Habari ya kazi wadau. mimi kuna software moja ya kumanage website inaitwa webmin. inafanya kazi kwenye linux environment sasa nataka nitumie kwenye window environment.. shida ni kama ifuatavyo
kwa jinsi ya kuinstall webmin yenyewe.. maana ni mtihani
nakuunga Mkono kaka shankal, ila ushauri wangu mie angaweza kufanya biashara mbadala ya uzalishaji kwa mtaji wake huo huo. kama ifuatavyo
1. biashara ya kuuza barafu
eneo/ Soko: wauza maji wote walipo kando kando ya barabara, mama lishe na majirani wengine ambao hawana mafrihi ya kupozea maji...
ndugu yangu Tabby riba ya 10% inaanzia miezi 6 hadi 12.. vikoba ni mkombozi kwa wasomi ambao hawajapata ajira. mie ni shuhuda wa hili jambo nilikuwa kapuku kila siku nalalamika gemu gumu lakini haa nashukuru sasa namiliki biashara..
Habari wadau wa ujasiliamali. Mimi nina eneo hapa dsm ( Bunju ) lilikuwa shamba, sasa mzee kalipa katika30*30, shida yangu natafuta mtu ambaye atakayeingia mkataba kati yetu na sisi ajenge nyumba iwe apartment apangishe then tunahesabiana miaka kadha.... Je watu kama hawa nawapataje akwa yeyote...
andika download jina la kitabu, jina la mwandishi na mwaka wa kuchapishwa na mwisho aina ya file unayoitaka. mfano download escrow, kamati ya bunge 2014.pdf
mie nimejfunza kuhusu mafanikio kama wewe.. hapo kwenye muzik( dimond) nimeweka kazi zangu za mikono.. swali kwa mtoa mada au hoja mimi ntapataje meneja kama mimi ni mtengeneza majiko ya kupia?? na meneja anahitaji malipo??
habari wana jamvi la biashara. mie ni mjasiliamali mdogo ninaomba msaada kwenye yafuatayo
1. ukumbi wa sherehe
2. mtu wa mapambo anayepamba vizuri kwa bei nafuu
3. mtu wa chakula, kwa bei nafuu na chakula kizuri,
4. keki na mtu wa video na still picture,
nipo dar es salaam, harusi ni mwezi wa...
hapana kuhusu unene au wembamba. Je ni kigezo gani nitumie ili niweze kumpata bestman mzuri, mfano, je bestman wangu ni lazima awe rafiki yangu, tuwe tunaendana umri, au awe na tofauti kubwa kiumri kati yangu mwanandoa mpya na yeye au inakuwaje katika mila na desturi( kabila liwe sawa??) je kuna...
Habari wanajamvi. mie natarajia kufunga ndoa mwezi wa 10 mwaka huu, sasa naomba ushauri wa kumpata bestman, msimamizi wa ndoa yangu aweje awe na sifa zipi, maana even ukiwa kanisani wapo watu ambao wanafake relationship kati ya mume na mkewe lakini maisha ya ndani ni vurugu mwanzo mwisho, naomba...
toyota hii gari ni nzima , mafuta inatumia km9-10 kwa lita, ina vibali vyote vya kukaa barabarani. bima ni thirdparty.
hii ni picha ya ilivyo c kwamba mpya ila imetumika sana. nimedownload kwenye mtandao kwa kujibu swali la aina gani..
wakati nipo chuo walimpa dereva akawa analeta longolongo. sasa nimeambiwa kama nataka nifanye hyo biashara lazima mimi niwe ndo mfanyakazi mkuu. maana huwezi ajiri dereva wakati wewe umekaa home. ndo maana nkaomba ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.