Hivi inakuwaje mtu na akili zako uvae zombie fashion?

Jan 15, 2013
77
27
Habari,
Kuna mambo yanaendelea hapa duniani ni yakushangaza kwa wenye kutafakari,
Cha kushangaza zaidi ni mambo hayo kukumbatiwa pasi na kuhojiwa,
Kunielewa nini ninamaanisha, cheki attachment niliyoiambatanisha (ZOMBIE FASHION),

images (14).jpg

Hivi inakuwaje mtu mwenye akilizake, anafunga safari kwenda dukani, anatoa pesa yake pasi na kusikia uchungu na kununua kitu kama hicho,
Hivi akili za watu wanao vaa mavazi haya zikosawa?
Kwangu mimi; akilizao ni REMOTED.

Nimewasilisha
 
Kwanza uvaaji wa namna hiyo ni ukosefu wa nidhamu
Zipo zilizochanwa kidogo ila nyingine ni too much
 
Niliwahi kusema wamama akili zao ni finyu nikaambiwa ni mbaguzi wa akina mama mara nina mfumo dume. Je mbona hakuna wanaume wanaotembea uchi/nusu uchi kama wanawake???
 
Back
Top Bottom