mkaamweusi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2013
- 614
- 802
Katika makuzi yangu,mpaka namaliza elimu yangu ya sekondari ya kawaida,nilikuwa na akili moja,kwamba mwanamke yoyote unayemtaka kimahusiano au kingono,ukimuelezea hisia zako,atakuelewa na kukukubalia,
Basi kipindi hicho nilijichunga sana mdomo wangu nisijaribu kumweleza yeyote maana sikuwa na hela za kumtunza,nilisubiri nimalize shule nikipata shughuli ya kuniingizia kipato,ntamfata yeyote ninayemtaka,maana niliamini ili mapenzi yanoge ni vizuri niwe na kipato(huo ndio ukweli ambao mpaka Leo umebaki kuwa ukweli).
Niliamini hakuna changamoto yoyote kwene kumpata wako mwandani,lahaula!!! siku moja, saikolojia yangu ilikuja kufadhaika siku nimejaribu kumuapproach msichana ambaye kwanza nilimzidi umri,elimu na kipato so mentality yangu ilikuwa mwanamke atanitii tu,na ile kunikataa inawezekana anatania tania tu,
Mama yangu, yule mwanamke kwanza alinijibu kwa dharau, hivi hujawaona wengine huko chuoni kwenu,??nikamjibu naweza kuwaona lakini moyo wangu umekuchagua we we,
Baadae niliendelea kuwasiliana nae,akanisisitiza kwa ukali kidogo,kama vile anakaambia katoto ka darasa la pili ,maneno ambayo mpaka Leo yaniumiza kichwa,NIMEKWAMBIA MIMI NINA MTU WANGU MBONA HUNIELEWI WEWE,HICHO KICHWA CHAKO NI KIKUBWA BURE TU! ,Na Hakuwa anatania na wala hakunitafuta tena na akaendelea na maisha yake japo ni mdogowangu kiumri,na ukiangalia kwao hawana uwezo kiviiile pengine ningesema ndicho anacho jivunia,
Basi mpaka Leo imebaki hivo hivo kila wanawake kumi ntakao waapproach tz nzima, Tisa wananijibu Mimi NINA MTU WANGU TAYARI,hao mmoja(mmoja anawakilisha wengi ndo maana nimetumia 'hao') ata anaweza askujibu akawa anakuonesha midharau tu mfano Simu hapokei SMS hajibu na wala hakutafuti,
Sijawahi enjoy ile picha iliokuwemo akilini mwangu before kwamba mwanamke is a very tender things, polite,obidient,descent na vinginevo,
Japokuwa najiweza kwa kipato ila wanawake ninaowataka wamebaki kuwa rude sana kwangu,mpaka Leo sielewi hao wanaowapata wanawapataje?
Basi kipindi hicho nilijichunga sana mdomo wangu nisijaribu kumweleza yeyote maana sikuwa na hela za kumtunza,nilisubiri nimalize shule nikipata shughuli ya kuniingizia kipato,ntamfata yeyote ninayemtaka,maana niliamini ili mapenzi yanoge ni vizuri niwe na kipato(huo ndio ukweli ambao mpaka Leo umebaki kuwa ukweli).
Niliamini hakuna changamoto yoyote kwene kumpata wako mwandani,lahaula!!! siku moja, saikolojia yangu ilikuja kufadhaika siku nimejaribu kumuapproach msichana ambaye kwanza nilimzidi umri,elimu na kipato so mentality yangu ilikuwa mwanamke atanitii tu,na ile kunikataa inawezekana anatania tania tu,
Mama yangu, yule mwanamke kwanza alinijibu kwa dharau, hivi hujawaona wengine huko chuoni kwenu,??nikamjibu naweza kuwaona lakini moyo wangu umekuchagua we we,
Baadae niliendelea kuwasiliana nae,akanisisitiza kwa ukali kidogo,kama vile anakaambia katoto ka darasa la pili ,maneno ambayo mpaka Leo yaniumiza kichwa,NIMEKWAMBIA MIMI NINA MTU WANGU MBONA HUNIELEWI WEWE,HICHO KICHWA CHAKO NI KIKUBWA BURE TU! ,Na Hakuwa anatania na wala hakunitafuta tena na akaendelea na maisha yake japo ni mdogowangu kiumri,na ukiangalia kwao hawana uwezo kiviiile pengine ningesema ndicho anacho jivunia,
Basi mpaka Leo imebaki hivo hivo kila wanawake kumi ntakao waapproach tz nzima, Tisa wananijibu Mimi NINA MTU WANGU TAYARI,hao mmoja(mmoja anawakilisha wengi ndo maana nimetumia 'hao') ata anaweza askujibu akawa anakuonesha midharau tu mfano Simu hapokei SMS hajibu na wala hakutafuti,
Sijawahi enjoy ile picha iliokuwemo akilini mwangu before kwamba mwanamke is a very tender things, polite,obidient,descent na vinginevo,
Japokuwa najiweza kwa kipato ila wanawake ninaowataka wamebaki kuwa rude sana kwangu,mpaka Leo sielewi hao wanaowapata wanawapataje?