IHANDA
Member
- Jun 28, 2012
- 62
- 15
Kupitia mtandao wetu huu wa jamiiforum, nimefanikiwa kupata mchumba mwenye sifa zote nilizokuwa nahitaji. Ila mimi niko mbali na yeye anakoishi namaanisha mikoa tofaut, halafu isitoshe mimi niko chuo cha ualimu(DIPLOMA), ambako kumejaa sheria kama jkt. ila kwa hapo mimi cjui.