Pengo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 579
- 10
Huu ni ushauri toka kwa Dr.Bruno Munufu aliyepo safarini uarabuni kwenda TFF,tafadhari wapange mechi kati ya Taifa Star na moroco ichezwe tarehe 10/10/10 kwani siku hiyo ndio haswa yenye bahati kwa watanzania.Mechi ikichezwa tarehe 10/10/10 tutawashinda waarabu kiurahisi sana lakini ikichezwa tarehe 9/10/10 hatutakuwa na ushindi zaidi ya sare ambayo bado haitatusaidia kitu.Kwa mujibu wa Dr.Munufu,hivi sasa waarabu wanahaha kuhakikisha mechi hiyo inachezwa tarehe 9/10/10 kwani wao ndio tarehe ya ushindi kwa mechi nyingi walizocheza tarehe hiyo.Wenyewe wanasema hivi "Tanzania inaanza na herufi ya T ambayo kwa herufi za alfabeti ni namba 20 wakati Moroco inaanza na herufi M ambayo kwa herufi ya alfabeti ni 13".Timu yenye nafasi kubwa ya kushinda mchezo ni ile ambayo herufi yake ya mwanzo ukajumlisha na tarehe ya mchezo jibu la jumla ni namba shufa(even number) na ile ambayo herufi ya mwanzo wake ukajumlisha na tarehe utapata jumla ya witiri(odd number) hiyo inanafasi kubwa ya kushindwa,ushindi wake ni sare.
1).Mfano mechi ikichezwa tarehe 10/10/10
.Tanzania(T=20 +10(siku ya mechi terehe 10) jumla =30 shufa(even)
Moroco (M=13 + 10(siku ya mechi tarehe 10)jumla=23 witiri(odd)
Kutokana na hapo (1)juu Tanzania ina jumla ya namba shufa(even) so Tanzania ina nafasi kubwa ya ushindi.
2).Lakini mechi ikichezwa tarehe 9/10/10
Tanzania(T=20 +9 jumla=29(witiri-odd)
Moroco(M=13 + 9 jumla=22(shufa-even)
Kutokana na hapo (2) juu Moroco ina nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi dhidi ya Tanzania kwavile jumla ya namba zake ni shufaa(22).Kutokana na hayo Dr.Munufu amenambia nimuwakilishie ushauri wake kwa watanzania hasa wale waliopo karibu na Tafuna Fedha Faster(TFF) kwani jukumu la kupanga tarehe na siku ya mchezo ni la timu mwenyeji ambayo ni Tanzania.
Tafadhari mjue kuwa haya ni mawazo ya Dr.Munufu aliyeniomba nimuwakilishie na si yangu binafsi mimi mzee wa S/Wanga.
1).Mfano mechi ikichezwa tarehe 10/10/10
.Tanzania(T=20 +10(siku ya mechi terehe 10) jumla =30 shufa(even)
Moroco (M=13 + 10(siku ya mechi tarehe 10)jumla=23 witiri(odd)
Kutokana na hapo (1)juu Tanzania ina jumla ya namba shufa(even) so Tanzania ina nafasi kubwa ya ushindi.
2).Lakini mechi ikichezwa tarehe 9/10/10
Tanzania(T=20 +9 jumla=29(witiri-odd)
Moroco(M=13 + 9 jumla=22(shufa-even)
Kutokana na hapo (2) juu Moroco ina nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi dhidi ya Tanzania kwavile jumla ya namba zake ni shufaa(22).Kutokana na hayo Dr.Munufu amenambia nimuwakilishie ushauri wake kwa watanzania hasa wale waliopo karibu na Tafuna Fedha Faster(TFF) kwani jukumu la kupanga tarehe na siku ya mchezo ni la timu mwenyeji ambayo ni Tanzania.
Tafadhari mjue kuwa haya ni mawazo ya Dr.Munufu aliyeniomba nimuwakilishie na si yangu binafsi mimi mzee wa S/Wanga.