Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,819
Wakuu, sivuti sigara, bangi lakini lips zangu zimekua black zinanikera sana.
Msaada please!
Msaada please!
Mi Nina Mbooo tena inayosimamaJinsia tuanzie hapa..
Weka Vaseline au mafuta ya nazi mara 3 kwa siku kwenye lips zako. Kwa muda wa mwezi utakuwa upo poa leta mrejesho hapa baadae. Bila ya kusahau kunywa maji kwa wingi na acha bangi kama unatumia.Wakuu, sivuti sigara, bangi lakini lips zangu zimekua black zinanikera sana.
Msaada please!
Yanaitwaje?Hatamimi kuna kipind nlikua hvyo.. kuna mafuta ya kupaka lips yanauzwa paka usku ukilalA
Nmeyasahau jina.. ila ni kachupa kadogo tuu hivi wanauza bukuYanaitwaje?
Thanks!Paka vaseline then pakaa sukari. After kama three or fours minutes fanya kama unasugua lips zenyewe kwa zenyewe. Fanya atlist kila siku. Baada ya muda utaona matokeo.
Pia uwe unapaka lip balm (tafuta za Nivea ni ideal kwa wanaume coz hazing'ai mdomoni). Good luck![]()