Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mshahara hakuna ila ya kusafiria mkuu ipo pale pale
Hawa walimu mi nawashangaa sana pale wanapotumika kama dodoki ama dekio particulary during the election, waache wafe kwa nja.
hivi mpaka leo serikali haijatoa mishahara kwa sababu gani hata watumishi wa serikali kuu hawana hela nyie mazungumzia wa halmashauri tu kilio ni kile kile
Hilo la arrears hata mimi nadai za miaka minne iliyopita lakini swali la msingi liko palepale...Inapofikia tarehe 45 hakuna hata hako kamshahara kadogo maana yake tunaenda wapi? Madhara ya kuongozwa na Uamsho na Boko Haram
Wewe dogo una matatizo gani? Mbona hautaki kuelewa? Wenzio wanalalamika hawajalipwa mishahara hadi leo, wewe unaleta mambo ya udini, SHAME ON YOUulitaka tuongozwe na LRA au jeshi la wokovu?
Hapo ndo kilicho jificha ktk mioyo yenu kinapo dhihiri.
Kumbe tatizo ni imani ya anaetuongoza wala sio mfumo mzima wa nchi yetu.
Hata siku moja Mwenyezi Mungu hamfichi mnafik, atamdhihirisha tu. Mnayofanya yatawarudi hapahapa duniani, subirini muone.
Wewe dogo una matatizo gani? Mbona hautaki kuelewa? Wenzio wanalalamika hawajalipwa mishahara hadi leo, wewe unaleta mambo ya udini, SHAME ON YOU
Okay, lakini si vizuri kuingiza malumbano ya udini wakati huu jamani, mnataka tuwe kama Nigeria, ama nchi nyingine zenye hali hiyo? TUSIFIKE HUKO WAKUUHuyu yeye alileta nini, ukabila au utaifa?
Tafakari, kisha chukua hatua.
By Gerrard
Hilo la arrears hata mimi nadai za miaka minne iliyopita lakini swali la msingi liko palepale...Inapofikia tarehe 45 hakuna hata hako kamshahara kadogo maana yake tunaenda wapi? Madhara ya kuongozwa na Uamsho na Boko Haram
Mamamkwe, hujambo jamani? Mwanao mzima? Pole sana mkwe, mtalipwa fedha zenu soonMimi milidhani mimi tu niliye maternity leave sijaingiziwa kumbe ni wengi hawajapata.Wanatutesa kwa kweli
Tujifunze ujasiriamali jamani.