F
- Joined
- Jan 14, 2011
- Messages
- 2,289
- Likes
- 1,049
- Points
- 280
F
fimboyaasali
JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011



Wadau hebu tupeane ujuzi kwenye uvaaji wa tai, kwa mashati ya mikono mirefu na mikono mifupi, hivi kuwa kuna kanuni inayotawala uvaaji wa tai kwa mashati hayo?
Pia naomba kujua je, kuna kanuni za uvaaji tai nene na zile nyembamba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia naomba kujua je, kuna kanuni za uvaaji tai nene na zile nyembamba?
Sent using Jamii Forums mobile app