Habari wanajamvi. mie natarajia kufunga ndoa mwezi wa 10 mwaka huu, sasa naomba ushauri wa kumpata bestman, msimamizi wa ndoa yangu aweje awe na sifa zipi, maana even ukiwa kanisani wapo watu ambao wanafake relationship kati ya mume na mkewe lakini maisha ya ndani ni vurugu mwanzo mwisho, naomba kuwakilisha.