Ualimu vs upolisi ngazi ya degree. Naomba ushauri.

Kitaeleweka

JF-Expert Member
Jul 30, 2012
394
88
Naomba ushauri wana jamii forums niko kazini kama mwalimu na ndo nimemaliza shahada ya ualimu nimeapply upolisi na nimeitwa kwenye usaili unaoanza jumatatu. Nahitaji ushauri nisije kurupuka nahitaji kujua uzito wa kazi na maslahi. Pia naomba kujua jinsi barua za udhamini format yake ilivyo. Thanks in advance
 
kafanye interview,kwa upande wa maslahi Polisi kidogo mazuri kwa level ya degree,mshahara ni 534,000/=plus mothly allowance yaani maarufu kama posho au cha kati ni sh.150,000/= baada ya kina mnyika kukomalia sanaa bungeni.ila kikazi jitahidi sana kuwa mvumilivu kama u vile mhitimu wa darasa la sba,inshorty degree yako iweke pembeni.kuhusu format ya barua ni mthamini kama barua yeyote ya kikazi,nadhani kwa level yako sidhani kama ni ishu sana,lakini ni muhimu sana mojawapo wa hizo barua ya mthamini iwe imetoka kwa afisa mtendaji wa kata ya sehemu unayoishi.
 
kafanye interview,kwa upande wa maslahi Polisi kidogo mazuri kwa level ya degree,mshahara ni 534,000/=plus mothly allowance yaani maarufu kama posho au cha kati ni sh.150,000/= baada ya kina mnyika kukomalia sanaa bungeni.ila kikazi jitahidi sana kuwa mvumilivu kama u vile mhitimu wa darasa la sba,inshorty degree yako iweke pembeni.kuhusu format ya barua ni mthamini kama barua yeyote ya kikazi,nadhani kwa level yako sidhani kama ni ishu sana,lakini ni muhimu sana mojawapo wa hizo barua ya mthamini iwe imetoka kwa afisa mtendaji wa kata ya sehemu unayoishi.

Asante mkuu unajua linapokuja swala la kazi sio kukurupuka hivyo nilihitaji kujua na kutoka kwa watu wengine. Wacha nikapambane huko degree itanifaa baadae niwe optimist tu. Ntaamkia kwa mtendaji aniandikie hiyo barua maslahi huku afadhali. Ina maana hata kwa degree kuna uwezekano wa kupangiwa lindo bank na kupiga patrol mitaani?


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kaka unajua hapo inategemeana na mahali utakapo kuwepo,
ualimu ni mzuri sana pale ambapo utakuwa town kwenye muamko wa elimu, salary ni kama 5 basic sema unaweza ukapiga part time + tuition na kwa mwezi ukatengeneza hata 1m,

polisi napo ukipata chimbo zuri ndani ya muda mchache kwa kazi za nje unatoka.
So naona pote pako mzuka, ingawa upolisi ni zaidi maana mambo yako mengi ya kijamii yanakuwa rahisi
 
Posho 150,000/- +150,000(hii ni posho ya taaluma kwa degree)= 300,000/-+ 385,000/-(take hom ya upolisi)=685,000/- mapato ya jumla kwa degree,achana na ualimu yani polisi mwenye certificate ana mzidi mwalimu mwenye degree kwa mapato
 
Posho 150,000/- +150,000(hii ni posho ya taaluma kwa degree)= 300,000/-+ 385,000/-(take hom ya upolisi)=685,000/- mapato ya jumla kwa degree,achana na ualimu yani polisi mwenye certificate ana mzidi mwalimu mwenye degree kwa mapato

Mh nashukuru kwa ushauri hata mimi nimekuwa mwl for 6yrs naona bora niende huko maybe mambo yaweza badilika ila nasikia pia kuna wanaokimbia huko eti full kuchoshana kwa amri na pia hakuna kupumzika mzigo mwanzo mwisho degree inawekwa pembeni. Kwa take home hiyo I think huko ni kuzuri zaidi

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Acheni Kumdanganya Mwenzenu Ninyi! Upolisi Ni Kazi Ambayo Ni Hatari Na Inayochosha Sana Coz Unaishi Sana Ndani Ya maamuzi Na Amri Za Wenzako.kimsingi Kama Ni Mimi Nisingeenda Huko Bali Ningekaza Tu Mpaka Wanichukue Shule Mzuri.achilia Hilo Mbali,ualimu Unakuacha Huru Sana Kiasi Kwamba Unaweza Ukajihusisha Na Ujasiria Mali Kirahisi Zaidi Kuliko Upolisi.. Kiufupi Ualimu Mi Naona Ni Bomba Zaidi Hasa Ukiwa Town Kwenye muamko Wa Wa2 Wengi Coz Unaweza Ukapiga Noti Kama Ustaadhi,edeny Na Mama Msuya Na Hivyo kutengenezea Hata Msingi Wa Kuwa Na Shule Yako Baadae.ANYWAY,AANGALIE MWENYEWE KWAMBA ANAPENDA NINI.
 
Kaka unajua hapo inategemeana na mahali utakapo kuwepo,
ualimu ni mzuri sana pale ambapo utakuwa town kwenye muamko wa elimu, salary ni kama 5 basic sema unaweza ukapiga part time + tuition na kwa mwezi ukatengeneza hata 1m,

polisi napo ukipata chimbo zuri ndani ya muda mchache kwa kazi za nje unatoka.
So naona pote pako mzuka, ingawa upolisi ni zaidi maana mambo yako mengi ya kijamii yanakuwa rahisi

Kaka niko kijijini mbaya hamna network wala umeme nimeomba uhamisho sipati naona nazidi tu kudumaa kielimu kwani niko kwenye box cjui kinachoendelea duniani mpaka nije town.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Acheni Kumdanganya Mwenzenu Ninyi! Upolisi Ni Kazi Ambayo Ni Hatari Na Inayochosha Sana Coz Unaishi Sana Ndani Ya maamuzi Na Amri Za Wenzako.kimsingi Kama Ni Mimi Nisingeenda Huko Bali Ningekaza Tu Mpaka Wanichukue Shule Mzuri.achilia Hilo Mbali,ualimu Unakuacha Huru Sana Kiasi Kwamba Unaweza Ukajihusisha Na Ujasiria Mali Kirahisi Zaidi Kuliko Upolisi.. Kiufupi Ualimu Mi Naona Ni Bomba Zaidi Hasa Ukiwa Town Kwenye muamko Wa Wa2 Wengi Coz Unaweza Ukapiga Noti Kama Ustaadhi,edeny Na Mama Msuya Na Hivyo kutengenezea Hata Msingi Wa Kuwa Na Shule Yako Baadae.ANYWAY,AANGALIE MWENYEWE KWAMBA ANAPENDA NINI.

Asante kwa ushauri ki ukweli mimi nataka kutoka huko kijijini na maslahi mazuri pia nayahitaji ila hili la amri na kuwa overworked ngoja nilifikirie kwa umakini zaidi.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kaka niko kijijini mbaya hamna network wala umeme nimeomba uhamisho sipati naona nazidi tu kudumaa kielimu kwani niko kwenye box cjui kinachoendelea duniani mpaka nije town.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

kama ni hivyo kula kona kaka, nenda tu upolisi
 
Mkuu ukienda huko ucwe kama hawa wapuuzi wengine maana mimi nawachukia sana hawa jamaa maana akili zao zimedumaa.
 
Mkuu ukienda huko ucwe kama hawa wapuuzi wengine maana mimi nawachukia sana hawa jamaa maana akili zao zimedumaa.

Ctakuwa hivyo. Nitamwomba Mungu nitende haki. I think wanarebrand jeshi la police which is better ndo maana wanahitaji wasomi zaidi.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
komaa na fani ya ualimu, polisi ni hatari sana kwa maisha yako.. halafu utakuwa unahamishwa hamishwa kila mara na hivyo ni ngumu sana kujijenga kimaisha na kutulia na familia maana unaweza kupigwa transfer lindi baada ya miaka 2 unapigwa kibondo, mwaka unaofuata unapigwa loliondo, halafu ukiritimba wa huko ni balaa kama humjui mtu kwenye maswala ya kupanda cheo (nyota) na kuthaminiwa
 
komaa na fani ya ualimu, polisi ni hatari sana kwa maisha yako.. halafu utakuwa unahamishwa hamishwa kila mara na hivyo ni ngumu sana kujijenga kimaisha na kutulia na familia maana unaweza kupigwa transfer lindi baada ya miaka 2 unapigwa kibondo, mwaka unaofuata unapigwa loliondo, halafu ukiritimba wa huko ni balaa kama humjui mtu kwenye maswala ya kupanda cheo (nyota) na kuthaminiwa
Nilipopangwa ualimu hata familia cwezi kuipeleka na kunihamisha hawataki c bora huko wanahamahama? Nwayz thanx for ur concern.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Huku ndo naishi cwezi acha rudi. Mbona hujanishauri lolote kuhusu topic husika?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Kaka mi ni mwalimu mwaka wa 5 diploma hakuna cha kupanda madaraja wala nn?NIMEFUATILIA ISHU YA POLISI KAMA MARA 3 NAKOSA SASA NIMEKATA TAMAA,NAKUOMBA SANA KAKA NENDA UPOLISI UNALIPA KINOMA TOFAUT NA UALIMU MIZINGUO MIZINGUO NENDA POLISI......Ulipateje pateje hyo ishu maana miaka wanasema 25 mwisho?jaman kaka nakuombea kafanye interview mungu akusaidie upate
 
Back
Top Bottom