Knamtu anakipara nilismsindkizakunua bidaha ya forever for bald ambazo ni shampo, conditioner, royal jell, bee pollen kwa ss ni mwez xx aoni results so inachukua mda gan matokeo yaonekane asante
Habari wakuu,
Katika harakati za kuendana na mitindo mbalimbali ya maisha kama vile kufanya mazoezi kuweka miili sawa ikiwemo kupunguza tumbo au kukaza misuli ya tumbo tumetokea baadhi ya wanawake...
Mambo vp wakuu shikamoni
Kama kuna mtu anayajua mafuta ya kupaka kwa ajili ya wanaume yatakayofanya sura yangu kidog iwe smart maana sina matunzo sa hivi kidg maisha yangu yameninyookea pamba za...
Wanawake wengi wa kiafrica hupenda kusuka nywele mbalimbali lakini wengi wao sikuhizi hupenda kusuka mtindo ujulikanao kwa jina la yeboyebo ,mtindo huu hutumia rasta zaidi ili kuweza kuwa na...
Fragrance.
An invisible part of your personal style.
One that has a significant effect on how people perceive you.
Fragrances can:
Increases your level of attractiveness.
Increase your...
Sikuhizi mambo yamekuwa mazito kidgo.
Binadanamu wamekuwa wakipenda au kuhitaji kuonekana wa jinsi nyingine.
Ukiachiliambali uwepo wa Homosexual ( mapenzi ya jinsia moja, kuvutiwa na...
Habarin bandugu,,Kama ambavyo heading inajinasibu hapo juu nahitaji kujua kama ni kati ya vile vyenye sumu. Japo sijaona vile viambatasumu ila nahofia tu kwahyo kama kuna aliyewah kutumia ama mtu...
Haya mafuta yanapigiwa promo sana madukani yanafaa kwa matumizi???
Yanachubua au kung'arisha???maana mafuta ya kung'aa au whiten yanapaswa wapake wanawake
Hii perfect white jee???Kuna member...
Habari wadau,
Ningependa kufahamu ni aina gani ya vitambaa bora zaidi vinavyotumika kushonea nguo hasa suti za kisasa na nguo nyingine zinazo tamba kwa sasa...
Kwa wadau wa fassion na yeyote...
Samahani kwa kutumia lugha kali kidogo.
Nimetembea Mikoa mingi hapa nchini, na kila nikienda benki yoyote utakutana na wahudumu wanawake waliovalia nguo fupi zilizowabana maeneo muhimu.
Unakuta...
wanadai zinazuia shati lisijikunje au kichomoka Hata ukiinama,huku ikikuweka smart mda wote, Je kuna ambae ameshatumia atupe mrejesho?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.