Kama una shamba limekaa tu, panda Miti ya Mulberries, ina zero cost za utunzaji

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,917
Mulberries matunda yake hakuna hata mmoja humu anaye weza pinga kwamba sio matunda matamu, Mulberries binafisi nikikutana nayo popote pale lazima niyachume nile.

Haya matunda ambayo nahisi asili yake yaliletwa na wakoloni ni matunda comercialy nchi zingine hasa Asia huko.

Haya matunda sidhani kama yana gharama na kama zitakuwepo basi ni over minimal sana.

Unaweza fanyaje?

Kama unashamba liko sehemu nzuri otesha miti ya kutosha make unakata tu vijiti unapandikiza au unaotesha kwanza kwenye viriba then unahamishia aridhini.Ukisha anza kupata matunda chuma paki kwenye kontena kama za kupakia zabibu au strawberry na nenda nazo kwenye High end super Market na kwenye juice Bar.

Pale unawaachia sample hata pakiti 10 za kutest,kwanza tukubaliane hakuna asie jua Mulberries kuanzia wazungu, wahindi, na sisi Wabongo. Watu watanunua tu labda washindwe bei.

Peleka kwenye Fruits Bar ziko mingi sana achia wao sample kadhaa free kabisa, nina uhakika utauza na itahitajika mzigo mkubwa sana utafikia wakati ushandwa.

Mulberries ni matunda matamu kuliko idadi nyingi ya haya matunda ya kugeni, bado mimi hata Zabibu hazifuati kwa Mulberries fruits.

Haya matunda yanaweza kuwa ni biashara sema sasa kwa sababu hatujaona anaye lima, na wala hatujayaona yakiuzwa pembeni ya barabara tunaamini hakuna soko, sisi soko ni hadi tuone yakiuzwa hadi pembezoni mwa Barabara.

Kuna products zina soko ila hutakaaa uone wala kusikia zinauliziwa na mtu kwa sababu hazipo sokoni, so mtu hawezi jisumbua kuulizia kitu ambacho hakipo sokoni.Ila siku akikiona lazima atakitaka kwa sababu anakijua au alisha wahi kukila kipindi fulani kwenye maisha yake.

Mfano: Mchaga akienda labda Canada,hawezi jisumbua kuulizia mbege au mtori, kwa sababu anajua hakuna chakuka cha aina hio kule Canada,Ila siku ya siku anapiga zake misele akakutana na Mbege au Mtori atautaka kwa sababu ilikuwa ni moja ya chakula alisha wahi kukila kwenye maisha yake.
FB_IMG_1701971061686.jpg
FB_IMG_1701970996083.jpg
FB_IMG_1701970961908.jpg
 
Nafuatilia post zako ni nzuri sana ila shida ni kwamba unapigia Mbuzi gitaa.Watu wanataka kufanya vile vitu vinavyo fanywa na kila mtu na hakuna anaye taka kuumiza akili zake kuja na wazo jipya,Wazo jipya kwetu ni sawa na kutafuta bikra kwenye wodi ya wazazi
 
Mulberries matunda yake hakuna hata mmoja humu anaye weza pinga kwamba sio matunda matamu, Mulberries binafisi nikikutana nayo popote pale lazima niyachume nile.

Haya matunda ambayo nahisi asili yake yaliletwa na wakoloni ni matunda comercialy nchi zingine hasa Asia huko.

Haya matunda sidhani kama yana gharama na kama zitakuwepo basi ni over minimal sana.

Unaweza fanyaje?

Kama unashamba liko sehemu nzuri otesha miti ya kutosha make unakata tu vijiti unapandikiza au unaotesha kwanza kwenye viriba then unahamishia aridhini.Ukisha anza kupata matunda chuma paki kwenye kontena kama za kupakia zabibu au strawberry na nenda nazo kwenye High end super Market na kwenye juice Bar.

Pale unawaachia sample hata pakiti 10 za kutest,kwanza tukubaliane hakuna asie jua Mulberries kuanzia wazungu, wahindi, na sisi Wabongo. Watu watanunua tu labda washindwe bei.

Peleka kwenye Fruits Bar ziko mingi sana achia wao sample kadhaa free kabisa, nina uhakika utauza na itahitajika mzigo mkubwa sana utafikia wakati ushandwa.

Mulberries ni matunda matamu kuliko idadi nyingi ya haya matunda ya kugeni, bado mimi hata Zabibu hazifuati kwa Mulberries fruits.

Haya matunda yanaweza kuwa ni biashara sema sasa kwa sababu hatujaona anaye lima, na wala hatujayaona yakiuzwa pembeni ya barabara tunaamini hakuna soko, sisi soko ni hadi tuone yakiuzwa hadi pembezoni mwa Barabara.

Kuna products zina soko ila hutakaaa uone wala kusikia zinauliziwa na mtu kwa sababu hazipo sokoni, so mtu hawezi jisumbua kuulizia kitu ambacho hakipo sokoni.Ila siku akikiona lazima atakitaka kwa sababu anakijua au alisha wahi kukila kipindi fulani kwenye maisha yake.

Mfano: Mchaga akienda labda Canada,hawezi jisumbua kuulizia mbege au mtori, kwa sababu anajua hakuna chakuka cha aina hio kule Canada,Ila siku ya siku anapiga zake misele akakutana na Mbege au Mtori atautaka kwa sababu ilikuwa ni moja ya chakula alisha wahi kukila kwenye maisha yake.
View attachment 2835965View attachment 2835966View attachment 2835967
Nilipanda mpakani mwaka jana, wazaramo walipo kuwa wanapalilia shamba wakaipiga jembe yote.
Vitunda Bora, Sana vya kuwakaribisha watoto wa shule shambani kwako baada ya miwa.
 
Mulberries matunda yake hakuna hata mmoja humu anaye weza pinga kwamba sio matunda matamu, Mulberries binafisi nikikutana nayo popote pale lazima niyachume nile.

Haya matunda ambayo nahisi asili yake yaliletwa na wakoloni ni matunda comercialy nchi zingine hasa Asia huko.

Haya matunda sidhani kama yana gharama na kama zitakuwepo basi ni over minimal sana.

Unaweza fanyaje?

Kama unashamba liko sehemu nzuri otesha miti ya kutosha make unakata tu vijiti unapandikiza au unaotesha kwanza kwenye viriba then unahamishia aridhini.Ukisha anza kupata matunda chuma paki kwenye kontena kama za kupakia zabibu au strawberry na nenda nazo kwenye High end super Market na kwenye juice Bar.

Pale unawaachia sample hata pakiti 10 za kutest,kwanza tukubaliane hakuna asie jua Mulberries kuanzia wazungu, wahindi, na sisi Wabongo. Watu watanunua tu labda washindwe bei.

Peleka kwenye Fruits Bar ziko mingi sana achia wao sample kadhaa free kabisa, nina uhakika utauza na itahitajika mzigo mkubwa sana utafikia wakati ushandwa.

Mulberries ni matunda matamu kuliko idadi nyingi ya haya matunda ya kugeni, bado mimi hata Zabibu hazifuati kwa Mulberries fruits.

Haya matunda yanaweza kuwa ni biashara sema sasa kwa sababu hatujaona anaye lima, na wala hatujayaona yakiuzwa pembeni ya barabara tunaamini hakuna soko, sisi soko ni hadi tuone yakiuzwa hadi pembezoni mwa Barabara.

Kuna products zina soko ila hutakaaa uone wala kusikia zinauliziwa na mtu kwa sababu hazipo sokoni, so mtu hawezi jisumbua kuulizia kitu ambacho hakipo sokoni.Ila siku akikiona lazima atakitaka kwa sababu anakijua au alisha wahi kukila kipindi fulani kwenye maisha yake.

Mfano: Mchaga akienda labda Canada,hawezi jisumbua kuulizia mbege au mtori, kwa sababu anajua hakuna chakuka cha aina hio kule Canada,Ila siku ya siku anapiga zake misele akakutana na Mbege au Mtori atautaka kwa sababu ilikuwa ni moja ya chakula alisha wahi kukila kwenye maisha yake.
View attachment 2835965View attachment 2835966View attachment 2835967
Mpaka ujaze gunia kazi urakuwa umeifanya.
Dunia ya sasa watu wanataka faida sio mazoea. Hilo tunda unalisafirishaje toka mbeya mpaka Dar ?
Kuna watu tumezaliwa kufikiri na kufanya vitu tofauti ambavyo mda mwingine ni vigumu ila vinawezekana.
Kule nyumbani i kuna tunda linaitwa mfulu au zambarau. Unaweza panda maheka ya zambarau au mfulu ? Labda usindike mwenyewe maana yanaoza haraka.
Ukwaju ntakukubalia maana unatunzika.
Binafsi huwa natamani sana sana ifanyike project ya kupanda MIBUYU maana maeneo niliokuwa naona misitu ya mibuyu yamevamiwa na binadamu mfano ruaha mbuyuni .
Vijiji vya shinyanga.
Wewe ni mtu unaependa mazingira.
Naomba ufanye uhamadishaji wa upandaji mibuyu, ukwaju, maembe pori.zambarau nk
 
Moaka ujaze gunia kazi urakuwa umeifanya.
Dunua ya sasa watu wanataka faida sio mazoea. Hilo tunda unalisafirishaje toka mbeya mpaja Dar ?
Kuna watu tumezaliwa kufikiri na kufanya vitu tofauti ambavyo mda mwingine ni vigumu ila vinawezekaba.
Kuke nyu.ba i kuna tunda linaitwa mfulu au dhambarau. Unaweza panda maheka ya dhambarau au mfuku ? Labda usindike mwenyewe maana yanaoza haraka.
Ukwaju ntakukubalia maana unatunzika.
Binafdi huwa natamani sana sana ifanyike project ya kupanda MIBUYU maana maeneo niliokuwa nsona misitu ya mibuyu yamevamuwa na binadamu mfano ruaha mbuyuni .
Vijiji vta shinyanga.
Wewe ni mtu unaependa mazingira.
Naomba ufanye uhamadishaji wa ipandaji mibuyu, ukwaju, maembe pori.zambarau nk
Unajua, Strawberry zinavuo vunwa? au matunda kama Blueberries? Milberries utawekaje kwenye gunia?
 
Unajua, Strawberry zinavuo vunwa? au matunda kama Blueberries? Milberries utawekaje kwenye gunia?
Nimetumia sanaa ya lugha. Sio kila kitu kina maanisha kilivyoandikwa. Nina maana hizo kitu mpaka ujaze gunia unavuna miti mingapi ? Yaani kwa kifupi hayana ujazo.
Huo mti asilimua kubwa hupandwa kama pambo. Unajua zabibu zinaujazo, mti mmoja unaweza jaza maboksi ya kutosha.
Jambo lingine yana haribika haraka, yanapondeka pondeka.
Kibiashara ni bora upande hata passion, sisi sio matajiri tunajitafuta kwa hio ni muhimu kuchunguza hali ya soko ili usije laumu mtu.
Kwa nini utafute soko lisilopo wakati maembe yana soko ?
Unaona kwenye parachichi, wasipokuja wakenya, wasipokuja wazungu au wachina hali inakuwa ngumu kwa wakulima. Ina maana hili zao sio rafiki kwa wazawa, hawapendi kula parachichi.
Umesikia kilichotokea kwenye vanila ? Kama bado unajitafuta sio vizuri kubahatisha aka kubeti panda zao ambaloo una uhakika utauza. Watanzania hawana utamaduni wa kupokea haraka.
Unakumbuka kwale na mayai ya kwale
Mradi wa kwale na sungura ukaonekana ni utapeli kumbe wenzetu ni biashara kulingana na utamaduni wa kubadirika haraka.
 
Hayo tunayaita mafalafalaji, dah ni matunda fulani ya kifala kichizi, sa sijui nachanganya na zile feelings za utotoni wakati nakua😂 lakini siyakubali kinoma kutokana na kunikumbusha drama za utoto

Ila kwa kupanda nakubaliana na wewr kama mtu anataka kupendezesha mazingira, ila siala la utamu hapo napinga, ni ya kawaida kichizi
 
Unajua, Strawberry zinavuo vunwa? au matunda kama Blueberries? Milberries utawekaje kwenye gunia?
Nakubaliana na wewe ktk kipanda miti mbali mbali. Nimekuomba uhamasishe na miti yetu asili ambayo inatiweka taratibu.
Shinyanga kuna maeneo ya karibu na mji iliota mikwaju na ubuyu kwa wingi bila kusahau zambarau. Sasa hivi hayo yamevamiwa.
Inawezekana umekulia sehemu isio na hayo matunda ila kuna matunda yalikuwepo na sasa hayapo au yamepungua.
Binafsi ningePenda uhamasishaji uende sambamba na kupanda miti yetu ya asili.
Kuna mtI unaitwa mkungu. Tunda lake lina harufu nzuri sana na mbegu yake ni karanga nzuri sana, sisi watanzania tumeupuuzia uhuo mti na unatoweka.
 
M
Mpaka ujaze gunia kazi urakuwa umeifanya.
Dunia ya sasa watu wanataka faida sio mazoea. Hilo tunda unalisafirishaje toka mbeya mpaka Dar ?
Kuna watu tumezaliwa kufikiri na kufanya vitu tofauti ambavyo mda mwingine ni vigumu ila vinawezekana.
Kule nyumbani i kuna tunda linaitwa mfulu au zambarau. Unaweza panda maheka ya zambarau au mfulu ? Labda usindike mwenyewe maana yanaoza haraka.
Ukwaju ntakukubalia maana unatunzika.
Binafsi huwa natamani sana sana ifanyike project ya kupanda MIBUYU maana maeneo niliokuwa naona misituibiya mibuyu yamevamiwa na binadamu mfano ruaha mbuyuni .
Vijiji vya shinyanga.
Wewe ni mtu unaependa mazingira.
Naomba ufanye uhamadishaji wa upandaji mibuyu, ukwaju, maembe pori.zambarau nk
Mibuyu hata Dodoma kibao
 
Mulberries matunda yake hakuna hata mmoja humu anaye weza pinga kwamba sio matunda matamu, Mulberries binafisi nikikutana nayo popote pale lazima niyachume nile.

Haya matunda ambayo nahisi asili yake yaliletwa na wakoloni ni matunda comercialy nchi zingine hasa Asia huko.

Haya matunda sidhani kama yana gharama na kama zitakuwepo basi ni over minimal sana.

Unaweza fanyaje?

Kama unashamba liko sehemu nzuri otesha miti ya kutosha make unakata tu vijiti unapandikiza au unaotesha kwanza kwenye viriba then unahamishia aridhini.Ukisha anza kupata matunda chuma paki kwenye kontena kama za kupakia zabibu au strawberry na nenda nazo kwenye High end super Market na kwenye juice Bar.

Pale unawaachia sample hata pakiti 10 za kutest,kwanza tukubaliane hakuna asie jua Mulberries kuanzia wazungu, wahindi, na sisi Wabongo. Watu watanunua tu labda washindwe bei.

Peleka kwenye Fruits Bar ziko mingi sana achia wao sample kadhaa free kabisa, nina uhakika utauza na itahitajika mzigo mkubwa sana utafikia wakati ushandwa.

Mulberries ni matunda matamu kuliko idadi nyingi ya haya matunda ya kugeni, bado mimi hata Zabibu hazifuati kwa Mulberries fruits.

Haya matunda yanaweza kuwa ni biashara sema sasa kwa sababu hatujaona anaye lima, na wala hatujayaona yakiuzwa pembeni ya barabara tunaamini hakuna soko, sisi soko ni hadi tuone yakiuzwa hadi pembezoni mwa Barabara.

Kuna products zina soko ila hutakaaa uone wala kusikia zinauliziwa na mtu kwa sababu hazipo sokoni, so mtu hawezi jisumbua kuulizia kitu ambacho hakipo sokoni.Ila siku akikiona lazima atakitaka kwa sababu anakijua au alisha wahi kukila kipindi fulani kwenye maisha yake.

Mfano: Mchaga akienda labda Canada,hawezi jisumbua kuulizia mbege au mtori, kwa sababu anajua hakuna chakuka cha aina hio kule Canada,Ila siku ya siku anapiga zake misele akakutana na Mbege au Mtori atautaka kwa sababu ilikuwa ni moja ya chakula alisha wahi kukila kwenye maisha yake.
View attachment 2835965View attachment 2835966View attachment 2835967
Mifolosadi
 
Mulberries matunda yake hakuna hata mmoja humu anaye weza pinga kwamba sio matunda matamu, Mulberries binafisi nikikutana nayo popote pale lazima niyachume nile.

Haya matunda ambayo nahisi asili yake yaliletwa na wakoloni ni matunda comercialy nchi zingine hasa Asia huko.

Haya matunda sidhani kama yana gharama na kama zitakuwepo basi ni over minimal sana.

Unaweza fanyaje?

Kama unashamba liko sehemu nzuri otesha miti ya kutosha make unakata tu vijiti unapandikiza au unaotesha kwanza kwenye viriba then unahamishia aridhini.Ukisha anza kupata matunda chuma paki kwenye kontena kama za kupakia zabibu au strawberry na nenda nazo kwenye High end super Market na kwenye juice Bar.

Pale unawaachia sample hata pakiti 10 za kutest,kwanza tukubaliane hakuna asie jua Mulberries kuanzia wazungu, wahindi, na sisi Wabongo. Watu watanunua tu labda washindwe bei.

Peleka kwenye Fruits Bar ziko mingi sana achia wao sample kadhaa free kabisa, nina uhakika utauza na itahitajika mzigo mkubwa sana utafikia wakati ushandwa.

Mulberries ni matunda matamu kuliko idadi nyingi ya haya matunda ya kugeni, bado mimi hata Zabibu hazifuati kwa Mulberries fruits.

Haya matunda yanaweza kuwa ni biashara sema sasa kwa sababu hatujaona anaye lima, na wala hatujayaona yakiuzwa pembeni ya barabara tunaamini hakuna soko, sisi soko ni hadi tuone yakiuzwa hadi pembezoni mwa Barabara.

Kuna products zina soko ila hutakaaa uone wala kusikia zinauliziwa na mtu kwa sababu hazipo sokoni, so mtu hawezi jisumbua kuulizia kitu ambacho hakipo sokoni.Ila siku akikiona lazima atakitaka kwa sababu anakijua au alisha wahi kukila kipindi fulani kwenye maisha yake.

Mfano: Mchaga akienda labda Canada,hawezi jisumbua kuulizia mbege au mtori, kwa sababu anajua hakuna chakuka cha aina hio kule Canada,Ila siku ya siku anapiga zake misele akakutana na Mbege au Mtori atautaka kwa sababu ilikuwa ni moja ya chakula alisha wahi kukila kwenye maisha yake.
View attachment 2835965View attachment 2835966View attachment 2835967
Shukran mkuu! Hayo matunda nikiyala sana utotoni. Sikuwahi kufikiri kama yanaweza kuuzwa. Hii dunia ina watu wanaofikiaria sana. Ordinary things vinageuzea EXTRAORDINARY!

Acha na mimi nifikirie! Asante sana mkuu!
 
Nakubaliana na wewe ktk kipanda miti mbali mbali. Nimekuomba uhamasishe na miti yetu asili ambayo inatiweka taratibu.
Shinyanga kuna maeneo ya karibu na mji iliota mikwaju na ubuyu kwa wingi bila kusahau zambarau. Sasa hivi hayo yamevamiwa.
Inawezekana umekulia sehemu isio na hayo matunda ila kuna matunda yalikuwepo na sasa hayapo au yamepungua.
Binafsi ningePenda uhamasishaji uende sambamba na kupanda miti yetu ya asili.
Kuna mtI unaitwa mkungu. Tunda lake lina harufu nzuri sana na mbegu yake ni karanga nzuri sana, sisi watanzania tumeupuuzia uhuo mti na unatoweka.
Matunda kunigwa unayafahamu mkuu?
 
Nimetumia sanaa ya lugha. Sio kila kitu kina maanisha kilivyoandikwa. Nina maana hizo kitu mpaka ujaze gunia unavuna miti mingapi ? Yaani kwa kifupi hayana ujazo.
Huo mti asilimua kubwa hupandwa kama pambo. Unajua zabibu zinaujazo, mti mmoja unaweza jaza maboksi ya kutosha.
Jambo lingine yana haribika haraka, yanapondeka pondeka.
Kibiashara ni bora upande hata passion, sisi sio matajiri tunajitafuta kwa hio ni muhimu kuchunguza hali ya soko ili usije laumu mtu.
Kwa nini utafute soko lisilopo wakati maembe yana soko ?
Unaona kwenye parachichi, wasipokuja wakenya, wasipokuja wazungu au wachina hali inakuwa ngumu kwa wakulima. Ina maana hili zao sio rafiki kwa wazawa, hawapendi kula parachichi.
Umesikia kilichotokea kwenye vanila ? Kama bado unajitafuta sio vizuri kubahatisha aka kubeti panda zao ambaloo una uhakika utauza. Watanzania hawana utamaduni wa kupokea haraka.
Unakumbuka kwale na mayai ya kwale
Mradi wa kwale na sungura ukaonekana ni utapeli kumbe wenzetu ni biashara kulingana na utamaduni wa kubadirika haraka.
Wazee wa kojo la sungura wametunza madumu kama vichaa hakuna soko na mayai ya kware ukivunja moja hayajai kijiko cha chakula mbongo gani anunue wakati anataka la kuku moja anakaangia chips?
Labda uwaambie ni dawa ya nguvu za kiume.
 
Wazee wa kojo la sungura wametunza madumu kama vichaa hakuna soko na mayai ya kware ukivunja moja hayajai kijiko cha chakula mbongo gani anunue wakati anataka la kuku moja anakaangia chips?
Labda uwaambie ni dawa ya nguvu za kiume.
Wajanja wameweza kuanzisha supu na nyama choma ya sungura. Ukifuga kichwa kichwa utasanda.
Kuhusu mikojo ni kwa vile wanafugia mjini wangekuwa bush wangelimia maharage.

Mi nataka niwafuge sungura mwakani.
Nimenunua 7. Lengo wawe 10. Niwe nazalisha 70 kila mwezi.
Lengo kuu ni kupata mbolea ya parachichi, maharage na viazi mviringo.
Sijajua wanatoa mbolea kwa kiwango gani.
Kwenye parachichi tunapigwa sana mbolea.
Mwaka jana nami nilikuwemo waliopigwa minjingu fake. Yaani walituuzia mawe.
Wafugaji canter wanatuuzia 150000 sasa bora niwekeze kufuga sungura, mbuzi, kuku baadae ngo'mbe.
Fuga kwa nalengo sio mihemko.
Sungura 70 kila mwezi sidhani kama nitashindwa kuwauza hata kwa 5000 watalipa.
Sory zitaisha kwa kutafuta wateja.
 
Hiyo miti ina faida sana kwa mtu anayefuga kuku, sungura na mifugo mingine.

Kwanza kabisa wadudu wanaotoa nyuzi za hariri wanakula majani hayo tuu.

Pili majani yake yakianikwa kwenye kivuli yakakauka yakiwa ya kijani bado ukatwanga unachanganya na chakula cha kuku yana kiwango kikunwa cha protini.

Matunda ya mti huo yakianguka kama kuku wanapita wanakula nankuongeza vitamini

Mmea huo majani yake yanatengeneza chai. Fuatilia mitandaoni utajua. Inasaidia sana wajawazito. Tafiti zaidi utajua

Miti yake ni migumu inaweza kutengeneza viti vya kukalia vile. Vinavyochanganywa na ngozi.

Matunda yanaweza kukaushwa na kutengeneza vitu mbali mbali. Au kuweza kutumika kwenye mikate na keki.

Matunda yanaweza kutengeneza mvinyo, juice, crush, smoothie, etc

Majani yanaweza kuliwa na mbuzi na mifugo mbali mbali
 
Hiyo miti ina faida sana kwa mtu anayefuga kuku, sungura na mifugo mingine.

Kwanza kabisa wadudu wanaotoa nyuzi za hariri wanakula majani hayo tuu.

Pili majani yake yakianikwa kwenye kivuli yakakauka yakiwa ya kijani bado ukatwanga unachanganya na chakula cha kuku yana kiwango kikunwa cha protini.

Matunda ya mti huo yakianguka kama kuku wanapita wanakula nankuongeza vitamini

Mmea huo majani yake yanatengeneza chai. Fuatilia mitandaoni utajua. Inasaidia sana wajawazito. Tafiti zaidi utajua

Miti yake ni migumu inaweza kutengeneza viti vya kukalia vile. Vinavyochanganywa na ngozi.

Matunda yanaweza kukaushwa na kutengeneza vitu mbali mbali. Au kuweza kutumika kwenye mikate na keki.

Matunda yanaweza kutengeneza mvinyo, juice, crush, smoothie, etc

Majani yanaweza kuliwa na mbuzi na mifugo mbali mbali
waoh! Asante kwa hii elimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom