Nahitaji kuhama toka TTCL mobile broadband kwenda Zantel (2gb kwa Ths 10,000 is very appealing)
TTCL wamelock modem zao (Mobile parter), nataka iwe sim-free, how do i go about?
Nahitaji kuhama toka TTCL mobile broadband kwenda Zantel (2gb kwa Ths 10,000 is very appealing)
TTCL wamelock modem zao (Mobile parter), nataka iwe sim-free, how do i go about?
Zanatel ndio mtandao gani huo mkuu? inaonekana una zungumzia kitu usicho kijua Zantel wana bei mpya ambayo 2gb unapata kwa tsh 10,000/= na siyo tsh 90,000/= uliyosema wewe.Zanatel 2gb = 90,000/=
ni pm tuonane nikusaidie mkuu nipo Dar
ttcl fixed line 2GB 30,000.00Zanatel 2gb = 90,000/=
Kikazi zaidi nimezipenda hizi data, waambie ukitaka habari za polisi usiende JW.Nilisoma makala yako kwenye raia Mwema na kati ya vitu ulivyozungumzia ni ahadi za mtandao na kushuka kwa bei baada ya mkongo kuwasili. Nikuhakikishie kuwa bei zimeshuka mno kwa viwango vilivyokisiwa. Kwenye TTCL Broadband Mwaka jana kipindi kama hiki 500MB ilikuwa ikiuzwa shilingi 30,000. Sasa hivi Kwa fedha hiyo hiyo unanunua 2GB (sawa na 2,048MB) ambayo ni chini ya bei ya zamani kwa asilimia 75. Pamoja na punguzo hilo kasi imeongezwa kutoka 2Mbps kwenda 8Mbps.
Kwenye huduma za TTCL Dedicated service (kwa wateja wakubwa) kwa mfano bei ya 64Kbps imeshuka kutoka shiling 1,200,000 (mwaka jana kipindi kama hiki) hadi shiling 250,000 (bei ya leo). Hapa bei imeshuka kwa asilimia 79.17 au karibia 80%. Huduma zote za dedicated zimeshuka kwa viwango hivyo ambavyo kusema kweli ndo ile asilimia 80% iliyotabiriwa. Sasa unaposema bado mnasubiri, si kweli kwani hali inaonesha kuwa bei imeshashuka tena kwa viwango vya zaidi.
Pengine sijazungumzia bei ya simu za mkononi ambapo sasa hivi ni Sh.1 kwa sekunde na kwa TTCL mobile unakuwa na namba tano ambazo unazipigia bure kabisa baada ya dk. ya kwanza, yaani shilling 60 tu kwa simu nzima bila kuangalia urefu wa simu hiyo.
Kwa hiyo ni vizuri tunapoandika makala kama hizi tuwe tunawasiliana na wahusika ili kupata taarifa sahihi badala ya kuueleza umma habari zisizo na uhakika.
TTCL
Kuna mafaile ma 4 unatakiwa kudowndload nimejaribu kudowldoa naona ni mafaile safi kabisa. Ningekuwa nina aina hiyo ya modem nigejaribu.This is a simple guide to unlock the Vodafone Huwei E220 Modem. It took only five minutes to unlock the Modem now i'm using. It is just a simple process. Here we locked means the particular modem only works for specific network operator's SIM and not for others thus the Modem is network locked. In Sri Lanka, Dialog provides this E220 modem for cheap price but we cant use it for Airtel or Mobitel since it is locked but can be used with Dialog SIMs. Lets move on to the steps to unlock it.
Warning : I'm not responsible for any consequences you might face after you follow this guide.First read this all steps completely before attempting to unlock your modem.
To perform this the following stuffs will be needed.
You must logged in to see the download links and download the attachments.
A: E220 firmware update
NOTE :Download firmware kulingana na model yako. kama sio E22o nenda kwenye site ya supplier uchuke firmware update inayoendana na model yako
B : A Hex Editor like HxD Hex Editor
HxD Hex Editor.rar(630.24 KiB) Downloaded 248 times
NOTE: Hii ni nyenzo inayosaidia ku tafsiri HEXAdecimal kuja kwenye Decimal.
C: QMAT - QC Mobile Analysis Tool latest version 4.30
qmat_430.zip(674.4 KiB) Downloaded 302 times
NOTE: hii nyezo ni trial na unaweza kuitumia kwa dk kumi 10 tu. so kabla hujaanza jirizishe umeyaelewa maelekezo vizuri ndo uanze makaatee. Dk 10 zikiisha itabidi uwe na mashine nyingine tena
D: E220 Simlock Unlocking tool
E220 SimLock_UnLock.rar(6.09 KiB) Downloaded 172 times .................
Tembelea http://www.mig33royals.co.cc/forum/viewtopic.php?f=53&t=150&sid=0fe88e9ce00544947949d69c8d452e43
Kamanda kweli kabisaTatizo la ili jukwaa mtu akiomba msaada akisaidiwa harudi kujakutoa majibu kama amefanikiwa au la? jamari rudini kulezea kilichotokea baada ya kupewa maarifa, hii itasaidia na wengine kujifunza hapa hapa.
Asante kwa ufafanuzi wako ambao ni wa kweli. Lakini ume conceal maelezo ya ziada kwamba hizo rate ni kwa ajili ya broadband tu. Na kwa taarifa ya wanajukwaa ni kwamba broadband ambayo kwa TTCL ni cheap lazima uwe na fixed line.Nilisoma makala yako kwenye raia Mwema na kati ya vitu ulivyozungumzia ni ahadi za mtandao na kushuka kwa bei baada ya mkongo kuwasili. Nikuhakikishie kuwa bei zimeshuka mno kwa viwango vilivyokisiwa. Kwenye TTCL Broadband Mwaka jana kipindi kama hiki 500MB ilikuwa ikiuzwa shilingi 30,000. Sasa hivi Kwa fedha hiyo hiyo unanunua 2GB (sawa na 2,048MB) ambayo ni chini ya bei ya zamani kwa asilimia 75. Pamoja na punguzo hilo kasi imeongezwa kutoka 2Mbps kwenda 8Mbps.
Kwenye huduma za TTCL Dedicated service (kwa wateja wakubwa) kwa mfano bei ya 64Kbps imeshuka kutoka shiling 1,200,000 (mwaka jana kipindi kama hiki) hadi shiling 250,000 (bei ya leo). Hapa bei imeshuka kwa asilimia 79.17 au karibia 80%. Huduma zote za dedicated zimeshuka kwa viwango hivyo ambavyo kusema kweli ndo ile asilimia 80% iliyotabiriwa. Sasa unaposema bado mnasubiri, si kweli kwani hali inaonesha kuwa bei imeshashuka tena kwa viwango vya zaidi.
Pengine sijazungumzia bei ya simu za mkononi ambapo sasa hivi ni Sh.1 kwa sekunde na kwa TTCL mobile unakuwa na namba tano ambazo unazipigia bure kabisa baada ya dk. ya kwanza, yaani shilling 60 tu kwa simu nzima bila kuangalia urefu wa simu hiyo.
Kwa hiyo ni vizuri tunapoandika makala kama hizi tuwe tunawasiliana na wahusika ili kupata taarifa sahihi badala ya kuueleza umma habari zisizo na uhakika.
TTCL
Nahitaji kuhama toka TTCL mobile broadband kwenda Zantel (2gb kwa Ths 10,000 is very appealing)
TTCL wamelock modem zao (Mobile parter), nataka iwe sim-free, how do i go about?
Zanatel ndio mtandao gani huo mkuu? inaonekana una zungumzia kitu usicho kijua Zantel wana bei mpya ambayo 2gb unapata kwa tsh 10,000/= na siyo tsh 90,000/= uliyosema wewe.