Kuna wallet fulani ilikuwa na mac ya Me Too niliwahi kumnunulia wifi yenu miaka kadhaa iliyopita,ila kwa bahati mbaya ilikuja kuibiwa.
Alikuwa akiipenda sana ile wallet( rangi ilikuwa pink)...
Habarini!
Kuna hili suala la mavazi hasa kwenye majiji, manispaa na miji ya hapa Tanzania na nchi karibu zote duniani. Vijana wengi sasa wakitembea barabarani ili ujue jinsia zao basi itakubidi...
Kijana mdogo wa miaka 20-40 kunyoa ndevu na kuacha ndevu za juu au mustachi (moustache) ni kujitabiria umasikini uzeeni.
Ndevu za mustachi ni ndevu za watu masikini na wasio na matumaini ya...
Hello everyone, I'm Baracka, Brand manager at THE INNOVATION HOUSE BRAND WORLDWIDE (Modeling Agency ) in london , Today on behalf of INHB WORLDWIDE (@theinnovationhouse.uk) • Instagram photos and...
Hello everyone, I'm Baracka, Brand manager at THE INNOVATION HOUSE BRAND WORLDWIDE (Modeling Agency ) in london , Today on behalf of INHB WORLDWIDE (@theinnovationhouse.uk) • Instagram photos and...
Kwakweli walokole wanaume hainifurahisha sana vaa yao.
Hupenda mashati ya kung'aa na rangi za kung'aa. Unakuta shati rangi ya zambarau au njano linang'aa na kola pana. Suruali zao nyingi huwa za...
Week hii yote tulikuwa na ratiba ya kutembelea mikoa na baadhi ya vivutio mbalimbali hapa nchini, Mimi na rafiki yangu.. Jana baada ya kutoka ngorongoro tulipiga kambi Arusha mjini rafiki ilianza...
Huu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.
Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.
Vazi la suti liko...
Habari zenu wana jamvi.. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ieleweke wazi dhumuni la UZI huu si kutaka kuwakebehi watu wenye tatizo hili ila ni kupata maoni na ushauri jinsi ya kulitatua tatizo...
Wanabodi
Mambo yamebadilika na dunia inazunguka kasi sana
Hadhi ya wanawake kuanzia akina mama na wa-dada wa jijini Dar imeporomoka kwa kiwango kikubwa, kwa sasa wamekuja na mitindo mipya ya...
Hivi sasa, kumekuwa na tabia inayokua kwa kasi sana inayohusisha vijana wa kiume!Tabia ya vijana hawa ya kutoboa masikio linaweza kuwa moja au yote, kisha kuvaa vipini kama wasichana au kama...
1.Wanawaza kuwa na handsome kuliko wote duniani
2.Anawaza kuwa na mwanaume ambaye amejitosheleza kiuchumi
3.Anawaza akiwa kwenye mahusiano na mtu aliyefanikiwa na yeye atafanikiwa hata bila...
Wadau hebu tupeane ujuzi kwenye uvaaji wa tai, kwa mashati ya mikono mirefu na mikono mifupi, hivi kuwa kuna kanuni inayotawala uvaaji wa tai kwa mashati hayo?
Pia naomba kujua je, kuna kanuni za...
The extraordinary hourglass shaped model from Ghana and Kenya
Born to a Kenyan father and a Ghanaian mother, 22 year old Pamela Odame Watara is no doubt a social media sensation in Ghana. Pamela...
Leo nipo hapa kuwasaidia watu wanaotaka kuingia kwenye modeling au ni models wanataka kwenda kimataifa. Jina langu ni Blessing Chess nafanya kazi THE INNOVATION HOUSE BRAND WORLDWIDE modeling...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.