Mkumbuke kuwa kesho huenda serikali ikafunga mijadala yote juu ya mauaji haya kwa kuwafikisha mahakamani fasta fasta watuhumiwa wowote watakao"teuliwa" na jeshi la Polisi pengine bila kupanga vizuri mashtaka ili jambo hili lionekane liko mahakamani hivyo halijadiliki tena.
Ni bora mwenye...
Binafsi ninahitaji kununua USB Moderm ambayo nitakuwa huru kuingiza line ninayopenda kati ya TTCL, Sasatel, Zain, Vodacom na mtandao wowote mwingine. Tatizo langu sijajua kama makampuni yote haya yanatumia teknolojia moja inayoweza kutumika katika modem hiyo hiyo; sina uhakika kama zinapatikana...
Obvious ni kibanda. Lakini kwa kuanzia si mbaya; pengine kutakauwa na space ndogo ambayo hali ikiruhusu unaweza kuongeza walau vyumba viwili mbaele ya safari.
Hujafafanua ni mature age entry ya wapi. Ila kama ni chuo kikuu, kwa uelewa wangu UDSM shahada ya kwanza unatakiwa walau uwe na C tano. Sina hakika kwa vyuo vingine
Ila katika maombolezo ya Mwl Nyerere redio nyingi zilitumia muda mwingi kutumbuiza nyimbo za maombolezo; maana yake baadhi kama siyo zote ziliathirika kimapato kwa kutorusha matangazo mengi ya biashara kama kawaida. Hizi siku saba itakuwa vivyo hivyo? Na waliopo kwenye contracts za burudani...
Ila huyu binti siku ya kwanza walipokutana na Boys/men, kuna wakati alikuwa ana'chat na mmoja wa waganda (Phil) kwa kiswahili (late night kwa saa za EA). Kuna maneno alitamka (kama vile MSE*GE BARIDI...) nikamshangaa na sikupata picha watz wenzangu watalichukuliaje hilo.
Duh, kwa mtaji huu wenye wake zetu wanao 'interact maofisini, vyuoni nk. tutasalimika kweli? Au tutumie arts gani ili wake zetu wawe hawalainiki kirahisi mbele ya chatu?
Ni muhimu sana kuelezana ukweli mlikopita huko nyuma. Ila unafanya 'taimingi' wakati mko kwenye peak flan. Na past yako kama unahisi itamuumiza mwenzio ingiza na uongo kidogo kupunguza makali. Baadaye mkioana kama bado hajagundua, si vibaya ukimalizia sehemu ya mwisho (ukweli ulioficha) ya...
Kila binadamu ananunulika (kwa bei yake). RA is desparate on this. Pengine anataka akomboe walau dola milioni 4 tu, kiasi kilichobaki ameahidi wadau wanaopigia debe (mitambo inunuliwe) wagawane. Ndio maana watu wasiotegemewa wanatetea ununuzi huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.