VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Ni baba wa mtoto wa kiume aliyezaliwa ndani ya chumba cha mtihani wa darasa la saba. Ni muda wa kuelezwa nani alihusika na nani alilinda ubakaji huu. Ni muda wa kuelezwa kama serikali ya alipo aliyejifungua chumba cha mtihani wa hisabati ilifahamu ubakaji huu. Ni ubakaji kwakuwa binti hana miaka 18. Alibakwa. Jambo hili si la kulishabikia. Muda ni huu