Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
  • Redirect
Wakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tanzania ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakuwa na tabia za kike na wengine wana muonekano wa kianamke? Najua...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Sikuhizi yale maneno ya 'mume ni wako akiwa chumbani' Panua paja mkwaju waja Shost danga langu niachie Maneno haya hayauzi jamani, maneno yanayouzika ni kama: Penzi la mama ni tamu Kwa bwana kila...
10 Reactions
Replies
Views
Wanajukwaa kama mada inavyojieleza hapo juu mimi ni mama wa makamo( miaka 35) nimejishangaa ghafla nimebadilika umbo langu bila kutegemea nilikuwa na umbo zuri kwa kweli sikuwa na tumbo kabisa...
4 Reactions
51 Replies
10K Views
Habari, Jamani nawakumbusha wanaume kuoga mvua isiwe kikwazo cha nyie kutokuoga, ikaja kuwa kivumbi huku maofisini kwa harufu za perfume zilizochanganyika na kutokuoga. Yes i know wengi mta-take...
5 Reactions
163 Replies
31K Views
1. Muungwana wa sasa usali na kuamini MUNGU yupo. Kama sote tujuavyo MUNGU ndio kila kitu kwenye maisha yetu ya kila siku kwani tunapewa pumzi bure na pia anatulinda na maadui tunaowafaham na...
23 Reactions
40 Replies
12K Views
Niliwahi Kuwa mnene hadi nikawa najikatia tamaa jinsi nilivyo,unene usikie kwa jirani unachosha sana,kilo zangu hazikuwa chini ya kg120. Sasa hivi nina kg70 kama unapiga gym na wewe ni mnene...
14 Reactions
128 Replies
15K Views
Kuna demu wangu amenitaka nipake make up kwenye birthday yangu, mimi nimekataa Sasa amenuna anasema mimi ni mshamba, mimi kupaka make up huwa naona kama ushoga hivi, hivi ni kwangu peke angu au...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Naomba mnijuze ni aina gani ya cream ni nzuri, kwa maana ya kutokuchubua pia yenye sifa za TFDA, inayomfanya mtu kuwa na very clear skin bila chunusi wala harara huku ikimaintain natural color...
0 Reactions
123 Replies
59K Views
Kuna haya mapenzi mubashara ya mume na mke. Au hata wapenzi, sanasana wale wanaokaa nyumba moja hupendelea kuchaguliana nguo ya kuvaa kwa ajili ya kazini, kusafiri, mitoko ya jioni. Kuna...
1 Reactions
51 Replies
4K Views
=> Vyakula unavyokula hubeba 80% ya mapambano ya kupunguza uzito. Kula vyakula vya wanga kama viazi, wali na ugali siku ambazo utafanya kazi au mazoezi magumu tu ili kutoongeza uzito/unene. =>...
2 Reactions
27 Replies
11K Views
Inatakiwa Kuvaa Na Kupendeza Kokote Kule Usafi Muhimu Sanaa
1 Reactions
2 Replies
3K Views
  • Redirect
Kwanza inafaa ufahamu ni nini kinacho kusababishia nywele zako kuwa kavu , na kuanza kukatika katika, mara nyingi nywele kuwa kavu inaweza kutokana na sababu mbalimbali. Hapa kuna machache, na...
1 Reactions
Replies
Views
Sirudii tena huu upuuzi. Kwa mara ya kwanza tangu niijue hii dunia leo ndio nimefanya scrubb. Leo jioni niliingia saloon sijui mnaita baba shop nilienda kwa ajili ya kutengeneza nywele na ndevu...
12 Reactions
135 Replies
20K Views
Lijitu zima kabisa linatoka kwake Mkewe na Watoto wake wanamuona kabisa jinsi alivyounyuka / alivyopendeza na Vazi lenye ' heshima ' kubwa duniani na nahisi hata huko Mbinguni pia la ' Suti '...
8 Reactions
43 Replies
4K Views
Hii kitu naiona sana pwani kwetu bara ni vitu vyakigeni hata sielewi maana yake
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Wasalaam, kutokwa na jasho ni kitendo cha kiafya ila ikizidi inageuka kero na kukosesha amani. Huwa najisikia ovyo sana kuona nguo yangu imeloa jasho sehemu ya kwapani kwa jua la sasa yani nguo...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Historia ya kupaka rangi kwenye midomo kwa kusudi la urembo inaonyesha kuwa jambo hili lilianza zamani sana na inasemekana kuwa lilianzia huko Misri. Wanawake wa Kimisri wakati huo walikuwa...
3 Reactions
9 Replies
6K Views
  • Redirect
Jibu sahihi kwa nature na kwetu pia ni lipi?
1 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom