Jamani nimecheka jamani looh siyo kwa ushauri huo.mkuu!!Wala hata sio kazi katafute mzinga wa nyuki ama kichuguu cha manyigu wewe ingiza kichwa chako humo kwa nguvu halafu ufanye kama unachokonoa chokonoa kuwakera hao viumbe.
Watakung'ata, ukisikia maumivu usilie wala usijute ndio gharama ya urembo, baada ya hapo utajaa vidoti uso mzima, ikiwezekana hata shingoni hapo nadhani utakuwa umepata hicho kidoti unachotaka na nyongeza ya vingine kaa mia hivi.