Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Kwa hali hii acha nivae mabwanga yangu Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Nimeanza gym, je nile vyakula aina gani ili mwili ujengeke kwa wepesi nimechoka kuwa kimbaumbau.
6 Reactions
18 Replies
7K Views
Leo mr Prez alikuwa anacheki game ya staz VS uganda Code(Nguo) alizotupia nimezielewa, CC Zero IQ
15 Reactions
239 Replies
31K Views
Wacha nilisemee hili,maana limenichosha na kunitia kinyaa. Haiwezekani unaingia chumbani kwa binti wa karne hii ya 21 unakutana na vitu vimetapakaa kila sehemu,masufuria yamejaa koyo,miko na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Here are 5 certain types of tummies and how to get rid of them: 1. Alcohol belly Drinking too much alcohol drinks can prevent your body from digesting the food properly. Also, alcoholic beverages...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau habari. Naamini wapo wanaofahamu mapigo haya naweza pata wap shati kama hili. Natanguliza shukurani Ts temporary post Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Hbr za mda huu wanajamvi Nisipoteze muda sana naona bora niende kwenye uzi moja kwa moja Wakuu ninashida na viatu vya balenciaga (one pair) chenye gamba jeusi na soli nyeupe Nimetafuta...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Jamani nini maoni yenu, Tunaposafiri, chupi tuwape watu wa hoteli wafue au tufue wenyewe, maana tunapofua wenyewe ukaukaji wake si mzuri maana tunaanikia ndani na mara nyingi zinasababisha...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
1. Zingatia aina ya sherehe na rangi Je, ni sherehe rasmi, ya kuvaa kawaida au ya mavazi maalum(costume party)? Pia chunguza kama kuna rangi mahususi kwa ajili ya waalikwa na jitahidi kuijumuisha...
5 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari zenu wadau. Nimepanga nyumba moja hivi mjinj. Nyumba hii ina masista duu watatu hatari ambao ukikutana nao barabarani lazima zipu ikaze. Yaani ni mademu haswaa!! Lakini wanakasoro moja ya...
4 Reactions
36 Replies
8K Views
She was born in 1993 and now she is nursing a 4 month old baby. " Siku hizi magonjwa mengi sana. Nipo na mtoto wangu huyu mmoja sitaki habari za wanaume. Nikipata MTU wangu mmoja natulia nae coz...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Mimi hupenda sana utanashati, kuvaa vizuri yaani nguo safi, imepigwa pasi vizuri, mpangilio wa kuvaa nguo, viatu na mkanda wa kiunoni, nguo sio za gharama sana, hata mitumba navaa ila napangilia...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Habarini, Unapokuja katika suala la mavazi mafupi, wapo wanawake ambao wamejaliwa na miguu yao mizuri ya bia wakivaa wananoga. Uvaaji wa nguo fupi umekua unawachoresha hawa wenzetu wenye miguu...
2 Reactions
57 Replies
17K Views
Mwanaume aliyeoa nguo zake zikivaliwa mara moja tu, zinafuliwa. Yani akivaa leo akifika inatupiwa kwenye japu tayari kwa kufuliwa. Mnafahamu wetu kutokana na uwezo tunanunua cardet au jinsi za...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Nimekuwa inspired baada ya kufika kwenye nyumba (soma: kabanda) moja hivi; ya hovyo hovyo tu! Kilichonifurahisha sasa! Yaani pazia la pale mlangoni nilitamani nijiviringishie; yaani saaaaaaaaaafi...
15 Reactions
75 Replies
8K Views
Bila Shaka mu wazima, naomba kuuliza anayeifahamu keto made by China, aniambie, inapopatikana tafadhali. Ni cream kwa ajili ya uso, huondoa dead skin na kukupa ngozi lain nyororo, haichubui...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Watu wengi hupenda kutoka usiku kwa miadi tofauti tofauti. sasa ili utokelezee na uonekane tofauti na wengine unatakiwa kuvaa simple lakini muonekano wa kuvutia. leo nimekuletea jinsi ya kuvaa...
1 Reactions
41 Replies
17K Views
Wajameni, Yani kuna watu wanapenda kupuliza unyunyu sana yani mbaya zaidi unakua na ile harufu kali, jamani yaani sie wenye allergy tunateseka hatari..! Yaani omba usikae naye siti moja kwenye...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wapendwa Mimi ni beginner naanza kutunza nywele asili ninazo ndefundefu fulani hivi, ila nimegundua nywele zangu ni kavu kupindukia. Naombeni ushauri nitumie hair cream gani kwa ajili ya...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Back
Top Bottom