Sikujua kuwa Timu ndogo ya Azam (wakamiaji) wamecheza leo na mashujaa na kutoka nao suluhu!
Kwa hesabu za haraka kama yanga atashinda mechi ijayo atakuwa bingwa rasmi
1. Kwa hali ilipofikia hakuna namna mchezaji kuendelea kuichezea yanga
2. Hawezi chezea timu yoyote mpaka mkataba wake uishe
3. Waliomrubuni hawawezi kujitokeza hadharani
4. Kijana bado mdogo na taifa linamuhitaji
Nawashauri viongozi wangu wa yanga tangazeni kumuuza mara moja (muwekeni...
Nafahamu aliwahi kuwa rais huko Zanzibar lakini sina taarifa nyingi za kumuhusu
1. Historia yake ya kuzaliwa, makuzi na elimu yake
2. Historia yake kwenye siasa
3. Kwanini alitawala kwa miaka mitano tu tangu 1985 hadi 1990
4. Kwanini hakua maarufu ilihali ameishi hadi miaka ya 2000 alipofariki
Imebaki siku moja watekeleze hiyo adhma yao ya kufungia laini zisizosajiliwa kwa alama za vidole na namba za Nida, lakin maelfu ya wananchi wsliojiandikishia mkoani humo hawajapewa namba zao bila kuambiwa sababu za msingi. Serikali mnaitambua kero hii?
Filikunjombe amefariki, Mungu amrehemu. nilisikia kua marehemu deo alipita bila kupingwa mara baada ya mgombea wa CHADEMA kuenguliwa, na bila shaka hakukuwa na mgombea mwingine toka upinzani ndio sababu akapita bila kupingwa.
swali,
je mchakato wa kuziba nafasi yake utaruhusu vyama vyote au...
Nilikuwa napitiapitia taarifa za kihisoria hatimaye nikakutana na stori ya Dr David Livingstone na watumishi wake James Chuma, Abdullah Susi na Jacob Wainwrigt, sio mbaya na wewe ukaifahamu japo kwa ufupi.
1. Kifo cha Dr livingstone
Siku ya tarehe 1.5.1873 anafariki mpelelezi na mmisionari...
nimesikitishwa sana na kitendo cha mwamuzi wa mechi hiyo kwa kitendo chake cha kumaliza mpira wakati mshambuliaji wa MGAMBO yuko pekeyake mbele ya kipa wa AZAM na uwezekano wa mshambuliaji yule kufunga ni asilimia 98.
kama kweli TFF wana dhamira ya dhati ya kuendeleza soka la Tanzania basi...
Wakuu amani iwe juu yenu,
Nina shida ya ripoti za tume za hawa majaji wawili wenye kuheshimika sana hapa TZ. Mwenye kuwa nazo naomba aziweke hapa.
asante.
binafsi natumia king'amuzi cha Azam ambacho kina chaneli mahsusi kwa filamu za Tanzania (chaneli ya filamu zetu). chaneli hii imeniwezesha kutazama filamu nyingi sana za Ki-Tanzania, na jambo kubwa nililoliona ni kwamba filamu nyingi zinayaonesha majengo pacha ya benki kuu ya Tanzania.
swali...
ukisikiliza nyimbo nyingi za muziki wa dansi za mwishoni mwa miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya 2000, bendi nyingi hasa Twanga pepeta, Mchinga sound, TOT Plus wanamtaja sana huyu Maloni Linje. SWALI, yeye alikuwa nani wakati huo? mdhamini wa muziki wa dansi? kama alikua mdhamini, basi...
kama unafuatilia taarifa za habari za ITV, utakubaliana nami kuwa Makonda na Bulembo wanahojiwa kila siku kuhusu yanayojiri bungeni. swali la kujiuliza ni je, hakuna watu wengine wakuwahoji mpaka muwahoji hao hao kila siku?
tumechoka bwana!
Nimestaajabu sana kuona mke wa rais akitumia rasilimali na ulinzi wa serikali kushiriki kampeni kumnadi mwanawe Ridhiwani. Haya nyie wana CCM uchwara endeleeni kulamba nyayo.
Leo hii umetimiza miaka 69 tangu kuzaliwa kwako pale Nine miles St. Anne Bay Jamaica.
Unakumbukwa na mamilioni ya walalahoi na wapigania haki huku duniani. kwa sisi Rastafarians, tunaamini bado haujafa ila umepumzika tu katika bustani ya Sayuni.
JAH BLESS YOU and I
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.