CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,917
Mulberries matunda yake hakuna hata mmoja humu anaye weza pinga kwamba sio matunda matamu, Mulberries binafisi nikikutana nayo popote pale lazima niyachume nile.
Haya matunda ambayo nahisi asili yake yaliletwa na wakoloni ni matunda comercialy nchi zingine hasa Asia huko.
Haya matunda sidhani kama yana gharama na kama zitakuwepo basi ni over minimal sana.
Unaweza fanyaje?
Kama unashamba liko sehemu nzuri otesha miti ya kutosha make unakata tu vijiti unapandikiza au unaotesha kwanza kwenye viriba then unahamishia aridhini.Ukisha anza kupata matunda chuma paki kwenye kontena kama za kupakia zabibu au strawberry na nenda nazo kwenye High end super Market na kwenye juice Bar.
Pale unawaachia sample hata pakiti 10 za kutest,kwanza tukubaliane hakuna asie jua Mulberries kuanzia wazungu, wahindi, na sisi Wabongo. Watu watanunua tu labda washindwe bei.
Peleka kwenye Fruits Bar ziko mingi sana achia wao sample kadhaa free kabisa, nina uhakika utauza na itahitajika mzigo mkubwa sana utafikia wakati ushandwa.
Mulberries ni matunda matamu kuliko idadi nyingi ya haya matunda ya kugeni, bado mimi hata Zabibu hazifuati kwa Mulberries fruits.
Haya matunda yanaweza kuwa ni biashara sema sasa kwa sababu hatujaona anaye lima, na wala hatujayaona yakiuzwa pembeni ya barabara tunaamini hakuna soko, sisi soko ni hadi tuone yakiuzwa hadi pembezoni mwa Barabara.
Kuna products zina soko ila hutakaaa uone wala kusikia zinauliziwa na mtu kwa sababu hazipo sokoni, so mtu hawezi jisumbua kuulizia kitu ambacho hakipo sokoni.Ila siku akikiona lazima atakitaka kwa sababu anakijua au alisha wahi kukila kipindi fulani kwenye maisha yake.
Mfano: Mchaga akienda labda Canada,hawezi jisumbua kuulizia mbege au mtori, kwa sababu anajua hakuna chakuka cha aina hio kule Canada,Ila siku ya siku anapiga zake misele akakutana na Mbege au Mtori atautaka kwa sababu ilikuwa ni moja ya chakula alisha wahi kukila kwenye maisha yake.
Haya matunda ambayo nahisi asili yake yaliletwa na wakoloni ni matunda comercialy nchi zingine hasa Asia huko.
Haya matunda sidhani kama yana gharama na kama zitakuwepo basi ni over minimal sana.
Unaweza fanyaje?
Kama unashamba liko sehemu nzuri otesha miti ya kutosha make unakata tu vijiti unapandikiza au unaotesha kwanza kwenye viriba then unahamishia aridhini.Ukisha anza kupata matunda chuma paki kwenye kontena kama za kupakia zabibu au strawberry na nenda nazo kwenye High end super Market na kwenye juice Bar.
Pale unawaachia sample hata pakiti 10 za kutest,kwanza tukubaliane hakuna asie jua Mulberries kuanzia wazungu, wahindi, na sisi Wabongo. Watu watanunua tu labda washindwe bei.
Peleka kwenye Fruits Bar ziko mingi sana achia wao sample kadhaa free kabisa, nina uhakika utauza na itahitajika mzigo mkubwa sana utafikia wakati ushandwa.
Mulberries ni matunda matamu kuliko idadi nyingi ya haya matunda ya kugeni, bado mimi hata Zabibu hazifuati kwa Mulberries fruits.
Haya matunda yanaweza kuwa ni biashara sema sasa kwa sababu hatujaona anaye lima, na wala hatujayaona yakiuzwa pembeni ya barabara tunaamini hakuna soko, sisi soko ni hadi tuone yakiuzwa hadi pembezoni mwa Barabara.
Kuna products zina soko ila hutakaaa uone wala kusikia zinauliziwa na mtu kwa sababu hazipo sokoni, so mtu hawezi jisumbua kuulizia kitu ambacho hakipo sokoni.Ila siku akikiona lazima atakitaka kwa sababu anakijua au alisha wahi kukila kipindi fulani kwenye maisha yake.
Mfano: Mchaga akienda labda Canada,hawezi jisumbua kuulizia mbege au mtori, kwa sababu anajua hakuna chakuka cha aina hio kule Canada,Ila siku ya siku anapiga zake misele akakutana na Mbege au Mtori atautaka kwa sababu ilikuwa ni moja ya chakula alisha wahi kukila kwenye maisha yake.