Wacha nilisemee hili,maana limenichosha na kunitia kinyaa.
Haiwezekani unaingia chumbani kwa binti wa karne hii ya 21 unakutana na
vitu vimetapakaa kila sehemu,masufuria yamejaa koyo,miko na...
Here are 5 certain types of tummies and how to get rid of them:
1. Alcohol belly
Drinking too much alcohol drinks can prevent your body from digesting the food properly. Also, alcoholic beverages...
Wadau habari.
Naamini wapo wanaofahamu mapigo haya naweza pata wap shati kama hili.
Natanguliza shukurani
Ts temporary post
Sent using Jamii Forums mobile app
Hbr za mda huu wanajamvi
Nisipoteze muda sana naona bora niende kwenye uzi moja kwa moja
Wakuu ninashida na viatu vya balenciaga (one pair) chenye gamba jeusi na soli nyeupe
Nimetafuta...
Jamani nini maoni yenu,
Tunaposafiri, chupi tuwape watu wa hoteli wafue au tufue wenyewe, maana tunapofua wenyewe ukaukaji wake si mzuri maana tunaanikia ndani na mara nyingi zinasababisha...
1. Zingatia aina ya sherehe na rangi
Je, ni sherehe rasmi, ya kuvaa kawaida au ya mavazi maalum(costume party)? Pia chunguza kama kuna rangi mahususi kwa ajili ya waalikwa na jitahidi kuijumuisha...
Habari zenu wadau.
Nimepanga nyumba moja hivi mjinj. Nyumba hii ina masista duu watatu hatari ambao ukikutana nao barabarani lazima zipu ikaze. Yaani ni mademu haswaa!! Lakini wanakasoro moja ya...
She was born in 1993 and now she is nursing a 4 month old baby.
" Siku hizi magonjwa mengi sana. Nipo na mtoto wangu huyu mmoja sitaki habari za wanaume. Nikipata MTU wangu mmoja natulia nae coz...
Mimi hupenda sana utanashati, kuvaa vizuri yaani nguo safi, imepigwa pasi vizuri, mpangilio wa kuvaa nguo, viatu na mkanda wa kiunoni, nguo sio za gharama sana, hata mitumba navaa ila napangilia...
Habarini,
Unapokuja katika suala la mavazi mafupi, wapo wanawake ambao wamejaliwa na miguu yao mizuri ya bia wakivaa wananoga.
Uvaaji wa nguo fupi umekua unawachoresha hawa wenzetu wenye miguu...
Mwanaume aliyeoa nguo zake zikivaliwa mara moja tu, zinafuliwa. Yani akivaa leo akifika inatupiwa kwenye japu tayari kwa kufuliwa.
Mnafahamu wetu kutokana na uwezo tunanunua cardet au jinsi za...
Nimekuwa inspired baada ya kufika kwenye nyumba (soma: kabanda) moja hivi; ya hovyo hovyo tu! Kilichonifurahisha sasa! Yaani pazia la pale mlangoni nilitamani nijiviringishie; yaani saaaaaaaaaafi...
Bila Shaka mu wazima, naomba kuuliza anayeifahamu keto made by China, aniambie, inapopatikana tafadhali.
Ni cream kwa ajili ya uso, huondoa dead skin na kukupa ngozi lain nyororo, haichubui...
Watu wengi hupenda kutoka usiku kwa miadi tofauti tofauti. sasa ili utokelezee na uonekane tofauti na wengine unatakiwa kuvaa simple lakini muonekano wa kuvutia. leo nimekuletea jinsi ya kuvaa...
Wajameni,
Yani kuna watu wanapenda kupuliza unyunyu sana yani mbaya zaidi unakua na ile harufu kali, jamani yaani sie wenye allergy tunateseka hatari..!
Yaani omba usikae naye siti moja kwenye...
Habari wapendwa
Mimi ni beginner naanza kutunza nywele asili ninazo ndefundefu fulani hivi, ila nimegundua nywele zangu ni kavu kupindukia.
Naombeni ushauri nitumie hair cream gani kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.