Search results

  1. K

    Upotoshaji wa Muungano ni Zanzibar na Tanganyika na wala siyo Tanzania Bara na Zanzibar

    Hahaha. Kivuli kinaishi. Historia haifutiki. Ni Tanganyika na Zanzibar tu.
  2. K

    Upotoshaji wa Muungano ni Zanzibar na Tanganyika na wala siyo Tanzania Bara na Zanzibar

    Utawasikia hata waheshimiwa, viongozi wa Taasisi za Serikali na Mashirika wakisema "Tunasherehekea miaka 59 ya Muungano wetu wa Tanzania Bara na Zanzibar Kilicho wazi ni kwamba Upande wa Bara hawapendi kutaja jina TANGANYIKA, ni kama vile kwa makusudi au wanaona kama ni aibu fulani hivi. Kwa...
  3. K

    Kama Saudi Arabia wanasherehekea Eid Ijumaa inakuwaje BAKWATA wadai mwezi haujaonekana?

    Nilisema haya mambo huyajui. Mwezi una hesabu zake. Fuatilia huko kwenye elimu za Astronomy.
  4. K

    Kama Saudi Arabia wanasherehekea Eid Ijumaa inakuwaje BAKWATA wadai mwezi haujaonekana?

    Hujui maana ya mwandamo wewe. Muandamo ni new moon. kwa mujibu wa sheria, Mwezi ukishazaliwa(kuandama) ndio huo huo. Ishu ya kuuona inategememea Position ya nchi. Hoja hapo sio kuuona. Ni kuonwa kwa mwezi na taarifa Authentic zimetoka . Jana mwezi ulishazaliwa na kuonekwana na waliotangulia...
  5. K

    Sikilizeni, hakuna Simba bila Yanga na kinyume chake. Mngejua?

    Mwanzoni mwa kuinukia kujua mpira na kufuatilia ilikuwa naumia sana pale timu ninayoipenda kufungwa au kuwa na habari mbaya kama migogoro na mifarakano. Nimefuatilia kwa muda mrefu mpaka nilipokuja kungundua Kuwa Timu za SIMBA na YANGA ni habari nyengine hapa Tanzania. Kwa kweli nilipata tabu...
  6. K

    Kwanini ACT Wazalendo wasimpinge Rais Mwinyi Zanzibar? Lazima kuna Tatizo

    Tupe ufafanuzi ili tupate faida mkuu. Unafiki wao ni upi ?
  7. K

    Kwanini ACT Wazalendo wasimpinge Rais Mwinyi Zanzibar? Lazima kuna Tatizo

    Hapana, kuna mahala tu huwa wanashere common interest, Maslahi ya nchi.
  8. K

    Kwanini ACT Wazalendo wasimpinge Rais Mwinyi Zanzibar? Lazima kuna Tatizo

    Haya ni maandamano ya vyama vinavyounda GNu Zanzibar kwenye moja ya SHEREHE ZA KITAIFA huko Zanzibar. Ujenzi wa demokrasia una gharama. ACT wasibezwe. Siasa ni mikakati na malengo.
  9. K

    Kwanini ACT Wazalendo wasimpinge Rais Mwinyi Zanzibar? Lazima kuna Tatizo

    Mpe benefits of doubts anaejikweza ili muda uweze kumprove wrong. Siasa ni mchakato. Malengo ni mkakati.
  10. K

    Kwanini ACT Wazalendo wasimpinge Rais Mwinyi Zanzibar? Lazima kuna Tatizo

    Mada inajieleza. ACT ni mdau ndani ya Serikali ya Zanzibar. Makamu wa kwanza wa Rais ndie mshauri Mkuu wa Rais ingawa Rais hapangiwi la kufanya sawa. Tatizo linakuja kwenye Dhamira ya kweli ya kile anachohubiri Rais Mwinyi. Haiwezekani katika hali ya mashaka ya kile kilichotokea uchaguzi wa...
  11. K

    Zitto hana chama, chama ni cha Wapemba na wafuasi wa Maalimu Seif

    Kwanza naona mleta mada na Baadhi ya wachangiaji kama wameanzisha huu uzi kutoa stress zao. Ukiacha lugha za chuki kwa Zitto. Kilicho muhimu ni kujua namna ya kwenda na wazanzibari. Hakuna chama chochote Tanzania hii ambacho hakitamani kupendwa na Wazanzibari. Si chama tawala wala Upinzani...
  12. K

    Wachezaji wa Simba walikosa umakini, hawajitumi ipasavyo

    Moja kwa moja kwa wachezaji wa Simba na bila kupepesa. Mgunda amejitahidi kuwabadilisha wachezaji watembee, mpira utembee na kuchangamka lakini bado wachezaji wanajisahau. Jana ilikuwa Yanga wanalala mapema. Hebu tazama dakika za mwanzo kasi ya Simba ilikuwa kubwa na kuwalazimisha Yanga kuacha...
  13. K

    Mechi ya Simba na De Agosto haina mvuto kabisa, bora hata wanapocheza na Ihefu

    Mimi nadhani huo mvuto unaosema umeshindwa kuweka vigezo. Mvuto uko kutokana na umuhimu wa mechi na sio ubora. Ilivyo ni kama mashabiki wa simba na wapenzi wa soka wamerelax kidogo kwa simba kutokana na matokeo ya awali. Tension ya Yanga ni kutokana na umuhimu wa game kutokana na matokeo ya...
  14. K

    Kupigwa na Kalynda sio mwisho wa utapeli Tanzania, bado tutapigwa sana

    Ziko nyingi hizi. Mbona wengine ni wazoefu tu wanapiga huko za kimataifa kimya kimya na kuugulia maumivu kimya kimya wakipotea? USHAURI. Biashara yoyote ni Risk hilo huwezi epuka cha msingi ni kujua muda sahihi wa kuingia. Online business ndio new generation kwenye biashara. Tukipata mda...
  15. K

    Fasihi ya Askofu Dkt. Benson Bagonza kuhusu Miafaka vs Muafaka

    Sahihi Mzee wetu. Ongeza na hizi. 1. Kuna waabudu wachonga sanamu na wanaoabudu sanamu lenyewe, muafaka unahitajika aabudiwe anaestahiki. 2. Kuna makelele na zogo. Kelele nyingi huamsha zogo na zogo jingi sio kelele Hawa wapiga kelele na zogo wanahitaji muafaka. 3. Kuna wapambanaji...
  16. K

    Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

    Yaani binadamu ni dhaifu tu. Hebu tazama namna nguvu za Muumba zinavyoregulate mambo. Chukua fumbo LA rizki na mgawanyo wa chakula kwa viumbe. Ona mimea, ona wadudu, ndege, binadamu na viumbe wasioonekana. Hill in somo tosha kwa wenye akili kwamba kuna source beyond horizon zinafanya haya mambo...
  17. K

    Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

    Endeleeni kujifariji na hadaa za ulimwengu mkifikiri hakuna source ya maisha. Nani alikuwa na uhakika wa kuzaliwa? Kwani binadamu wa kwanza alitoka wapi? Utabishaje na utaachaje kuamini vitabu vitakatifu kuhusu miongozo mbali mbali wakati hip sayansi imevikuta. Vitabu? Ni pumzi tu ndio...
  18. K

    Mzee Duni: Kwani CHADEMA ilipotaka maridhiano na hayati Magufuli ilikuwa CCM B? Kwanini ACT Wazalendo kuwemo katika SUK iwe nongwa?

    Watu wanashindwa kujua kuwa mageuzi ni Process ndefu. Kuna wapinzani hawakumbuki kwamba huko Zanzibar walishamaliza mbinu zote za kistarabu kutaka kuleta mageuzi. Kama ni kufa watu wamekufa zaidi kuliko sehemu yoyote ya Tanzania hii. Kama ni migomo na kususia ndio usiseme. Kama ni kufungwa ndio...
Back
Top Bottom