Recent content by mashambani kwao

  1. M

    Ahsanteni sana JamiiForums

    upo wapi jamani nakumiss kwa lile jukwaa letu.
  2. M

    Serikali imefilisika? Mishahara January utata mtupu

    king kong zilepesa za mabilioni ya kikwete walikula mameneja wa bank sasa ujasiriamali upi mkuu?
  3. M

    Serikali imefilisika? Mishahara January utata mtupu

    Gerradi vp kambi ya Adamu Aalima imeangamizwa au imenyanyuka maana nilisikia uchaguzi ulikuwa moto!pili kulikuwa na taarifa kuwa mkurugenzi wenu LIANA SIPORA alikataa kusaini PAY ROLL pamoja na kukabidhi ofisi hahahahaha hebu simulia kidogo.
  4. M

    CCM Makete wachaguana!

    niangusage bac.
  5. M

    somo la hisabati ni kikwazo kweli?

    walimu wanamgomo huu ni mwaka wa 15 sasa,mitaala kilaunapoamka inabadilishwa,unategemea nini?
  6. M

    DAKTARI AOMBA RUSHWA LAKI NA NUSU, wanawake laivu...

    naendelea kusisitiza mambo hayo yote mmeyataka wenyewe,kulalamika tu.
  7. M

    DAKTARI AOMBA RUSHWA LAKI NA NUSU, wanawake laivu...

    walipewa kanga,kofia, na pesa sasa mnalia nini?
  8. M

    WANAJESHI wameanza kufyatuka kupaza sauti kudai mabadiliko

    pendekezo hilo liwe la kwanza kupita yote.
  9. M

    Ualimu vs upolisi ngazi ya degree. Naomba ushauri.

    kamuhanda na shukuru kawambwa wapo humu subiri.
  10. M

    Juventus Special Thread

    mimi natabiri ubingwa unakwenda juventus maana hawa jamaa niliangalia ile mechi na chelsea daa kazi ipo.
  11. M

    Jimbo la Kongwa lina mbunge au kivuli?

    mkoa wote wa dodoma umepata wabunge vihiyo.
  12. M

    Mwenye mtoto wake ajitokeze

    muulize mzee MAHITA.
Back
Top Bottom