Salama wakuu?
Nauza kiwanja Mtwara Mjini bei 6Milioni.
-Kipo magomeni, 1 km kutoka stendi kuu ya mabasi Mtwara.
-kuna banda watu wanakaa
-kipo jirani na chuo cha afya COTC
-Kimepimwa sqm 317 na hati ya wizara ninayo.
-Tambalale,barabara,umeme na maji vipo hapo hapo.
Mawasiliano 0769476225
Nimemuandika mdhamini yupo mbali na mm kidogo,takribani kilometa 1000
Sehemu ya kuweka dole gumba lake naona itakuwa gharama kumfuata.
Nawezaje kubadili mdhamini..?
Hellow Guys
Nilikuwa nafanya utafiti kuhusu bei ya Photocopy machine aina ya canon ir 2425i
Nimebaini maduka ya wahindi mfano maisha,omni na masumini bei zao zipo juu kidogo ukilinganisha na Kariakoo mfano
Hiyo Mashine kwa wahindi hupati chini ya 3.5mil kwa upande wa kariakooo unapata hadi...
Yuko wapi mbunge kijana, Machachari, Mpambanaji, Mwanasheri kitaaluma.
Ambaye alikuwa mbunge wa Morogoro kwa tiketi ya CHADEMA.
Aliwahi kusema ni heri awe bodaboda kuliko kuendelea kutomuunga Mkono Hayati Magufuli.
Habari zenu wadau?
Nauza eneo la ukubwa wa square meter 7081.9
Lipo km 16 kutoka Mtwara Mjini.
Lipo umbali wa meter 860 kutoka bara bara kuu ya MTWARA-NEWALA.
Ni katika kijiji cha MDUWI.
Kuna nguzo za umeme zimeshushwa, umeme utakuwepo hivi karibuni, ila shughuli zote za kijamii zinaendelea...
Wadau nisaidieni kidogo, nimezunguka maduka mengi sana kuna kaduka flani kamejificha, nimefanikiwa kuipata hii bidhaa lakini sina hakika kama ndo hand sanitizer.
Naomba wataalamu wanisaidie kwenye hili!
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadhi ya Michango
============
Kumekuwepo na Maswali Mengi yanawazunguka vijana, ni nani anatakiwa kuwajibika nini ? Mwanzo wa mahusiano,
Check hizi facts[emoji116]
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wanajukwaa, Vp imewahi kukutokea ukamuamini Mtu, baadae akakuangusha kwa kukupa sababu za kitoto na kilaghai laghai.
Mfano;umemwamini Mke, akukuaminisha kwamba yeye ni Muaminifu, siku ya siku unakuja kupata hbari za yeye kuku cheat Pindi , unapokuwa haupo nae.
Au umemwmini Mzazi...
Habari zenu wakuu?
Naomba ushauri.
Nina kijana wangu.Amehitimu mafunzo ya udereva ngazi ya awali katika chuo cha VETA na kupata leseni hai daraja D na E.
Ili aweze kupata uzoefu,afanye nini?
Mimi nilipendekeza atafute nafasi za kujitolea kabla ujuzi haujaanza kufubaa.
Shida inakuja kuna...
Enyi wafanyabiashara au wajasiriamali,msipende kukatumia haka kaneno 'boss' mfano Karibu boss,umetaka ipi boss?,
Ni neno ambalo linatumika in various environment. But let me be specific kwa case ya Mfanyabiashara na mteja.
Hili neno nimelitumia sana na watu wengi wamelitumia sana...
Habari ya kazi wadau,kuna mdogo angu hapa katumiwa SMS na mtu aliyejitambulisha kuwa ni Afsa muajiri,wa Taasisi Tajwa hapo juu.SMS yenyewe Ipo hivi;
"Habari za leo, umepata kazi ocean road cancer institute baad ya kufaulu usaili uliofanyika tarehe 24/8/2019 sekretarieti ya ajira, ocean road...
Nina siku mbili nimenunua simu mpya aina ya ite l a31 smartphone lakini tatizo lake imekuwa inajizima n kujiwasha yenyewe randomly,inafika muda hata mawasiliano yanakatishwa katikati
Nimejaribu kuirestore upya,
Nimejaribu kuturn off option ya restoration
Yote hayo yameshindikana
.
Je nifanye...
Nimepita katika ukurasa wa Facebook nikakutana na andiko hili fupi kutoka kwa Mdau mmoja wa Facebook,
"Unapocheza soka, kuna vitu 2 unaomba Mungu visitokee kabla ya dk 90. Vitu hivyo ni kupata kadi nyekundu au kuumia na kushindwa kuendelea na mchezo. Kwa sababu kwenye soka ilimradi bado...
Katika makuzi yangu,mpaka namaliza elimu yangu ya sekondari ya kawaida,nilikuwa na akili moja,kwamba mwanamke yoyote unayemtaka kimahusiano au kingono,ukimuelezea hisia zako,atakuelewa na kukukubalia,
Basi kipindi hicho nilijichunga sana mdomo wangu nisijaribu kumweleza yeyote maana sikuwa na...
Rafkiangu(yeye hana access na jamii forum) mmoja alikuwa katika majibizano makali na mpenzi wake,mwanamke ni mnyaturu, yeye ni mhehe ss katika moja ya Meseji,akatumiwa message imeambatana na maneno haya
"..ruwe ojomroghwa usoyo ninavoona"
Hiyo sentensi ina maana gani?
Hivi mi najiuliza,mfano labda hapo atokee mama wa kijana paap,binti ataendelea kuning'iniza hiyo miguu ama?
Bila shaka ataishusha swali la msingi linakuja inamaana haya anafanya ni maonezi kwa Huyo kijana kiasi kwamba asijue mama yake kuwa kijana wao huwa anavunga?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.