VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,779
- 1,369
Nafahamu aliwahi kuwa rais huko Zanzibar lakini sina taarifa nyingi za kumuhusu
1. Historia yake ya kuzaliwa, makuzi na elimu yake
2. Historia yake kwenye siasa
3. Kwanini alitawala kwa miaka mitano tu tangu 1985 hadi 1990
4. Kwanini hakua maarufu ilihali ameishi hadi miaka ya 2000 alipofariki
1. Historia yake ya kuzaliwa, makuzi na elimu yake
2. Historia yake kwenye siasa
3. Kwanini alitawala kwa miaka mitano tu tangu 1985 hadi 1990
4. Kwanini hakua maarufu ilihali ameishi hadi miaka ya 2000 alipofariki