Mpango Kazi 2016

Mpango Kazi 2016

POCOLOKO

Senior Member
Joined
Sep 1, 2010
Posts
187
Reaction score
220
Ikiwa yamebaki masaa machache sana Hebu kila mtu aweke mpango kazi wake wa Mwakani hapa! ili wale ambao hawajandaa wajifunze toka kwenu.
Iwe ni Mwajiriwa au yeyote yule ni lazma tuwe na vitega uchumi vidogo ili tuweze jikwamua Kimaisha.
Mimi nitafungua Garage Mwakani.
 
Back
Top Bottom