Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Mageuzi ambayo yamekuwa yakifanywa na Serikali ya Rais Samia yamekifanya Kilimo kuwa sekta kimbilio na ya kuaminika. Ikumbukwe miaka michache Iliyopita Kilimo kilikuwa kinaonekana ni kazi ya...
1 Reactions
14 Replies
848 Views
Wadau naomba mnijuze kwa wenye uzoefu. Huwa nikienda magogoni ferry kwenye soko la samaki naona ni biashara ambayo hailali. Hebu mnijuze nikitaka kufanya biashara ya uvuvi baharini nini...
1 Reactions
22 Replies
11K Views
Habari za mids hii Siku Kama nne hivi zilizopita nimenunua vifaranga 7 aina ya saso , sijawahi kufuga kuku ndo nimeamua jaribu , baada ya kuwachukua nilinunua starter 1Kg ndo wanaila ila hapa...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nimepata link ya jamaa wa Mtwara anadai korosho zinanunuliwa 1000 kwa wakulima na kwenda kuuzwa 1900 kwenye maghala. Hii ni Fursa wakuu natafuta muwekezaji mmoja tu chapchap...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Ninataka mbegu na siyo miche. Mwaka huu nilinunua zaidi ya miche 50 lakini baada ya kuanza kuchanua maua, nimebaini mingi ni midume. Nimeamua kutafuta mbegu nisie mwenyewe. Ni wapi ninakoweza...
1 Reactions
8 Replies
639 Views
Watanzania ni bahati mbaya huwa tunapokea furusa mwishoni kabisa au hadi tuone kwenye TV au tutangaziwe na kiongozi. Matunda kama Dragon fruits ni moja ya matunda ambayo ni commercial na pia...
4 Reactions
40 Replies
4K Views
1)Eneo shamba lilipo Kabla hujaanza kulima zao lolote, hebu kwanza angalia mahala shamba lako liipo. Je linafaa kwa kilimo au kulima zao ambalo unataka kulilima. Katika eneo lako hebu zingatia...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Katika mkoa ninaoishi( Iringa) mbegu ya mahindi inayofanya vizuri sana ni Dk 777, ikifuatiwa na DK 9089, japo mbegu za kampuni ya seedco namba 409 na 403 zinajitahidi pia. Hii ni kulingana na...
5 Reactions
38 Replies
23K Views
Wakuu leo nimeshangaa hapa home kuna jirani alikuwa amechimba kisima cha chemchem baada ya kukitumia miezi kadhaa akakifukia yapita sasa mwaka akaamua kufukua kakutana na masamaki ya kambale hivi...
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Wakubwa salam. Nipo Mwanza mjini hapa. Naomba kuelekezwa maeneo yanakopatikana maduka ya jumla ya pembejeo za kilimo. Na pia naomba kujua bei mbegu za mahindi Kwa mfuko wa kilo mbili. Aina ya...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajanvi Salaam, Matumaini ni muda muafaka wa kuingia shamba. Mimi ni mkulima wa mahindi lakini Kwa musimu huu naitaji kubadili kilimo. Mwaka huu nitajikita katika kilimo Cha mpunga. Nikiwa...
0 Reactions
6 Replies
884 Views
Sungura ni mnyama mla majani, wanyama wala majani ni wanyama wa gharama nafuu kufuga maana huweza kula vyakula ambavyo wanadamu na wanyama wenye mfanano na binadamu hawali. Vyakula kama majani au...
4 Reactions
29 Replies
9K Views
Zao la nanasi ni zao ambalo kiasili ni zao linalovumilia ukame na ni zao ambalo la kibiashara lenye faida kubwa. Kwa hapa Tanzania yapo maeneo mengi ambapo zao hili la nanasi linastawi ila katika...
4 Reactions
33 Replies
10K Views
Nilikuwa nasoma kitabu cha Marehemu Dr.Reginald Mengi kinaitwa I CAN, I MUST,I WILL nikamnukuu akisema ndani ya kitabu chake tafiti zinaonyesha kwamba; 1. Bonde la mto Ruvu peke yake linaweza...
7 Reactions
7 Replies
1K Views
Wafugaji wengi wa Sungura wamebakia kufanya Biasjmhara inayo itwa Farmer to Farmer. Yaani anakuuzia na wewe ukafuge na wewe utayafuta mfugaji umuuzie akafuge na chain inaendelea. Ni nadara sana...
6 Reactions
25 Replies
6K Views
Habari JF, Leo katika pita pita zangu nimekaa nimewaza nianzishe ufugaji wa samaki ndani ya chumba nilichopanga, Nikianza na samaki hata kumi naona watatosha, Hii imekaaje wadau... seem like...
8 Reactions
54 Replies
3K Views
Wanabodi, salaam! Wapi nitapata mbegu bora ya kisasa ya mbaazi? Nimepita maduka mbalimbali ya mbegu, nimekosa. Nimeenda hadi TARI-Ilonga, Kilosa (Taasisi ya serikali ya kuzalisha mbegu) nimekosa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Chonde chonde Wataalamu wa utafiti wa Parachichi fanyeni hima mkajifunze Burundi au fanyieni utafiti Parachichi za huko ni Kwa nini zina Radha nzuri,laini na kutoa juice zaidi kuliko za Tanzania...
9 Reactions
57 Replies
5K Views
Nauza kuku aina ya SASSO. Wana wiki 11. Bado wiki 10 hadi 13 mitetea waanze kutaga. -Jumla wapo 76. Wana uwiano sawa wa idadi..yani nusu kwa nusu na mitetea. -majogoo unaweza kuyauza msimu wa...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom