Msaada mimea yangu inanyauka

karue

Senior Member
Oct 31, 2018
191
347
Salaam kwenu wapendwa,
Mimi ni mkulima wa mazao ya nyanya na viazi mviringo.

Kuna ugonjwa ambao unanitesa sana shambani kwangu na kwa wengine pia ugonjwa wenyewe ni mmea kunyauka pindi tu unavyotaka kuweka matunda.

Naombeni msaada WA mawazo, dawa na namna ya kujinasua na huu ugonjwa wa mnyauko.

Mazao yanayoshambuliwa sana ni nyanya, Viazi mviringo na hoho

Natumia mbegu za F1 kwenye nyanya na hoho, viazi naandaa mwenyewe mbegu na kuipatia huduma zote.

Kuhusu mashamba ya kupanda tunapanda mashamba mapya ambayo yanavunwa miti ya mbao yenye rutuba nzuri
Na Ili shamba lirudiwe tena zao Hilo ni baada ya miaka mitatu

Karibuni
 
Mazao yanayoshambuliwa sana ni nyanya, Viazi mviringo na hoho
Probable ugnjwa: Late blight is a common disease in tomatoes and potatoes caused by the fungus Phytophthora infestans. The disease thrives in cool, moist conditions and can wipe out an entire crop within just a few weeks of infestation

Dawa:
Dithane M45

Crop
Apples, grapes, potatoes, beans, tomatoes, vegetables, ornamentals, mangoes.

Target Disease
Early & Lateblight, downey mildew, anthracnose, scab, leafspot, scar rust.

jaribu antifungal, nedna maduka ya dawa zakilimo utazipata na kupewa ushauri
 
Probable ugnjwa: Late blight is a common disease in tomatoes and potatoes caused by the fungus Phytophthora infestans. The disease thrives in cool, moist conditions and can wipe out an entire crop within just a few weeks of infestation

Dawa:
Dithane M45

Crop
Apples, grapes, potatoes, beans, tomatoes, vegetables, ornamentals, mangoes.

Target Disease
Early & Lateblight, downey mildew, anthracnose, scab, leafspot, scar rust.

jaribu antifungal, nedna maduka ya dawa zakilimo utazipata na kupewa ushauri
Ahsate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom