Nauza kuku aina ya SASSO. Wana wiki 11. Bado wiki 10 hadi 13 mitetea waanze kutaga.
-Jumla wapo 76. Wana uwiano sawa wa idadi..yani nusu kwa nusu na mitetea.
-majogoo unaweza kuyauza msimu wa...
Heshima zenu wakuu!
Nataka nianze kuliandaa shamba jipya kwa ajili ya msimu wa kilimo mwaka huu.
Kwa kuwa ni eneo ambalo halijawahi kulimwa, nimeona ni vizuri nikaupime kwanza udongo wake ili...
Ndu Wana jamvi, Mimi ni mkulima na msimu wa kilimo ndo huu umewadia.
Mwaka huu naitaji kubadili muelekeo Nina achana na kilimo Cha mahindi nataka kuelekeza nguvu Katika kilimo Cha mpunga
Katika...
Naomba kuuliza wana JamiiForums,
Hivi ni maeneo gani mpaka sasa kwa mikoa inayolima Mpunga kwa mfano Songea ni Maeneo yapi mashamba ya mpunga bado yanakodishwa au kuuzwa kwa bei ya chini?
Wadau,
Naoimba muongozo, nataka kuchimba bwawa kaajiri ya mifugo na kilimo cha umwagiliaji katika shamba lililoko bagamoyo. Muongozo wa jinsi ya kufanya hili na kama naweza pata mdau anafanya...
Nawasalimu kwa jina la jamhuri
Mwaka jana mwezi wa kwanza nilipanda migomba kama 30 katikaeneo la nyumbani napoishi. Kabla ya kupanda niliwauliza wataalamu hasa watu wanaotokea maeneo ambayo...
Habari zenu wana jukwaa la kilimo.
Nina shamba ninafanya kilimo cha mahindi. Nimenunua mbolea ya kupandia lakini muuzaji alichanganya akawapa vibarua UREA badala ya mbolea ya kupandia.
Naomba...
Kwanza sijui kama hizi habari mnazo.
Ilianza ka Kuzuia kuingiza mahindi baada ya mavuno na Sasa muelekeo ni kukomesha kununua kabisa mahindi Nje ya Nchi hususani Tanzania.
Kulingana na Rais wa...
"Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera, Nianze kwa kumshukuru Mheshimiwa Rais. Tumetajiwa mabilioni ambayo yanakwenda kuwekezwa. Mradi unakwenda kuwekeza zaidi ya Shilingi Bilioni 15, ni...
Nna kashamba kangu nataka nikaandae kwa kilimo ila mule shambani kuna miti ya mikorosho km 20 hivi mikubwa na ya saiz ya kati,,mm nataka kuikata then niichome mkaa ss mtu wa chain saw ananambia ni...
Habari Wapendwa wa Jamii Forums
Natafuta mkulima wa hizi tufanye biashara hii inaitwa English Cucumber kama inavyoonekeana hapa pichani.
Kama naweza pata mtu tuwasiliane kwa namba hii 0684-753836
KILIMO CHA MAHINDI YA KUCHOMA.
Dhana ya kulima mahindi na kuyauza mabichi kwenye soko kabla hayajafikia hatua ya unga mgumu inajulikana kama kilimo cha mahindi ya kuchoma au uzalishaji wa mahindi...
Ni vitu gani nifanye samaki wasife? nakumbuka wakati wa udogo kila nikifuga samaki wanakufa sikua najua sababu ni nini? Wengine walisema ni maji ya bomba sababu yana chlorine basi tukawa tunabeba...
Habari wana JF,
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana kuhusu kuku wa kienyeji aina ya kuchi. Nimefanikiwa kuwapata kuku hawa, kwa wale wenye uzoefu na kuku hawa naomba mnisaidie je ni wenyewe...
Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alidhamiria kujenga miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwenye bonde la Bugwema lililoko Musoma Vijijini.
Ujenzi wa miundombinu ya kilimo cha...
Habari wakuu,
Mimi ni mdau wa kilimo na ni mtaalam wa horticulture kwa maana ya profession na uzoefu. Kilimo cha horticulture kinahusisha mboga (vegetables) matunda (fruits), viungo (spices) na...
Habari wakuu, Nina plan ya kuanzisha mradi wa kufuga nguruwe, mbuzi na kuku wa kienyeji, Niko dodoma, nahitaji kijana mwamininfu mwenye taaluma ya mifugo at least certificate level, awe mvumilivu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.