Uvaaji wa tai

fimboyaasali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
8,413
7,967
Wadau hebu tupeane ujuzi kwenye uvaaji wa tai, kwa mashati ya mikono mirefu na mikono mifupi, hivi kuwa kuna kanuni inayotawala uvaaji wa tai kwa mashati hayo?

Pia naomba kujua je, kuna kanuni za uvaaji tai nene na zile nyembamba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom