Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Leo nipo hapa kuwasaidia watu wanaotaka kuingia kwenye modeling au ni models wanataka kwenda kimataifa. Jina langu ni Blessing Chess nafanya kazi THE INNOVATION HOUSE BRAND WORLDWIDE modeling...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa sasa kujichubua/kutumia mikorogo shida ni nini,JE CHANZO NI WANAWAKE? Unakutana na anko mloachana 7 years akiwa mweusi leo ni mweupe, au anakuwa na rangi...
1 Reactions
79 Replies
10K Views
Wakuu wa jukwaa hili la utanashati habari za mida hii. Kama kichwa cha habari kilivyo, naomba kufahamishwa juu ya hilo swali nikivaa kadeti then nikachomekea na shati, kuna jamaa wanadai kadeti...
0 Reactions
33 Replies
17K Views
Mimi ni mhanga wa kuwa na ualaza hivyo nalazimika kunyoa kila baada ya wiki moja ili kiwalaza changu kisionekane. Tupeane ushauri namna ya kuhandle hali hiyo kwa wale wasiopenda kiuwalaza
3 Reactions
25 Replies
7K Views
Nataka kuachana na mambo ya kujipulizia perfume..nianze kuingia kwenye ulimwengu wa udi,,sasa wale wazoefu wa kutumia udi je udi gani ni mzuri na naupata wapi..haruf ya udi imetokea kunivutia sana
2 Reactions
22 Replies
8K Views
Habari.......... kuna mtu ashawahi kuyafaham haya jee yamepigwa marufuku?kuna watu wanavusha mipakani wananishawishi ninunue kwa bei ya jumla mzigo wa dukani Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Natamani wanawake wangefahamu kuwa katika vitu ambavyo asilimia kubwa ya wanaume tunachukia kutoka kwao ni nywele bandia. Asilimia kubwa ya wanaume huvutiwa na nywele asili. Ikiwa sisi hatuvutiwi...
17 Reactions
97 Replies
13K Views
Nikishave nawashwa mpaka natamani kujikuna mbele za watu msaada tafadhali
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Haya sasa, wale wapenzi wa vitu vizuri, wasiopitwa kwa lolote kwa chochote tupieni jicho hapo. Mishono haibagui, mnene wala mwembamba. Pia usiwe mchoyo kushare ili nasi tufaidi. Pendeza...
7 Reactions
129 Replies
43K Views
Jamani naomba kujua kati ya vans na all star ipi iko njema especially kwa kuvalia modo (crazy) Na je ntajuaje kuwa ni orignal
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Naomba tuliongelee hili kidogo- Weupe wa kununua Hips Makalio Boob's N.k Ulishawah kujiuliza kuwa unajiona wap baada ya miaka kadhaa kupita ? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi jamani hakunaga diet simple kwa sie wenye kupunguza vitambi Maana diet nyingi utasikia asubuhi kunywa fresh juice ya appe sijui tikiti, mchana kula kuku au samaki,Jioni anataja vikorokoro...
9 Reactions
118 Replies
20K Views
Najua Kwa mwanamke uongeza urembo sasa Kwa mwanaume ni za nini au ndo mwanaume kuwa na Sura ya kike
1 Reactions
23 Replies
9K Views
Dreadlocks, ni aina ya nywele ambayo ina historia kubwa kwa mwanadamu kabla ya style yoyote ya nywele, ni style inayotumika kiimani mfano imani ya Uhindi (Saddhus), Some of Tibetian Buddhists...
17 Reactions
330 Replies
130K Views
Kijan lazm upendeze bwan cio unavaa bora kuvaaa unajieka ovyo tuu 😏😏 Haipendeziii U have to be smart 🌷
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini wana JF.Naomba kujua sababu za kukatika kwa nywele na ni njia ipi au mafuta yapi inapaswa kutumia ili kuzuia kukatika kwa nywele na kusaidia nywele kuota vizuri?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari zenu. Kwa kweli mimi ambaye natumia muda mwingi mkoani, nikija Dar na kwenda mjini yaani maeneo ya Posta, ambako inasemekana ndio shughuli za kitaifa hufanyika, wanaume wengi sana huku...
4 Reactions
37 Replies
8K Views
salute wanajamvi kwa takriban miaka kama miwili hivi sasa nimekua nikikutana na bidhaa za kampuni moja iitwayo MIKU INVESTMENT LTD wanazalisha vipodozi kwa ajiri ya ngozi, nywere na kucha...
3 Reactions
6 Replies
8K Views
Habari za jioni waungwana Kama kichwa cha habari kinavyojielezea hapo juu..naomba kujua salon yenye kufanya huduma ya kubadili style ya nywele iliyopo hapa Dar es salaam Natanguliza shukrani
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Back
Top Bottom