Pls DO NOT connect dots right now, 'mtaua bendi'!Tunamsubiri mtabiri wetu yahaya atueleze kama hii nayo ni kafara nyingine au kafara ni kafiri tu.
nimesikia kazi hakuna kwa siku saba
Maombolezi siku saba, haina maana kwamba hakuna kazi siku saba. Twendeni kuchapa kazi na tumuenzi RMK kwa vitendo.
MImi napendekeza tukae nyumbani, tutawezaje kuomboleza tuko kazini bwana???Kazi kama dawa na siku saba za maombolezo haina maana hakuna kufanya kazi bali bendera katika ofisi zote za chama na serikali zitakuwa nusu mlingoti kwa siku hizo saba
MImi napendekeza tukae nyumbani, tutawezaje kuomboleza tuko kazini bwana???
siku saba??? nyingi sana, atleast wangefanya siku 3, nchi tajiri na zilizoendelea they dont do these things
siku saba??? nyingi sana, atleast wangefanya siku 3, nchi tajiri na zilizoendelea they dont do these things