Models/ Video queen na uvaaji wa nusu uchi

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
264
378
c697de96c3481c9d845cfacc4077cfbe.jpg

fe94ead46d1019e23939395739be3a64.jpg

Nauliza hivi wadau kwani ni lazima kwa video queen au model kuvaa nusu uchi?
Hawa watu wanaleta vichocheo vya ngono na ubakaji inabidi serikali iwatazame kwa jicho la 3 wanaharibu utamaduni wa Kitanzania
Kama ukahaba umepigwa marufuku basi na hawa video queens/models nao wapigwe marufuku manake hawana tofauti na machangudoa
 
Hiyo ni type nyingine ya kujiuza sema hata wakiulizwa utaambiwa tumejiajiri through u video queen
 
Kweli kabisa!!! BASATA imewafumbia macho kabisa hawa...
Nikiwa na familia home, nyimbo ninazoweka huwa ni za mrisho mpoto, ambapo familia nzima mwaweza angaliaa bila kuwa na shaka nini kitaokea.

Ila hizi zingine, Mhh! hapana
 
Nikiwa na familia home, nyimbo ninazoweka huwa ni za mrisho mpoto, ambapo familia nzima mwaweza angaliaa bila kuwa na shaka nini kitaokea.

Ila hizi zingine, Mhh! hapana
Alafu sijui hawajistukiii!!!
 
c697de96c3481c9d845cfacc4077cfbe.jpg

fe94ead46d1019e23939395739be3a64.jpg

Nauliza hivi wadau kwani ni lazima kwa video queen au model kuvaa nusu uchi?
Hawa watu wanaleta vichocheo vya ngono na ubakaji inabidi serikali iwatazame kwa jicho la 3 wanaharibu utamaduni wa Kitanzania
Kama ukahaba umepigwa marufuku basi na hawa video queens/models nao wapigwe marufuku manake hawana tofauti na machangudoa
Kweli
 
Back
Top Bottom