Yaliyowakuta Vifaranga vyangu vya kuku baada ya Chanjo ya kideri

Suip

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,314
760
Nina kuku wakubwa ambao nawatumia kama wazazi,pia nina vifaranga wa takriban miezi 3 na nusu,mara mwisho niliwapa chanjo ya kideri tar. 20.8.2023 na hapa kati nilikuwa na vifaranga wengine wapatao 40 wenye umri wa mwezi moja ambao niliwapa chanjo ya kideri juzi tar. 4.12.2023 ikiwa ni pamoja na hao kuku wakubwa na vifaranga hao wa miezi 3na nusu.Sasa kilichotokea vifaranga hao wa miezi 3 na nusu wamepata kama kuambukizwa kideri na nimeshapoteza vifaranga hao watano,ila kuku wakubwa na hao wa mwezi moja hawana tatizo bado.

Nashindwa kuelewa kwani chanjo imesafirishwa vizuri na ni ile ya kuchanganya kwa maji ya kunywa na nilichanganya kwenye lita 10 ya maji na baada masaa mawili niliondoa na kuosha vyombo kwa maji ya moto na kuwapa maji mengine masafi. Na tangu mwaka 2012 natumia hizi chanjo na sijawahi pata maambukizi ya kideri hadi leo nimewapa chanjo juzi.

Nina mashaka sijui ni uhifadhi kwenye maduka ya wauzaji wa chanjo au kampuni iliyotengeneza ya hapa ndani ya nchi ambayo ndio mara kwanza kutumia nipo njiapanda kupoteza zaidi vifaranga vyangu wakubwa hivyo.Nahangaika kuwapa OTC plus ambayo ni antibiotic na multivitamin kwenye maji ya kunywa
 
Nina kuku wakubwa ambao nawatumia kama wazazi,pia nina vifaranga wa takriban miezi 3 na nusu,mara mwisho niliwapa chanjo ya kideri tar. 20.8.2023 na hapa kati nilikuwa na vifaranga wengine wapatao 40 wenye umri wa mwezi moja ambao niliwapa chanjo ya kideri juzi tar. 4.12.2023 ikiwa ni pamoja na hao kuku wakubwa na vifaranga hao wa miezi 3na nusu.Sasa kilichotokea vifaranga hao wa miezi 3 na nusu wamepata kama kuambukizwa kideri na nimeshapoteza vifaranga hao watano,ila kuku wakubwa na hao wa mwezi moja hawana tatizo bado.

Nashindwa kuelewa kwani chanjo imesafirishwa vizuri na ni ile ya kuchanganya kwa maji ya kunywa na nilichanganya kwenye lita 10 ya maji na baada masaa mawili niliondoa na kuosha vyombo kwa maji ya moto na kuwapa maji mengine masafi. Na tangu mwaka 2012 natumia hizi chanjo na sijawahi pata maambukizi ya kideri hadi leo nimewapa chanjo juzi.

Nina mashaka sijui ni uhifadhi kwenye maduka ya wauzaji wa chanjo au kampuni iliyotengeneza ya hapa ndani ya nchi ambayo ndio mara kwanza kutumia nipo njiapanda kupoteza zaidi vifaranga vyangu wakubwa hivyo.Nahangaika kuwapa OTC plus ambayo ni antibiotic na multivitamin kwenye maji ya kunywa
Unaosha na Maji ya moto ili kufanyaje? Mkuu chanjo ni virus, na wakisha isha nguvu hawana madhara tena, hii sijui unaosja na maj ya moto maea mwaga maji sijui chooni ni kujihangaisha bure tu.

Sasa back to hao kuku wako, ni ngumu kujua sababu hasa humu tutaishia kupiga ramli tu.

Ila sasa, Chanjo kwanza usafirishaji wa chanjo tunafanya makosa sana, ni Mungu saidia, na wauzaji wengi wa Chanjo oia hawa uelewa wa jinsi ya ku handle chanjo za kuku.

Wengi tunasafirisha chanjo kwenye thermos ikiwa na balafu ndani, hii ni kosa kubwa sana.

Pia uhifadhi wa chanjo madukani nao ni sio salama sana, vipi Umeme ukikitaika na fridge haina baridi ya kutosha wanafanyaje? wanawasha Genereta? sio rahisi.

Kwa maelzo yako ni kwamba labda ulichanja kuku wakiwa tiyali wana umwa, sio lazima wawe serious ila walikuwa wanaumwa so chanjo ikaenda tibua zaidi ule ugonjwa. Chanjo inapaswa kutolewa kwa kuku ambao hawaumwi na sio kuto kuumwa tu pia ambao hawana stress hata chembe.
 
Unaosha na Maji ya moto ili kufanyaje? Mkuu chanjo ni virus, na wakisha isha nguvu hawana madhara tena, hii sijui unaosja na maj ya moto maea mwaga maji sijui chooni ni kujihangaisha bure tu.

Sasa back to hao kuku wako, ni ngumu kujua sababu hasa humu tutaishia kupiga ramli tu.

Ila sasa, Chanjo kwanza usafirishaji wa chanjo tunafanya makosa sana, ni Mungu saidia, na wauzaji wengi wa Chanjo oia hawa uelewa wa jinsi ya ku handle chanjo za kuku.

Wengi tunasafirisha chanjo kwenye thermos ikiwa na balafu ndani, hii ni kosa kubwa sana.

Pia uhifadhi wa chanjo madukani nao ni sio salama sana, vipi Umeme ukikitaika na fridge haina baridi ya kutosha wanafanyaje? wanawasha Genereta? sio rahisi.

Kwa maelzo yako ni kwamba labda ulichanja kuku wakiwa tiyali wana umwa, sio lazima wawe serious ila walikuwa wanaumwa so chanjo ikaenda tibua zaidi ule ugonjwa. Chanjo inapaswa kutolewa kwa kuku ambao hawaumwi na sio kuto kuumwa tu pia ambao hawana stress hata chembe.
Sasa mkuu tusafirisheje chanjo zetu?
 
Expire date ya hiyo vaccine umeingalia?
Expire ni 12/2024
IMG_20231206_130602.jpg


Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Unaosha na Maji ya moto ili kufanyaje? Mkuu chanjo ni virus, na wakisha isha nguvu hawana madhara tena, hii sijui unaosja na maj ya moto maea mwaga maji sijui chooni ni kujihangaisha bure tu.

Sasa back to hao kuku wako, ni ngumu kujua sababu hasa humu tutaishia kupiga ramli tu.

Ila sasa, Chanjo kwanza usafirishaji wa chanjo tunafanya makosa sana, ni Mungu saidia, na wauzaji wengi wa Chanjo oia hawa uelewa wa jinsi ya ku handle chanjo za kuku.

Wengi tunasafirisha chanjo kwenye thermos ikiwa na balafu ndani, hii ni kosa kubwa sana.

Pia uhifadhi wa chanjo madukani nao ni sio salama sana, vipi Umeme ukikitaika na fridge haina baridi ya kutosha wanafanyaje? wanawasha Genereta? sio rahisi.

Kwa maelzo yako ni kwamba labda ulichanja kuku wakiwa tiyali wana umwa, sio lazima wawe serious ila walikuwa wanaumwa so chanjo ikaenda tibua zaidi ule ugonjwa. Chanjo inapaswa kutolewa kwa kuku ambao hawaumwi na sio kuto kuumwa tu pia ambao hawana stress hata chembe.
Kabla ya chanjo niliwapa OTC plus na hawakuwa wakiumwa, walikuwa vizuri tu ni baada ya siku mbili niliwapa chanjo.

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Unaosha na Maji ya moto ili kufanyaje? Mkuu chanjo ni virus, na wakisha isha nguvu hawana madhara tena, hii sijui unaosja na maj ya moto maea mwaga maji sijui chooni ni kujihangaisha bure tu.

Sasa back to hao kuku wako, ni ngumu kujua sababu hasa humu tutaishia kupiga ramli tu.

Ila sasa, Chanjo kwanza usafirishaji wa chanjo tunafanya makosa sana, ni Mungu saidia, na wauzaji wengi wa Chanjo oia hawa uelewa wa jinsi ya ku handle chanjo za kuku.

Wengi tunasafirisha chanjo kwenye thermos ikiwa na balafu ndani, hii ni kosa kubwa sana.

Pia uhifadhi wa chanjo madukani nao ni sio salama sana, vipi Umeme ukikitaika na fridge haina baridi ya kutosha wanafanyaje? wanawasha Genereta? sio rahisi.

Kwa maelzo yako ni kwamba labda ulichanja kuku wakiwa tiyali wana umwa, sio lazima wawe serious ila walikuwa wanaumwa so chanjo ikaenda tibua zaidi ule ugonjwa. Chanjo inapaswa kutolewa kwa kuku ambao hawaumwi na sio kuto kuumwa tu pia ambao hawana stress hata chembe.
Kwani chanjo husafirishwaje,yangu hiyo imesafirishwa na icepack box

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Kwani chanjo husafirishwaje,yangu hiyo imesafirishwa na icepack box

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Mkuu elewa kwamba ni makosa, Ice ina joto negative, wakati chanjo haitakiwi ikae kwenye joto negative inatakiwa kwenye 5 hadi hata 10 huko.

Ndio maana huwa kwenye fridge haiwekwi kwenye freezer bali fridge. Hili wengi hawalijui kabisa kabisa, na hata wauzaje either hawajui au wanajua wanafanya makusudi
 
Mkuu elewa kwamba ni makosa, Ice ina joto negative, wakati chanjo haitakiwi ikae kwenye joto negative inatakiwa kwenye 5 hadi hata 10 huko.

Ndio maana huwa kwenye fridge haiwekwi kwenye freezer bali fridge. Hili wengi hawalijui kabisa kabisa, na hata wauzaje either hawajui au wanajua wanafanya makusudi
Sasa unawezaje kuhakikisha unasafirisha katika joto hilo la 5 hadi 10'c?
 
Unaweka chanjo kwenye thermos tupu bila kuwekwa barafu.
Asante kwa maelekezo mazuri, je kunatatizo kama ndani thermos nitaweka maji yaliyo baridi yakunywa ndani ya friji? kwakuwa kutoka hapo ninapochuka chanjo Arusha mpaka kijijini itahitaji masaa 12 hadi 24 kabla ya kuwapa kuku.

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Asante kwa maelekezo mazuri, je kunatatizo kama ndani thermos nitaweka maji yaliyo baridi yakunywa ndani ya friji? kwakuwa kutoka hapo ninapochuka chanjo Arusha mpaka kijijini itahitaji masaa 12 hadi 24 kabla ya kuwapa kuku.

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
ubaridi wa chanjo unatosha kabisa,Labda zile thermos zinauzwa na Machinga, ila quality thermos ukiweka ile chanjo basi hakuna haja ya kitu kingine.
 
Nina kuku wakubwa ambao nawatumia kama wazazi,pia nina vifaranga wa takriban miezi 3 na nusu,mara mwisho niliwapa chanjo ya kideri tar. 20.8.2023 na hapa kati nilikuwa na vifaranga wengine wapatao 40 wenye umri wa mwezi moja ambao niliwapa chanjo ya kideri juzi tar. 4.12.2023 ikiwa ni pamoja na hao kuku wakubwa na vifaranga hao wa miezi 3na nusu.Sasa kilichotokea vifaranga hao wa miezi 3 na nusu wamepata kama kuambukizwa kideri na nimeshapoteza vifaranga hao watano,ila kuku wakubwa na hao wa mwezi moja hawana tatizo bado.

Nashindwa kuelewa kwani chanjo imesafirishwa vizuri na ni ile ya kuchanganya kwa maji ya kunywa na nilichanganya kwenye lita 10 ya maji na baada masaa mawili niliondoa na kuosha vyombo kwa maji ya moto na kuwapa maji mengine masafi. Na tangu mwaka 2012 natumia hizi chanjo na sijawahi pata maambukizi ya kideri hadi leo nimewapa chanjo juzi.

Nina mashaka sijui ni uhifadhi kwenye maduka ya wauzaji wa chanjo au kampuni iliyotengeneza ya hapa ndani ya nchi ambayo ndio mara kwanza kutumia nipo njiapanda kupoteza zaidi vifaranga vyangu wakubwa hivyo.Nahangaika kuwapa OTC plus ambayo ni antibiotic na multivitamin kwenye maji ya kunywa
Chanjo sio dawa usiweka 100% kwenye chanjo moja,ndio maana unatakiwa kurudia ndani ya Muda mfupi kuwapa tena.chanzo inatunzwa kwenye baridi Sasa tokea iagizwe KUTOKA nje MPAKA inafika dukani unafikiri itakuwa imetunzwa kwenye ubaridi unaotakiwa Kwa 100%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom