Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Nauza kuku aina ya SASSO. Wana wiki 11. Bado wiki 10 hadi 13 mitetea waanze kutaga. -Jumla wapo 76. Wana uwiano sawa wa idadi..yani nusu kwa nusu na mitetea. -majogoo unaweza kuyauza msimu wa...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa wakulima wa mahindi ,Je Kuna mtu anaweza tuambia aina ya mbegu inayozaa Watoto wengi Kiasi hiki au ni Photoshop?
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Heshima zenu wakuu! Nataka nianze kuliandaa shamba jipya kwa ajili ya msimu wa kilimo mwaka huu. Kwa kuwa ni eneo ambalo halijawahi kulimwa, nimeona ni vizuri nikaupime kwanza udongo wake ili...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Ndu Wana jamvi, Mimi ni mkulima na msimu wa kilimo ndo huu umewadia. Mwaka huu naitaji kubadili muelekeo Nina achana na kilimo Cha mahindi nataka kuelekeza nguvu Katika kilimo Cha mpunga Katika...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kuuliza wana JamiiForums, Hivi ni maeneo gani mpaka sasa kwa mikoa inayolima Mpunga kwa mfano Songea ni Maeneo yapi mashamba ya mpunga bado yanakodishwa au kuuzwa kwa bei ya chini?
1 Reactions
38 Replies
5K Views
Wadau, Naoimba muongozo, nataka kuchimba bwawa kaajiri ya mifugo na kilimo cha umwagiliaji katika shamba lililoko bagamoyo. Muongozo wa jinsi ya kufanya hili na kama naweza pata mdau anafanya...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Nawasalimu kwa jina la jamhuri Mwaka jana mwezi wa kwanza nilipanda migomba kama 30 katikaeneo la nyumbani napoishi. Kabla ya kupanda niliwauliza wataalamu hasa watu wanaotokea maeneo ambayo...
59 Reactions
48 Replies
14K Views
Habari zenu wana jukwaa la kilimo. Nina shamba ninafanya kilimo cha mahindi. Nimenunua mbolea ya kupandia lakini muuzaji alichanganya akawapa vibarua UREA badala ya mbolea ya kupandia. Naomba...
3 Reactions
6 Replies
932 Views
Kwanza sijui kama hizi habari mnazo. Ilianza ka Kuzuia kuingiza mahindi baada ya mavuno na Sasa muelekeo ni kukomesha kununua kabisa mahindi Nje ya Nchi hususani Tanzania. Kulingana na Rais wa...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Nipo Karagwe Kagera. Nahitaji dawa ya magugu kwa ajili ya kupalilia mahindi. Nisaidiwe kuipata pamoja na bei yake.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
"Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera, Nianze kwa kumshukuru Mheshimiwa Rais. Tumetajiwa mabilioni ambayo yanakwenda kuwekezwa. Mradi unakwenda kuwekeza zaidi ya Shilingi Bilioni 15, ni...
0 Reactions
0 Replies
574 Views
Nna kashamba kangu nataka nikaandae kwa kilimo ila mule shambani kuna miti ya mikorosho km 20 hivi mikubwa na ya saiz ya kati,,mm nataka kuikata then niichome mkaa ss mtu wa chain saw ananambia ni...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari Wapendwa wa Jamii Forums Natafuta mkulima wa hizi tufanye biashara hii inaitwa English Cucumber kama inavyoonekeana hapa pichani. Kama naweza pata mtu tuwasiliane kwa namba hii 0684-753836
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari, Kuna mtu mwenye kufuga paka wa kizungu? Tafadhari naomba tuwasiliane nahitaji mdogo kabisa mmoja. Shukran!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
KILIMO CHA MAHINDI YA KUCHOMA. Dhana ya kulima mahindi na kuyauza mabichi kwenye soko kabla hayajafikia hatua ya unga mgumu inajulikana kama kilimo cha mahindi ya kuchoma au uzalishaji wa mahindi...
3 Reactions
21 Replies
8K Views
Ni vitu gani nifanye samaki wasife? nakumbuka wakati wa udogo kila nikifuga samaki wanakufa sikua najua sababu ni nini? Wengine walisema ni maji ya bomba sababu yana chlorine basi tukawa tunabeba...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari wana JF, Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana kuhusu kuku wa kienyeji aina ya kuchi. Nimefanikiwa kuwapata kuku hawa, kwa wale wenye uzoefu na kuku hawa naomba mnisaidie je ni wenyewe...
2 Reactions
120 Replies
30K Views
Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alidhamiria kujenga miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwenye bonde la Bugwema lililoko Musoma Vijijini. Ujenzi wa miundombinu ya kilimo cha...
0 Reactions
2 Replies
967 Views
Habari wakuu, Mimi ni mdau wa kilimo na ni mtaalam wa horticulture kwa maana ya profession na uzoefu. Kilimo cha horticulture kinahusisha mboga (vegetables) matunda (fruits), viungo (spices) na...
11 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari wakuu, Nina plan ya kuanzisha mradi wa kufuga nguruwe, mbuzi na kuku wa kienyeji, Niko dodoma, nahitaji kijana mwamininfu mwenye taaluma ya mifugo at least certificate level, awe mvumilivu...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom