Habari wakuu....
Mimi ngozi yangu Nyeusi...ila nataka kidogo iwe kidogo niwe mweupe atleast maji kunde...
Katika kuulizia wakanambia nitumie LOTION YA VASSELINE....
Sasa sijui inaweza nisaidia??
Wanaume wengi wanasemaga hawapendi mwanamke anae jipodoa
Ila wacha tu tujipodoe kwakwel mpk mkituona barabaran mpagawe
Chura sina na sura nayoo[emoji57][emoji57]
Leo tutaangalia nafasi ya Asali katika afya ya nyuso zetu na urembo kwa ujumla wake
ASALI ni chakula kitam kitokanacho na nyuki kwa kutumia nekta au maji yenye sukari yatokanayo na maua.
KUNA...
Unaenda kwa mama lishe au muuza matunda unakuta kabandika mikucha utasema hachambi.
Sasa sijui tunakula vinyesi vya wangapi kwa siku.
Naomba niishie hapo kwa sasa
Wasalam kama kichwa kinavyojieleza kwa wale ndugu zangu ambao sio wapenzi wa perfumes na body sprays tuambiane Marashi mazuri yakunukia binafsi kuna marashi yanapendeza kwa wadada wa ki Islam...
Naomba nichukue nafasi hii adhimu kabisa na katika Jukwaa hili na Mtandao huu pendwa kabisa wa JamiiForums kumtakia Kila la Kheri Mnyange / Mrembo / Mlimbwende wa Kitanzania Dada Queen Elizabeth...
Sijui ni wangapi mnajua kuhusu hii bidhaa.
Bidhaa yenyewe ni ‘body powder spray’.
Ni poda [powder] ambayo unajipulizia mwilini: kwenye mabega, mgongoni, kifuani, chini ya makwapa, na kadhalika...
Je, ngozi kavu ni nini?
Ngozi kavu ni ugonjwa unaotokana na ngozi kukosa unyevunyevu wake na kupelekea ngozi kuwa kavu. Tatizo hili lina visababishi vingi ila
kwa leo nitavizungumzia vichache...
kumekua na ongezeko sana la kinadada kuvaa vikuku mguuni
kama leo nimeenda kunyoa saloo X katika mkoa wa iringa nikakuta mdada kavaa skert zakubana zile wanazovaa hasa wanavyuo hajavaa kufuri...
Daaaah!
Nipo kwenye gari hapa natoka mkoa nakuja Dar es salaam hili bus ni full kiyoyozi na madirisha yamefungwa
Ghafla namvuta hewa nzito sana ya kipodozi,baada ya kufuatilia ile harufu inatoka...
Habari wakuu,naomba mnijuze kama kuna athari yoyote ya kupaka usoni majimaji ya mmea wa alovera.
Pia naomba mnijuze kama kuna faida ya kupaka majimaji hayo.Nasubiri mawazo yenu , asanteni.
Hakuna cha mzuqa,
Utakuta ni warembo tu with a fat gene lakini wanajikongoroa miili yao kwa kutokula ama kushinda na apple na maji ili wamaintain kukongoroka wenyewe wakidhani ni warembo kumbe...
Hii ni tahadhari kwa wanaume.
Inasemekana kuwa vipodozi vya kujichubua wanaotumia wanaume kama clairmen, Dodo etc vinapunguza nguvu za kiume hadi kuwa gunia la kunde kabisa!
NB: Msiseme hamjaambiwa!
Kama unamiliki suruali zaidi ya kumi na tano na una boksa mbili tu wewe ni mchafu!
Kama una pea moja tu ya viatu wewe ni mchafu,mwanaume viatu
Kama unapiga mswaki Mara moja tu kwa siku wewe ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.