi mwengine, hata kama kisheria mzazi huyu ana uwezo wa kung’ang’ania …as long as it is of best interest to the kid….mfano sioni ulazima wa baba kumchukua mtoto kwa kisingizio cha mtoto kutimiza miaka saba ya kisheria au mama kukataa mtoto asikae na baba kwa akisingizia mtoto hajatimiza miaka saba!
Kumbukeni....mzazi wa mwanao akipata maumivu….basi hayo maumivi yanamfikia mtoto…in some ways!
Ni ushauri tu!
 
Ni ubinafsi ule ule uliotumika kumtenda mwenzi wako ndi unakuskuma kuona kuwa uendelee kumkomoa kwa kumyima ama kumzuia kuishi au hata kumtekelezea mwano mahitaji muhimu.

Naungana na ex Saint!

Watoto ni tunu na zawadi kwetu sote ; tulielwe hilo na hata tutakapohitilafiana isiwe ndio uchocoro wa kupitishia makombora yetu

Nawapenda nyote.................salam kwenu binamz wote.........nilikaribishwa Usaluleni.............I missed you!
 
Ni ubinafsi ule ule uliotumika kumtenda mwenzi wako ndi unakuskuma kuona kuwa uendelee kumkomoa kwa kumyima ama kumzuia kuishi au hata kumtekelezea mwano mahitaji muhimu.

Naungana na ex Saint!

Watoto ni tunu na zawadi kwetu sote ; tulielwe hilo na hata tutakapohitilafiana isiwe ndio uchocoro wa kupitishia makombora yetu

Nawapenda nyote.................salam kwenu binamz wote.........nilikaribishwa Usaluleni.............I missed you!


Sijui kwa nini hamna kampeni za 'BETTER SINGLE PARENTING'
 
Umetoa ushauri mzuri saaana… but hili ni tatizo kubwa mno, Tatizo ni kwamba wazazi weengi wako soo selfish wakisahau kabisa kua hivo wafanyavo watoto wanaona, na hizo chuki wanazowajenga watoto (amchukia step parent…) ni sumu, unamjenga mtoto kua na tabia ya ovyo akikua… La msingi inabidi wazazi wafanye loloto watakalo juu yao but maovu yao yasihusiane na mtoto… Bahati mbaya saaana ni wachache wanaweza hili, hivo katika jamii ukimuona mtu wako wa karibu inabaki tu kupeana ushauri… Na ni ngumu kweli kuizuia… Sad.

Nafikiri la muhimu pia ni wahusika kujua ni kitu gani hasa kinafanya wao wakomoane??
 
Umetoa ushauri mzuri saaana… but hili ni tatizo kubwa mno, Tatizo ni kwamba wazazi weengi wako soo selfish wakisahau kabisa kua hivo wafanyavo watoto wanaona, na hizo chuki wanazowajenga watoto (amchukia step parent…) ni sumu, unamjenga mtoto kua na tabia ya ovyo akikua… La msingi inabidi wazazi wafanye loloto watakalo juu yao but maovu yao yasihusiane na mtoto… Bahati mbaya saaana ni wachache wanaweza hili, hivo katika jamii ukimuona mtu wako wa karibu inabaki tu kupeana ushauri… Na ni ngumu kweli kuizuia… Sad.

Nafikiri la muhimu pia ni wahusika kujua ni kitu gani hasa kinafanya wao wakomoane??

Ni tatizo kubwa sana Ashadii.....ila mara nyingi watu wa aina hii wanabadilika kiasi fulani, kama wakipata ushauri...do your part Ashadii....
 
Ni tatizo kubwa sana Ashadii.....ila mara nyingi watu wa aina hii wanabadilika kiasi fulani, kama wakipata ushauri...do your part Ashadii....


I do my best... starting with me mwenyewe... Alafu umegusia hio campaign... i believe it is a matter of you kufuatilia that iif you have time unaweza introduce hio kitu, yaweza kua of Great help...
 
I do my best... starting with me mwenyewe... Alafu umegusia hio campaign... i believe it is a matter of you kufuatilia that iif you have time unaweza introduce hio kitu, yaweza kua of Great help...

Ukiacha hii kiibodi ninayotumia sasa hivi...sijawahi kufanya kampeni yoyote ikafanikiwa :typing:....orite...labda ondoa ile ya kumnasa mamsapu wangu....

 
Ukiacha hii kiibodi ninayotumia sasa hivi...sijawahi kufanya kampeni yoyote ikafanikiwa :typing:....orite...labda ondoa ile ya kumnasa mamsapu wangu....



Fanyia kazi.. you need my assistance and input (from afar...) tell me, naweza kua of help....
 
Najua wengi wetu mmeshawahi kushuhudia au kuishi ndani ya ‘single parenting'……ama maisha ya magomvi muda wote….namaanisha kuwa mzazi kati ya migongano ya kimahusiano….
Mimi (ex. st) RR nawashauri ‘single parents' (wale walio kwenye magomvi)

  • waache kutumia watoto kama zana ya kupigania uhusiano wao….. au kama kifaa cha kumwadhibu mzazi mwenzake….(hapa wengine hata hupandikiza chuki kwa watoto dhidi ya uapande wa pili).
  • waache ubinafsi katika kufanya maamuzi yahusuyo watoto….sio vizuri mzazi akaruhusu mtoto akakaa na mzazi mwengine, hata kama kisheria mzazi huyu ana uwezo wa kung'ang'ania …as long as it is of best interest to the kid….mfano sioni ulazima wa baba kumchukua mtoto kwa kisingizio cha mtoto kutimiza miaka saba ya kisheria au mama kukataa mtoto asikae na baba kwa akisingizia mtoto hajatimiza miaka saba!
Kumbukeni....mzazi wa mwanao akipata maumivu….basi hayo maumivi yanamfikia mtoto…in some ways!
Ni ushauri tu!

Aksante Ex-st RR umetushauri vema kabisa .........Kwa interest ya mtoto.

Kajiswali tu hapo penye red: Mtoto wa mwaka mmoja mfano (Si ni chini ya Miaka saba) anakuwa na interest ambazo zinawezamfanya mzazi azizingatie na kumruhusu akakae kwa Baba?

Swala la miaka saba au la nadhani huwa pia linazingatia na uwezo wa mzazi au?
 
Ya hommie...we fanya assumptions....ila zilenge 'better single parenting'......hivi hapa unatafuta nini asee........

LOL kwa hiyo hapa ni kwa masingle parents au sio.....
 
Ukiacha hii kiibodi ninayotumia sasa hivi...sijawahi kufanya kampeni yoyote ikafanikiwa :typing:....orite...labda ondoa ile ya kumnasa mamsapu wangu....


So Ex Saint RR hebu tuambie kampeni ngapi za keyboard zimefanikiwa aisee and dont lead my AshaDii into temptations..
 
Aksante Ex-st RR umetushauri vema kabisa .........Kwa interest ya mtoto.

Kajiswali tu hapo penye red: Mtoto wa mwaka mmoja mfano (Si ni chini ya Miaka saba) anakuwa na interest ambazo zinawezamfanya mzazi azizingatie na kumruhusu akakae kwa Baba?

Swala la miaka saba au la nadhani huwa pia linazingatia na uwezo wa mzazi au?

Zaweza kuwepo...japo labda hazitoki kwa mtoto.....
Hivi mzazi wa kike akikosa uwezo wa kukaa na mtoto wa miezi miwili (labda sababu za kimaisha ama ugonjwa)...kwa nini baba asipewe jukumu hilo kama anaweza?

Rai yangu ni muda wote kufanya maamuzi yanayozingatia masilahi ya mtoto kwanza....
 
So Ex Saint RR hebu tuambie kampeni ngapi za keyboard zimefanikiwa aisee and dont lead my AshaDii into temptations..

No....no......connecting the wrong....lol
Hommie hebu kakae kwenye ile sredi ya asipirini....ila uwe macho na pau!
 
Zaweza kuwepo...japo labda hazitoki kwa mtoto.....
Hivi mzazi wa kike akikosa uwezo wa kukaa na mtoto wa miezi miwili (labda sababu za kimaisha ama ugonjwa)...kwa nini baba asipewe jukumu hilo kama anaweza?

Rai yangu ni muda wote kufanya maamuzi yanayozingatia masilahi ya mtoto kwanza....


hommie baba anakaaje na mtoto aw miezi miwili? atamnyonyesha? nadhani hapo ingekuwa kuweka mazingira wezeshi, ya kumsaidia mama/mamdogo/shangazi/ili waweze kuziba pengo la mama

Kumbuka baba anatambulika kwa majukumu yake,,,nazungumzia maslahi ya mtoto zaidi hapo
 
hommie baba anakaaje na mtoto aw miezi miwili? atamnyonyesha? nadhani hapo ingekuwa kuweka mazingira wezeshi, ya kumsaidia mama/mamdogo/shangazi/ili waweze kuziba pengo la mama

Kumbuka baba anatambulika kwa majukumu yake,,,nazungumzia maslahi ya mtoto zaidi hapo

You are right.......ila ni vema baba akapewa nafasi ya kwanza baada ya mama....hiyo ya mama mdogo/shangazi n.k itoke kwa baba...
Kuna kesi nimeona mama kung'ang'ania mtoto ilhali hana uwezo kabisa wa kukaa nae....ofkoz akizingatia zaidi maslahi yake....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom