ibra017
Member
- Dec 7, 2023
- 5
- 6
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa kwanza, nilikua nawazo la kuanza kuwekeza kwenye kilimo kupitia boom langu.
Sasa ni kwamba kwasasa sijui ni aina gani ya mazao ambayo nitaweza wekeza na yakanipa faida kutokana na hali yenyewe jinsi ilivyo ya kiuchumi, na ni vema nianze na kiwango gani cha mtaji.
Naombeni msaada tafadhari
Sasa ni kwamba kwasasa sijui ni aina gani ya mazao ambayo nitaweza wekeza na yakanipa faida kutokana na hali yenyewe jinsi ilivyo ya kiuchumi, na ni vema nianze na kiwango gani cha mtaji.
Naombeni msaada tafadhari