Arafat Bahdellah
Member
- Jan 15, 2013
- 77
- 27
Habari,
Kuna mambo yanaendelea hapa duniani ni yakushangaza kwa wenye kutafakari,
Cha kushangaza zaidi ni mambo hayo kukumbatiwa pasi na kuhojiwa,
Kunielewa nini ninamaanisha, cheki attachment niliyoiambatanisha (ZOMBIE FASHION),
Hivi inakuwaje mtu mwenye akilizake, anafunga safari kwenda dukani, anatoa pesa yake pasi na kusikia uchungu na kununua kitu kama hicho,
Hivi akili za watu wanao vaa mavazi haya zikosawa?
Kwangu mimi; akilizao ni REMOTED.
Nimewasilisha
Kuna mambo yanaendelea hapa duniani ni yakushangaza kwa wenye kutafakari,
Cha kushangaza zaidi ni mambo hayo kukumbatiwa pasi na kuhojiwa,
Kunielewa nini ninamaanisha, cheki attachment niliyoiambatanisha (ZOMBIE FASHION),

Hivi inakuwaje mtu mwenye akilizake, anafunga safari kwenda dukani, anatoa pesa yake pasi na kusikia uchungu na kununua kitu kama hicho,
Hivi akili za watu wanao vaa mavazi haya zikosawa?
Kwangu mimi; akilizao ni REMOTED.
Nimewasilisha