The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,320
Huu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu.
Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.
Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.
Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujapendeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.
Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.
Kama wewe ni mwanaume mfupi na pia mnene, vazi la suti halikufai, achana nalo, vaa tu kanzu au kaunda suti uende kwenye mtoko wako.
Vazi la suti liko designed na linafit zaidi watu warefu na wembamba, kanzu na manyanya puza yako designed specifically kwa watu wanene na wafupi.
Ili kuepuka aibu ya kuonekana hujapendeza ni busara sasa watu tuvae mavazi yanayoendana na kimo na kiwango cha miili yetu.
Huu ni ushauri wa bure tu. Kila la heri kwa atakaekwazika.