Najua wengi wetu mmeshawahi kushuhudia au kuishi ndani ya single parenting
ama maisha ya magomvi muda wote
.namaanisha kuwa mzazi kati ya migongano ya kimahusiano
.
Mimi (ex. st) RR nawashauri single parents (wale walio kwenye magomvi)
Ni ushauri tu!
Mimi (ex. st) RR nawashauri single parents (wale walio kwenye magomvi)
- waache kutumia watoto kama zana ya kupigania uhusiano wao .. au kama kifaa cha kumwadhibu mzazi mwenzake .(hapa wengine hata hupandikiza chuki kwa watoto dhidi ya uapande wa pili).
- waache ubinafsi katika kufanya maamuzi yahusuyo watoto .sio vizuri mzazi akaruhusu mtoto akakaa na mzazi mwengine, hata kama kisheria mzazi huyu ana uwezo wa kungangania as long as it is of best interest to the kid .mfano sioni ulazima wa baba kumchukua mtoto kwa kisingizio cha mtoto kutimiza miaka saba ya kisheria au mama kukataa mtoto asikae na baba kwa akisingizia mtoto hajatimiza miaka saba!
Ni ushauri tu!