Msaada wa ku unlock TTCL USB Modem

tototundu

Senior Member
Jul 29, 2009
198
40
Nahitaji kuhama toka TTCL mobile broadband kwenda Zantel (2gb kwa Ths 10,000 is very appealing)

TTCL wamelock modem zao (Mobile parter), nataka iwe sim-free, how do i go about?
 
Nahitaji kuhama toka TTCL mobile broadband kwenda Zantel (2gb kwa Ths 10,000 is very appealing)

TTCL wamelock modem zao (Mobile parter), nataka iwe sim-free, how do i go about?

Mkuu mimi niliwahi kutafuta solution ya hiyo kitu humu ndani ikashindikana, nikazungukazunguka mpaka kwa maguru wa kichina na wahindi kwenye neti, jibu nililopata ni kwamba- Ni vigumu sana kufungua CDMA modem iliyofungwa!! Ukifanikisha tufahamishane kwa PM.
Thanks
 
Binafsi ninahitaji kununua USB Moderm ambayo nitakuwa huru kuingiza line ninayopenda kati ya TTCL, Sasatel, Zain, Vodacom na mtandao wowote mwingine. Tatizo langu sijajua kama makampuni yote haya yanatumia teknolojia moja inayoweza kutumika katika modem hiyo hiyo; sina uhakika kama zinapatikana hapa nchini (duka lilipo na bei kwa makadirio).

Tafadhali mwenye ujuzi wa mambo haya anijuvye.
 
Hio kuna mafundi wa mtaani tu wanaweza kuifungua, we waone mafundi simu wanaweza kuiunlock, mi shida yangu ni kutaka kujua jinsi gani ya kujiunga ili nipate hio huduma ya 2gb kwa tsh 10,000/= na mara nilisikia ni tsh 10,000/= kwa 200mb kwa wiki sio siku moja kama zamani livyokuwa tsh 6000/=, bado natafuta uhakika wa hili.
 
Nilisoma makala yako kwenye raia Mwema na kati ya vitu ulivyozungumzia ni ahadi za mtandao na kushuka kwa bei baada ya mkongo kuwasili. Nikuhakikishie kuwa bei zimeshuka mno kwa viwango vilivyokisiwa. Kwenye TTCL Broadband Mwaka jana kipindi kama hiki 500MB ilikuwa ikiuzwa shilingi 30,000. Sasa hivi Kwa fedha hiyo hiyo unanunua 2GB (sawa na 2,048MB) ambayo ni chini ya bei ya zamani kwa asilimia 75. Pamoja na punguzo hilo kasi imeongezwa kutoka 2Mbps kwenda 8Mbps.

Kwenye huduma za TTCL Dedicated service (kwa wateja wakubwa) kwa mfano bei ya 64Kbps imeshuka kutoka shiling 1,200,000 (mwaka jana kipindi kama hiki) hadi shiling 250,000 (bei ya leo). Hapa bei imeshuka kwa asilimia 79.17 au karibia 80%. Huduma zote za dedicated zimeshuka kwa viwango hivyo ambavyo kusema kweli ndo ile asilimia 80% iliyotabiriwa. Sasa unaposema bado mnasubiri, si kweli kwani hali inaonesha kuwa bei imeshashuka tena kwa viwango vya zaidi.

Pengine sijazungumzia bei ya simu za mkononi ambapo sasa hivi ni Sh.1 kwa sekunde na kwa TTCL mobile unakuwa na namba tano ambazo unazipigia bure kabisa baada ya dk. ya kwanza, yaani shilling 60 tu kwa simu nzima bila kuangalia urefu wa simu hiyo.

Kwa hiyo ni vizuri tunapoandika makala kama hizi tuwe tunawasiliana na wahusika ili kupata taarifa sahihi badala ya kuueleza umma habari zisizo na uhakika.


TTCL

 
Nilisoma makala yako kwenye raia Mwema na kati ya vitu ulivyozungumzia ni ahadi za mtandao na kushuka kwa bei baada ya mkongo kuwasili. Nikuhakikishie kuwa bei zimeshuka mno kwa viwango vilivyokisiwa. Kwenye TTCL Broadband Mwaka jana kipindi kama hiki 500MB ilikuwa ikiuzwa shilingi 30,000. Sasa hivi Kwa fedha hiyo hiyo unanunua 2GB (sawa na 2,048MB) ambayo ni chini ya bei ya zamani kwa asilimia 75. Pamoja na punguzo hilo kasi imeongezwa kutoka 2Mbps kwenda 8Mbps.

Kwenye huduma za TTCL Dedicated service (kwa wateja wakubwa) kwa mfano bei ya 64Kbps imeshuka kutoka shiling 1,200,000 (mwaka jana kipindi kama hiki) hadi shiling 250,000 (bei ya leo). Hapa bei imeshuka kwa asilimia 79.17 au karibia 80%. Huduma zote za dedicated zimeshuka kwa viwango hivyo ambavyo kusema kweli ndo ile asilimia 80% iliyotabiriwa. Sasa unaposema bado mnasubiri, si kweli kwani hali inaonesha kuwa bei imeshashuka tena kwa viwango vya zaidi.

Pengine sijazungumzia bei ya simu za mkononi ambapo sasa hivi ni Sh.1 kwa sekunde na kwa TTCL mobile unakuwa na namba tano ambazo unazipigia bure kabisa baada ya dk. ya kwanza, yaani shilling 60 tu kwa simu nzima bila kuangalia urefu wa simu hiyo.

Kwa hiyo ni vizuri tunapoandika makala kama hizi tuwe tunawasiliana na wahusika ili kupata taarifa sahihi badala ya kuueleza umma habari zisizo na uhakika.


TTCL

Kikazi zaidi nimezipenda hizi data, waambie ukitaka habari za polisi usiende JW.
 
Inawezekana kuna sela yuko arusha anaitwa martin yuko soko kuu arusha.anatengeneza 4n ukiulizia utaonyeshwa. Ila bei yake ni kama 30,000au 20,000
 
Nadhani ukitumia google vizuri utapata information ya kukusaidia kupata suluisha lolote lile yeyote.

This is a simple guide to unlock the Vodafone Huwei E220 Modem. It took only five minutes to unlock the Modem now i'm using. It is just a simple process. Here we locked means the particular modem only works for specific network operator's SIM and not for others thus the Modem is network locked. In Sri Lanka, Dialog provides this E220 modem for cheap price but we cant use it for Airtel or Mobitel since it is locked but can be used with Dialog SIMs. Lets move on to the steps to unlock it.

Warning : I'm not responsible for any consequences you might face after you follow this guide.First read this all steps completely before attempting to unlock your modem.


To perform this the following stuffs will be needed.
You must logged in to see the download links and download the attachments.

A: E220 firmware update

  1. E220Update_11.117.10.00.00.B268.exe -
NOTE :Download firmware kulingana na model yako. kama sio E22o nenda kwenye site ya supplier uchuke firmware update inayoendana na model yako

B : A Hex Editor like HxD Hex Editor
icon_topic_attach.gif
HxD Hex Editor.rar(630.24 KiB) Downloaded 248 times
NOTE: Hii ni nyenzo inayosaidia ku tafsiri HEXAdecimal kuja kwenye Decimal.

C: QMAT - QC Mobile Analysis Tool latest version 4.30
icon_topic_attach.gif
qmat_430.zip(674.4 KiB) Downloaded 302 times

NOTE: hii nyezo ni trial na unaweza kuitumia kwa dk kumi 10 tu. so kabla hujaanza jirizishe umeyaelewa maelekezo vizuri ndo uanze makaatee. Dk 10 zikiisha itabidi uwe na mashine nyingine tena

D: E220 Simlock Unlocking tool
icon_topic_attach.gif
E220 SimLock_UnLock.rar(6.09 KiB) Downloaded 172 times .................



Tembelea http://www.mig33royals.co.cc/forum/viewtopic.php?f=53&t=150&sid=0fe88e9ce00544947949d69c8d452e43
Kuna mafaile ma 4 unatakiwa kudowndload nimejaribu kudowldoa naona ni mafaile safi kabisa. Ningekuwa nina aina hiyo ya modem nigejaribu.

Lakini huwezi kudownload mpaka ujisajili. Ni sekunde chache tu

Ukisoma comments za waadau inaonekana ukifuata guideline vizuri unaweza kuunlock modem yeyote ya HUWAEI.

ukifuta procedures kama wanavyoeleza kwenye link unaweza kufanikiwa. Vile vile soma comments za wadau kwenye hiyo site itakusadia.

Good luck na tupe majibu kama utafanikiwa
 
Tatizo la ili jukwaa mtu akiomba msaada akisaidiwa harudi kujakutoa majibu kama amefanikiwa au la? jamari rudini kulezea kilichotokea baada ya kupewa maarifa, hii itasaidia na wengine kujifunza hapa hapa.
 
Tatizo la ili jukwaa mtu akiomba msaada akisaidiwa harudi kujakutoa majibu kama amefanikiwa au la? jamari rudini kulezea kilichotokea baada ya kupewa maarifa, hii itasaidia na wengine kujifunza hapa hapa.
Kamanda kweli kabisa
Feeed back ni kitu kizuri. bila feedback ni sawa na comunication breakdown
 
Nilisoma makala yako kwenye raia Mwema na kati ya vitu ulivyozungumzia ni ahadi za mtandao na kushuka kwa bei baada ya mkongo kuwasili. Nikuhakikishie kuwa bei zimeshuka mno kwa viwango vilivyokisiwa. Kwenye TTCL Broadband Mwaka jana kipindi kama hiki 500MB ilikuwa ikiuzwa shilingi 30,000. Sasa hivi Kwa fedha hiyo hiyo unanunua 2GB (sawa na 2,048MB) ambayo ni chini ya bei ya zamani kwa asilimia 75. Pamoja na punguzo hilo kasi imeongezwa kutoka 2Mbps kwenda 8Mbps.

Kwenye huduma za TTCL Dedicated service (kwa wateja wakubwa) kwa mfano bei ya 64Kbps imeshuka kutoka shiling 1,200,000 (mwaka jana kipindi kama hiki) hadi shiling 250,000 (bei ya leo). Hapa bei imeshuka kwa asilimia 79.17 au karibia 80%. Huduma zote za dedicated zimeshuka kwa viwango hivyo ambavyo kusema kweli ndo ile asilimia 80% iliyotabiriwa. Sasa unaposema bado mnasubiri, si kweli kwani hali inaonesha kuwa bei imeshashuka tena kwa viwango vya zaidi.

Pengine sijazungumzia bei ya simu za mkononi ambapo sasa hivi ni Sh.1 kwa sekunde na kwa TTCL mobile unakuwa na namba tano ambazo unazipigia bure kabisa baada ya dk. ya kwanza, yaani shilling 60 tu kwa simu nzima bila kuangalia urefu wa simu hiyo.

Kwa hiyo ni vizuri tunapoandika makala kama hizi tuwe tunawasiliana na wahusika ili kupata taarifa sahihi badala ya kuueleza umma habari zisizo na uhakika.


TTCL

Asante kwa ufafanuzi wako ambao ni wa kweli. Lakini ume conceal maelezo ya ziada kwamba hizo rate ni kwa ajili ya broadband tu. Na kwa taarifa ya wanajukwaa ni kwamba broadband ambayo kwa TTCL ni cheap lazima uwe na fixed line.

Lakini issue hapa ambayo inaumiza vichwa vya watu wengi pamoja na mimi ni TTCL MOBILE internet services ambazo bei zake ziko juu sana wajameni. Kwa uelewa wangu watumiaji wengi katika internet ni wale wanaotumia mobile internet na bei ni mkong'oto. Hapa ndipo inatakiwa kupunguza bei la sivyo watu watatafuta kutumia vifaa vyenu kwa kuondoa lock ili watumie mitandao mingine inayotoa huduma ya mobile kwa bei nafuu. Kwa wale mlio Dar hili linawezekana ingawa sijui ni wapi. Fanyeni utafiti maana watundu ni wengi na baadhi ya rafiki zangu wamefanya hivyo.
Nadhani ndio sababu mmoja wa memba hapa ameomba mawasiliano kwa PM ili iwe private issue.
 
Nahitaji kuhama toka TTCL mobile broadband kwenda Zantel (2gb kwa Ths 10,000 is very appealing)

TTCL wamelock modem zao (Mobile parter), nataka iwe sim-free, how do i go about?

hiyo kazi inawezekana mkuu nitafute nitakuunlock utatumia zantel safi
 
Unawza kuipeleka moderm yako moja kwa moja pale Zentel na wataifungua na kuweka line yao ya Zantel ambapo baada ya hapo inaweza kutumia line zote. usiseme ni na amekuambia. kimya kimya hiyo. Mimi nimefanikiwa kwa namna hiyo.
 
Zanatel ndio mtandao gani huo mkuu? inaonekana una zungumzia kitu usicho kijua Zantel wana bei mpya ambayo 2gb unapata kwa tsh 10,000/= na siyo tsh 90,000/= uliyosema wewe.

Hiyo ofa ya 2gb kwa Tsh 10,000 is complicated, laini yenye hiyo ofa ni tofauti na laini zingine, yenyewe ni kubwa ambayo haiingii kwenye simu za kawaida wala kwenye moderm ya voda. Haya maelezo nilipewa na Mhudumu wa Zantel shop. Je hii habari ni kweli? Nipe data Mganyizi
 
Back
Top Bottom