Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Jamani nyie wanawake wa kidigitali mnatuharibia kizazi chetu cha baadaye. Huu uvaaji wenu mnawafundisha nini watoto wenu.
Si bora mkae uchi sasa kieleweke. Miaka mingi mlikuwa mkisingizia ni utandawazi. Kuwa wanaiga wazungu. Lakini huu uvaaji hata wazungu mmewazidi
Mjirekebishe basi,khaaaa. Wengne tunashindwa hata kupeleka watoto zetu sehem za starehe kwa hofu ya kukutana mimtu mizima ipo uchi.
Si bora mkae uchi sasa kieleweke. Miaka mingi mlikuwa mkisingizia ni utandawazi. Kuwa wanaiga wazungu. Lakini huu uvaaji hata wazungu mmewazidi
Mjirekebishe basi,khaaaa. Wengne tunashindwa hata kupeleka watoto zetu sehem za starehe kwa hofu ya kukutana mimtu mizima ipo uchi.