Search results

  1. Pengo

    Kuvamiwa kwa Mzee wa Upako, Askofu na Mchungaji mbaroni

    TUKIO la hivi karibuni la kuvamiwa kwa Mchungaji wa Kanisa la Maombezi Utashinda, Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee wa Upako (pichani) na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi limechukuwa sura mpya baada ya watumishi wawili wa Mungu kuhojiwa. Waliohojiwa katika tuhuma hizo nzito za kuvamiwa kwa...
  2. Pengo

    Jamani huyu ni mrembo gani?

    Haya jamani haya ni mambo ya mwisho wa wiki si vibaya wakwale mkasafisha macho kwa kuangalia mastaa wetu wa bongo na vibweka vyao.
  3. Pengo

    Mbatia ataka siasa za kibabe ziepukwe wakati wa uchaguzi

    Habari zilizotangazwa muda huu(saa kumi na mbili) katika taarifa ya habari ya redio Clouds imemnukuu mwenyekeiti wa chama cha siasa cha NCCR mageuzi akiongea kuwa watanzania tujali zaidi utaifa badala ya ubabe kama unaofanywa na baadhi ya wanasiasa wanaotaka uongozi wa nchi kwa kutoa vitisho vya...
  4. Pengo

    MREMA Kama mimi ni mzee, mbona Slaa ni mzee kuliko Kikwete?

    Na Elvan Stambuli-Globalpublishers Mgombea ubunge katika Jimbo la Vunjo kwa tiketi ya TLP, Augustine Lyatonga Mrema, amesema anapanga kujibu mapigo kwa kuhamishia nguvu zake katika majimbo matatu ambako Chadema wana matumaini ya ushindi kutokana na chama hicho kumharibia kwa kuwaambia wapiga...
  5. Pengo

    Ushauri-TFF mechi ya Morocco iwe 10/10/10

    Huu ni ushauri toka kwa Dr.Bruno Munufu aliyepo safarini uarabuni kwenda TFF,tafadhari wapange mechi kati ya Taifa Star na moroco ichezwe tarehe 10/10/10 kwani siku hiyo ndio haswa yenye bahati kwa watanzania.Mechi ikichezwa tarehe 10/10/10 tutawashinda waarabu kiurahisi sana lakini ikichezwa...
  6. Pengo

    Jamani tumsaidie Athman Idd Chuji

    Ndugu watanzania wenye nia nzuri na maendeleo ya nchi yetu hususani wapenda soka nawaomba kwa hisani yenu kuweza kumpa mawazo yaliyo mema ili kumrudisha kundini kijana Athmani Idd Chuji mchezaji wa klabu ya Yanga na timu ya Taifa. Kwa mujibu wa rafikie wa karibu aitwae Alela wa Dodoma,ni...
  7. Pengo

    We Mungu wa kweli tuepushe na balaa hili

    Hali ya joto kali inawatesa watu nchini Sudan kiasi cha kwamba watu wanalazimika kuingia ndani ya mafriji makubwa ya viwandani ili kujipoozesha, watu watatu wamefariki dunia jana baada ya kushindwa kutoka ndani ya friji waliloingia.Joto kali nchini Sudan limepelekea kuibuka kwa biashara ambayo...
  8. Pengo

    Elections 2010 Wana-CHADEMA wadaiwa kuwafanyia fujo Wana-CUF

    WaTarime hata mimi nawaogopa!Hao jamaa wamezoea kuuana hivyo si rahisi kuacha mila na destuli yao!
  9. Pengo

    Mgonjwa wa kifafa mwingine apatikana jangwani

    Wadau lile wimbi la wagonjwa wa vifafa limezidi kuongezeka mara dufu baada ya aliyekuwa Boss wa Chadema ndugu Bob Makani kuanguka ghafla katika uzinduzi wa kampeni za chama hicho zilizofanyika tarehe 28/08/2010 katika viwanja vya jangwani. Mgonjwa wa kwanza alikuwa mgombea urais kupitia...
  10. Pengo

    Mke wa Makalla anusurika kifo

    Na Mwandishi Wa Risasi Wakati Katibu wa NEC ya CCM, Uchumi na Fedha, Amos Gabriel Makalla akitarajiwa kuzindua kampeni zake kwa kishindo Agosti 29, 2010 (Jumapili ijayo), Mzumbe, Mvomero, mke wake, Grace Makalla amenusurika kifo. Grace, alipata ajali ya gari iliyonusa roho yake juzi (Agosti 22...
  11. Pengo

    Amtwanga talaka mkewe

    Ndoa ya aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) kwa takribani miaka 20, Amani Mwenegoha (55), imeingia kwenye skendo nzito baada ya mtumishi huyo wa dini kudaiwa ‘kumtwanga' talaka mkewe kwa kiapo cha mahakamani. Uwazi lilipata skendo hiyo iliyokuwa...
  12. Pengo

    Elections 2010 Zitto aomba kuchangiwa mtandaoni

    Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Zuberi Kabwe amejipanga kikamilifu kulitetea jimbo lake la Kigoma Kaskazini na kurudi bungeni kwa kuweka program ya michango mitandaoni. Kwa mujibu matangazo aliyoyaweka kwenye ukurasa wake wa Facebook, Zitto ametoa nambari...
  13. Pengo

    Kwa wataalamu wa magari

    Kuna jamaa yangu ameniomba nimtafutie ushauri wa msaada kwani ana gari yake Toyota Liteace Noah 1998cc,wakati anainunua mwaka jana ilikuwa inakula lita moja ya petrol kwa kilomita 9,sasa hivi inachoma lita moja kwa kilomita 7.Sasa anaomba ushauri kipi kimesababisha mabadiliko hayo na ikiwezekana...
  14. Pengo

    Elections 2010 Mbunge mtarajiwa kupitia CHADEMA aliyenaswa na mguu wa mtu aliza makanisa

    Na Mwandishi Wetu, Mbeya Baadhi ya waumini wa makanisa mbalimbali mkoani hapa, wako katika kilio kufuatia kitendo cha mgombea Ubunge wa CHADEMA aliyerudisha fomu, George Mtasha (50) kudakwa na jeshi la Polisi wilayani Chunya akiwa na mguu wa kushoto wa binadamu, Risasi Jumamosi linashuka...
  15. Pengo

    Elections 2010 Barua ya wazi kwa Mh.John Mnyika

    Ndugu John Mnyika,naandika barua hii kuwakilisha mawazo na vilio vya wana Ubungo kuhusu matatizo ya miundombinu hususani ubovu wa barabara zao. Wana Ubungo wengi wamenituma niwasiliane nawe ili kuweza kujaribu kutatua matatizo ya siku nyingi wayapatayo katika barabara zao kwavile wana imani na...
  16. Pengo

    Maisha raha mustarehe,bongo!?

    Wewe kushabikia siasa tuu na utaki kuleta maendeleo,ebu angalia wenzako wanavyoyasaga maisha katika meli.
  17. Pengo

    China Wauza Watoto

    Mtoto wa Kichina mwenye umri wa miaka minane akionyesha wazi hofu iliyotanda uso wake, alisimama pembeni ya barabara akiwa amefungwa minyororo na baba yake ambaye alikuwa akijaribu kumuuza mtoto huyo kwa kupiga kelele kama wauza mitumba. Baba wa mtoto huyo aliyejulikana kwa jina la Yong Tsui...
  18. Pengo

    Vunja mbavu

    Italetwa tena kwa vizuri zaidi,sorry
  19. Pengo

    Maisha raha mustarehe

    Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni.Eti mtanzania akimeza dona kwa dagaa anajisifu ameyapatia maisha,ona hao watu wa mamtoni jinsi wanavyoyafaidi maisha utafikiri wapo paradiso!Lakini mwisho wa yote hayo ni katika tumbo la ardhi(kaburini), tumche mungu jamani.
  20. Pengo

    Si tanzania pekee

    Wadau tatizo la usafiri ni balaa hasa kwa nchi zetu za dunia ya 3,angalia picha hii halafu mkumbushe kiongozi wako awajibike kisawasawa.
Back
Top Bottom