Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wakuu poleni na hongereni na majukumu Nimepata wazo mahali ninapoishi nipande mipapai ya kisasa sasa nahitaji mtaalamu wa kilimo cha papai za kisasa tukubaliane(nitamlipa) aje kuangalia eneo...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna haya mazao hapa Almonds Macadamia Cashew nuts Palm Nimeyafanyia utafiti sana na nimeona yana potential kubwa ya kutengeneza pesa. Embu naombeni mawazo wadau. Kuna amefanikiwa kulima hayo...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimeanza kulima serious toka mwaka 2019, nikilima mahindi na viazi vitamu ndani ya misimu mitatu yaani toka 2022 mpaka sasa nimeweza kutengeneza faida ya 30M kupitia kilimo cha mahindi, viazi...
27 Reactions
119 Replies
11K Views
Wakuu poleni na pilika za kutwa Hongereni sana kwa kumaliza siku salama, Naomba kuuliza ni wapi kuna mashamba ya bei rahisi yanayostawi kahawa na migomba? Ambayo hayana ukame sana natamani...
0 Reactions
2 Replies
987 Views
Habari za Majukumu wakuu.... Niko na shida na Kuku wangu wa kienyeji... Ni Siku ya pili kuku wangu hachangamki hata kula awezi kula vizuri Baada yakumchunguza nimekuja kugundua kinyesi chake si...
0 Reactions
3 Replies
721 Views
Wakuu poleni na pilika za kutwa Hongereni sana kwa kumaliza siku salama, Naomba kuuliza ni wapi kuna mashamba ya bei rahisi yanayostawi kahawa na migomba? Ambayo hayana ukame sana natamani...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau salaamu! Noamba ushauri kuna fursa gani maeneo ya turiani (mvomero) hasa katiak upatikanaji wa mifugo hasa mbuzi, ngombe na nguruwe? Na pia fursa gani nyingine naweza kuwekeza huko na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hii aina gani gani ya maharage na yanafanya vizuri sokoni dar Nimenunua kutoka kyela
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Msaada unawezaje Kuondoa Nyuki kwa njia ya Kitaalam au ya Kienyeji walioko Nyumbani Kwako na wasio na Madhara? Nitaushukuru.
1 Reactions
5 Replies
816 Views
Wadau wa kilimo naomba kuuliza nimesoma komnti na maelezo watu waliondika kuhusu kilimo cha maparachichi za 2021. Naomba kuuliza vip kwa miaka hii 2023 bado kilimo cha maparachichi kinalipa? Je...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama Kichwa Cha Habari kinavyojieleza...hapo juu Naomba msaada kujua huu ni ugonjwa gani wa kuku na unasababishwa na nini ?na Tiba yake ni nini? Ni kuku wa kienyeji Mwenye kujua Tiba yake ikiwa...
1 Reactions
0 Replies
687 Views
Dragon fruits ni moja ya matunda ghari sana Duniani, na yanalimwa sana Asia panoja na nchi kama USA, Ni matunda ambayo ulimaji wake ni rahisi sana ila sijajua no kwa ni yanauzwa ghari sana. Kwa...
2 Reactions
9 Replies
7K Views
Heshima zenu wakuu, Nina penda sana kilimo cha herbs kama mint (mnanaa), basil (mrehani), rosemary, sage(mjuzi), citronella(kibelarusi), lemongrass (mchaichai), lemon balm (zeri ya limao) na...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
"Dondoo muhimu za msimu wa mvua za Vuli; Oktoba - Disemba 2023" Kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania. "Taarifa hii inatoa uchambuzi wa mwenendo wa mifumo ya hali ya hewa na mwelekeo wa msimu wa...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Tumezoea kupanda miche ya ndizi, unaweza kuinunua au kuomba kwa jirani. Lakini ndizi iliyokomaa na kuiva inaweza kukupa mbegu naipanda ndizi kwenye karai bovu lenye matobo ili maji yasituame...
12 Reactions
18 Replies
6K Views
Wakuu Salaam, Kwa wanaojua ni wapi naweza kupata mashine ya kuvuna mpunga kwa hapa Tanzania kwa maana ya kununua au pia kuagiza nje ya nchi pamoja na bei yake? Mashine ninayohitaji ni ndogo sio...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Ndugu wanaJamiiForums! Samahani naomba msaada kwa anayefahamu au hata kujishughulisha na zao la Ngwara. Tafadhali naomba nipatiwe elimu juu ya kilimo cha zao hili soko lake pia. Zao hili...
1 Reactions
33 Replies
20K Views
Wadau mwezi huu mwishoni Mungu akipenda navuna nyanya shambani kwangu Nimejaaliwa kulima heka 3 na zimebeba vizuri. Shamba lipo morogoro eneo la Dakawa. Ninachojivunai zaidi nimejifunzia humu...
8 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu salaam, katika harakati za kutafuta maisha, nimeona niingie shambani. Swali langu: Inawezekana kwa shamba jipya ukapanda either ufuta au mahindi bila kulima? Yaani ukakata msitu...
3 Reactions
39 Replies
3K Views
Naomba ushauri ni kilimo kipi cha nazina ya baadae ni bora zaidi au kuwa na manufaa zaidi kati ya miti ya mbao dhidi ya mikorosho? Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
1 Reactions
38 Replies
9K Views
Back
Top Bottom