tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,301
Labda utusaidie.umewezaje kudhibiti uaminifu wa wafanyakazi.au unakaa mwenyewe
Moja niko mwenyewe nyingine ndo ina mtu.......
Siku zote mi napenda kufanya biashara ya vitu vinavyohesabika! ukiweka mtu hesabu mali yako muachie muuzaji afanye kazi.
sio umetoka kazini umepitia hela ya mafuta ya gari sijui hela ya kula nyumbani! tenga muda kama ni baada ya kila wiki2 fanya hesabu na mfanyakazi ujue hasara yako na faida